Mwandishi anatupitisha kina na kutoa tahadhari ya jinsi ya kuepuka kuwa misukule ya habari, kipindi hiki kuelekea 2024 / 2025
Tunaangalia namna mabadiliko ya sekta ya habari na mawasiliano ikiwemo akili mnemba (Artificial intelligence-AI) yanavyoleta changamoto na umuhimu wa kuwa makini ili kutojikuta unaendeshwa na habari hasa potufu....
Tony Alfred K ni mwandishi wa mwenye style mbalimbali za kuwakilisha habari na uchambuzi anayefanya shughuli zake na media ya The Chanzo anaelezea jinsi mtu mmoja anavyoweza kuchukua nafsi 30 kujaribu kupenyeza habari potofu katika dunia hii ya kidijitali .... kwa mfano
.
Source : The Chanzo
Tunaangalia namna mabadiliko ya sekta ya habari na mawasiliano ikiwemo akili mnemba (Artificial intelligence-AI) yanavyoleta changamoto na umuhimu wa kuwa makini ili kutojikuta unaendeshwa na habari hasa potufu....
Tony Alfred K ni mwandishi wa mwenye style mbalimbali za kuwakilisha habari na uchambuzi anayefanya shughuli zake na media ya The Chanzo anaelezea jinsi mtu mmoja anavyoweza kuchukua nafsi 30 kujaribu kupenyeza habari potofu katika dunia hii ya kidijitali .... kwa mfano
.
Source : The Chanzo