Propaganda za CCM yangu zinakera sana

Propaganda za CCM yangu zinakera sana

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
GTs,

Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita polisi na kuuawa etc. Tuhuma zote hizo zinahitaji majibu toka kwa mamlaka husika, ila bahati mbaya ni kinyume inatokea. Nitatoa mifano michache ya jumla.

1. Kuuawa kwa kada wa kile chama cha Mbowe. Ajabu badala ya kuhitaji uwajibikaji ndani ya jeshi la polisi na vyombo vingine basi CCM tumejikita kutengeneza na kusambaza uongo eti ionekane Mbowe ni mtekaji.

Kibaya zaidi watu wengi bado hawajulikani walipo na Mbowe na kigenge chake cha chama wameitisha maandamano wakitaka vitu simple tu, majibu ya hao waliopotea ila cha ajabu sisi CCM tumekazana na kutengeneza vi clip eti wafuasi wa Mbowe wanampinga eti maandamano.

Hivi mtanzania mwenye akili yeyote mwenye uelewa mpiga kura hawezi kung’amua kuwa hizo ni clip zimetengenezwa na wahuni wahuni tena wala siyo wafuasi wa mbowe???

Hivi sisi kama CCM tumekosa kabisa mkakati wa kuona namna ya hawa wenzetu wanavyoumia tuone namna hata ya kuitisha press conference ya pamoja tukakubaliana hata kufanya maandamano ya pamoja hata ya siku mbili kuonesha solidarity ya kweli watanzania wameumizwa na utekaji???

Au kwa nini na sisi kama CCM tusiandae maandamano yetu ya Amani???? Lakini unakuta CCM tunaeneza propaganda ambazo kila mtanzania anaona sisi ni wajinga wajinga tunatetea ufisadi, wizi na utekaji.

Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.

Ila kwa mtindo wa sasa tutaendelea kupata kura kwa watu wa vijijini tunaowapatia kofia, tisheti na vitenge ila hawa vijana wa sasa tusahau kura zao.
 
Mkuu.....
ID yako imedukuliwa ama...🤔
Huyu Jamaa ameokoka hataki tena kuunga mkono wasiojulik
Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.
hao wenye akili kubwa ccm itawatoa wapi? Kule kuna wenye vyeti tu
 
Nakufahamu sana Muda wote umetutesa sana enzi za Jpm.
Hahahahaha jamani lakini ukilinganisha kipindi cha Dkt Magufuli na sasa nadhani hata wewe unaona ilikuwa sahihi kuwa upande wa Dkt Magufuli. Nyie ndiyo mnaaza kujuta kusema ana upiga mwingi eti mliharakisha kumpa benefit kf doubt Dkt Samia. Poleni sana.
 
GTs,

Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita polisi na kuuawa etc. Tuhuma zote hizo zinahitaji majibu toka kwa mamlaka husika, ila bahati mbaya ni kinyume inatokea. Nitatoa mifano michache ya jumla.

1. Kuuawa kwa kada wa kile ki NGO cha Mbowe. Ajabu badala ya kuhitaji uwajibikaji ndani ya jeshi la polisi na vyombo vingine basi CCM tumejikita kutengeneza na kusambaza uongo eti ionekane Mbowe ni mtekaji.

Kibaya zaidi watu wangi bado hawajulikani walipo na Mbowe na kigenge chake cha NGO wameitisha maandamano wakitaka vitu simple tu, majibu ya hao waliopotea ila cha ajabu sisi CCM tumekazana na kutengeneza vi clip eti wafuasi wa Mbowe wanampinga eti maandamano.

Hivi mtanzania mwenye akili yeyote mwenye uelewa mpiga kura hawezi kung’amua kuwa hizo ni clip zimetengenezwa na wahuni wahuni tena wala siyo wafuasi wa NGO ya mbowe???

Hivi sisi kama CCM tumekosa kabisa mkakati wa kuona namna ya hawa wenzetu wanavyoumia tuone namna hata ya kuitisha press conference ya pamoja tukakubaliana hata kufanya maandamano ya pamoja hata ya siku mbili kuonesha solidarity ya kweli watanzania wameumizwa na utekaji???

Au kwa nini na sisi kama CCM tusiandae maandamano yetu ya Amani???? Lakini unakuta CCM tunaeneza propaganda ambazo kila mtanzania anaona sisi ni wajinga wajinga tunatetea ufisadi, wizi na utekaji.

Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.

Ila kwa mtindo wa sasa tutaendelea kupata kura kwa watu wa vijijini tunaowapatia kofia, tisheti na vitenge ila hawa vijana wa sasa tusahau kura zao.
Kwanza uache dharau ili ujumbe ulionao japo ufikiriwe kusomwa au kusikilizwa.
 
GTs,

Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita polisi na kuuawa etc. Tuhuma zote hizo zinahitaji majibu toka kwa mamlaka husika, ila bahati mbaya ni kinyume inatokea. Nitatoa mifano michache ya jumla.

1. Kuuawa kwa kada wa kile ki NGO cha Mbowe. Ajabu badala ya kuhitaji uwajibikaji ndani ya jeshi la polisi na vyombo vingine basi CCM tumejikita kutengeneza na kusambaza uongo eti ionekane Mbowe ni mtekaji.

Kibaya zaidi watu wangi bado hawajulikani walipo na Mbowe na kigenge chake cha NGO wameitisha maandamano wakitaka vitu simple tu, majibu ya hao waliopotea ila cha ajabu sisi CCM tumekazana na kutengeneza vi clip eti wafuasi wa Mbowe wanampinga eti maandamano.

Hivi mtanzania mwenye akili yeyote mwenye uelewa mpiga kura hawezi kung’amua kuwa hizo ni clip zimetengenezwa na wahuni wahuni tena wala siyo wafuasi wa NGO ya mbowe???

Hivi sisi kama CCM tumekosa kabisa mkakati wa kuona namna ya hawa wenzetu wanavyoumia tuone namna hata ya kuitisha press conference ya pamoja tukakubaliana hata kufanya maandamano ya pamoja hata ya siku mbili kuonesha solidarity ya kweli watanzania wameumizwa na utekaji???

Au kwa nini na sisi kama CCM tusiandae maandamano yetu ya Amani???? Lakini unakuta CCM tunaeneza propaganda ambazo kila mtanzania anaona sisi ni wajinga wajinga tunatetea ufisadi, wizi na utekaji.

Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.

Ila kwa mtindo wa sasa tutaendelea kupata kura kwa watu wa vijijini tunaowapatia kofia, tisheti na vitenge ila hawa vijana wa sasa tusahau kura zao.
Kama kaka lucas
 
GTs,

Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita polisi na kuuawa etc. Tuhuma zote hizo zinahitaji majibu toka kwa mamlaka husika, ila bahati mbaya ni kinyume inatokea. Nitatoa mifano michache ya jumla.

1. Kuuawa kwa kada wa kile ki NGO cha Mbowe. Ajabu badala ya kuhitaji uwajibikaji ndani ya jeshi la polisi na vyombo vingine basi CCM tumejikita kutengeneza na kusambaza uongo eti ionekane Mbowe ni mtekaji.

Kibaya zaidi watu wangi bado hawajulikani walipo na Mbowe na kigenge chake cha NGO wameitisha maandamano wakitaka vitu simple tu, majibu ya hao waliopotea ila cha ajabu sisi CCM tumekazana na kutengeneza vi clip eti wafuasi wa Mbowe wanampinga eti maandamano.

Hivi mtanzania mwenye akili yeyote mwenye uelewa mpiga kura hawezi kung’amua kuwa hizo ni clip zimetengenezwa na wahuni wahuni tena wala siyo wafuasi wa NGO ya mbowe???

Hivi sisi kama CCM tumekosa kabisa mkakati wa kuona namna ya hawa wenzetu wanavyoumia tuone namna hata ya kuitisha press conference ya pamoja tukakubaliana hata kufanya maandamano ya pamoja hata ya siku mbili kuonesha solidarity ya kweli watanzania wameumizwa na utekaji???

Au kwa nini na sisi kama CCM tusiandae maandamano yetu ya Amani???? Lakini unakuta CCM tunaeneza propaganda ambazo kila mtanzania anaona sisi ni wajinga wajinga tunatetea ufisadi, wizi na utekaji.

Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.

Ila kwa mtindo wa sasa tutaendelea kupata kura kwa watu wa vijijini tunaowapatia kofia, tisheti na vitenge ila hawa vijana wa sasa tusahau kura zao.
At least naona Mwana CCM kindakindaki umeandika kitu cha maana tofauti na wenzako.

Kongole sana kwa hili.

Naomba nikuulize kitu, CCM wengi humu jamvini ni mambumbumbu/vilaza wakubwa au wanajitoa ufahamu sababu ya kupata mlo!!???
 
At least naona Mwana CCM kindakindaki umeandika kitu cha maana tofauti na wenzako.

Kongole sana kwa hili.

Naomba nikuulize kitu, CCM wengi humu jamvini ni mambumbumbu/vilaza wakubwa au wanajitoa ufahamu sababu ya kupata mlo!!???
Tatizo kubwa CCM tumefikia pahala tumekuwa watu wa kulinda maslahi badala ya uhalisia tofauti na kipindi cha Dkt Magufuli, wala huwezi kusikia uzalendo toka kwa viongozi kama ilivyokuwa kwa Dkt Magufuli zaidi ya kulindana lindana tu. Nilitegemea hapa mi kama mwana CCM IGP au Waziri wa Mambo ya Ndani awajibishwe kuponesha serikali, nilitegemea wale wote wenye tuhuma za ufisadi watolewe kwenye nafasi zao kupisha uchunguzi. Badala yake kwa hali ilivyo sasa kila kitu rushwa rushwa tu yaani vitu vinge kwa sehemu kubwa kama hujatoa rushwa sahay kupata haki yako.
 
GTs,

Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita polisi na kuuawa etc. Tuhuma zote hizo zinahitaji majibu toka kwa mamlaka husika, ila bahati mbaya ni kinyume inatokea. Nitatoa mifano michache ya jumla.

1. Kuuawa kwa kada wa kile ki NGO cha Mbowe. Ajabu badala ya kuhitaji uwajibikaji ndani ya jeshi la polisi na vyombo vingine basi CCM tumejikita kutengeneza na kusambaza uongo eti ionekane Mbowe ni mtekaji.

Kibaya zaidi watu wangi bado hawajulikani walipo na Mbowe na kigenge chake cha NGO wameitisha maandamano wakitaka vitu simple tu, majibu ya hao waliopotea ila cha ajabu sisi CCM tumekazana na kutengeneza vi clip eti wafuasi wa Mbowe wanampinga eti maandamano.

Hivi mtanzania mwenye akili yeyote mwenye uelewa mpiga kura hawezi kung’amua kuwa hizo ni clip zimetengenezwa na wahuni wahuni tena wala siyo wafuasi wa NGO ya mbowe???

Hivi sisi kama CCM tumekosa kabisa mkakati wa kuona namna ya hawa wenzetu wanavyoumia tuone namna hata ya kuitisha press conference ya pamoja tukakubaliana hata kufanya maandamano ya pamoja hata ya siku mbili kuonesha solidarity ya kweli watanzania wameumizwa na utekaji???

Au kwa nini na sisi kama CCM tusiandae maandamano yetu ya Amani???? Lakini unakuta CCM tunaeneza propaganda ambazo kila mtanzania anaona sisi ni wajinga wajinga tunatetea ufisadi, wizi na utekaji.

Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.

Ila kwa mtindo wa sasa tutaendelea kupata kura kwa watu wa vijijini tunaowapatia kofia, tisheti na vitenge ila hawa vijana wa sasa tusahau kura zao.
Hivi ulitumbuliwa ama????
Maana kwa sie tunaokujua enzi za JPM ulikuwa ukisifia hadi akili zinakuruka.
Ila toka aingie mama naona umekuwa mtu wa lawama na vijembe (taarabu style)
Kipindi kile ulikuwa huambiwi kitu kuhusu akina Makonda.
 
GTs,

Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita polisi na kuuawa etc. Tuhuma zote hizo zinahitaji majibu toka kwa mamlaka husika, ila bahati mbaya ni kinyume inatokea. Nitatoa mifano michache ya jumla.

1. Kuuawa kwa kada wa kile ki NGO cha Mbowe. Ajabu badala ya kuhitaji uwajibikaji ndani ya jeshi la polisi na vyombo vingine basi CCM tumejikita kutengeneza na kusambaza uongo eti ionekane Mbowe ni mtekaji.

Kibaya zaidi watu wangi bado hawajulikani walipo na Mbowe na kigenge chake cha NGO wameitisha maandamano wakitaka vitu simple tu, majibu ya hao waliopotea ila cha ajabu sisi CCM tumekazana na kutengeneza vi clip eti wafuasi wa Mbowe wanampinga eti maandamano.

Hivi mtanzania mwenye akili yeyote mwenye uelewa mpiga kura hawezi kung’amua kuwa hizo ni clip zimetengenezwa na wahuni wahuni tena wala siyo wafuasi wa NGO ya mbowe???

Hivi sisi kama CCM tumekosa kabisa mkakati wa kuona namna ya hawa wenzetu wanavyoumia tuone namna hata ya kuitisha press conference ya pamoja tukakubaliana hata kufanya maandamano ya pamoja hata ya siku mbili kuonesha solidarity ya kweli watanzania wameumizwa na utekaji???

Au kwa nini na sisi kama CCM tusiandae maandamano yetu ya Amani???? Lakini unakuta CCM tunaeneza propaganda ambazo kila mtanzania anaona sisi ni wajinga wajinga tunatetea ufisadi, wizi na utekaji.

Nashauri think tank ya CCM ibadilishwe watu wenye akili ndogo waondolewe waweke watu wenye akili kubwa hapo chama chetu kitakuwa na ushawishi kwa vijana na wasomi.

Ila kwa mtindo wa sasa tutaendelea kupata kura kwa watu wa vijijini tunaowapatia kofia, tisheti na vitenge ila hawa vijana wa sasa tusahau kura zao.
kama chadema ni NGOs nafikiri ulipaswa kuiita ccm genge la wahuni na wauaji,ila nachoshukuru ni pamoja na yule katibu wao mkubwa yupo kwenye kundi la wenye akili ndogo uliowataja yaani hawajielewi
 
Back
Top Bottom