Propaganda za uchawi na ushirikina

Pole sana ndugu. Tafuta sheikh mzuri akupige kisomo mambo yatakaa sawa tu.
Huwa namchukia Sana mtu anayesema hakuna uchawi, huwa nahisi yeye mwenyewe ni participant mkubwa hivyo anajaribu kuwatoa watu kwenye hiyo Imani ili kulinda Siri za kuvu za Giza wazifanyazo.
 
Wazungu wana uchawi hatari sana mkuu sema, hawaumizani kama Sisi. Kuna sehemu njombe huko wajerumani waliacha Mali ila mapaka leo hakuna kiumbe kinaweza chukua kitu. Zaidi ya wao wenyewe.
 
"Mungu hata umtegemee vipi hawezi kutenda wajibu wako.
Yeye atakachokuzuia ni hila za waovu na Shetani. Mengine yote ufanye MWENYEWE."


Mkuu hapa sijaelewa vizuri.


Mungu kamwe hawezi kufanya wajibu wako hata Kwa sababu gani.

Siku ukielewa hili utakuwa huru
 
Umejuaje mama yako wa kambo kamroga baba yako akuone kama mavi..?!

UMEJUAJE..?!!
Si nimehangaika kwa watalaam pia kanizika ihali napumua inshort nilienda kwa Mganga kwa masuala mengine kabisa ila mwishowe akapiga faraq na akiniambia Kuna uchawi ulifanyiwa ktk makabri lengo la Hawa watu usahaulike
 
Huwa namchukia Sana mtu anayesema hakuna uchawi, huwa nahisi yeye mwenyewe ni participant mkubwa hivyo anajaribu kuwatoa watu kwenye hiyo Imani ili kulinda Siri za kuvu za Giza wazifanyazo.
Kweli kabisaa, hata mtaani ukiona yule anaebisha sana kua hakuna uchawi ndie master wa mambo.
Unaweza kuta hapa tunabishana na Mchawi.
Laanatul.
 
Si nimehangaika kwa watalaam pia kanizika ihali napumua inshort nilienda kwa Mganga kwa masuala mengine kabisa ila mwishowe akapiga faraq na akiniambia Kuna uchawi ulifanyiwa ktk makabri lengo la Hawa watu usahaulike
Mkuu kama una ujasiri hapo fanya ka revenge tuu. Hawa watu sio wa kucheka nao kabisaa
 
Wazungu wana uchawi hatari sana mkuu sema, hawaumizani kama Sisi. Kuna sehemu njombe huko wajerumani waliacha Mali ila mapaka leo hakuna kiumbe kinaweza chukua kitu. Zaidi ya wao wenyewe.
Sio kwamba wana uchawi hatari sana bali ni vile ambavyo wamejikita kuutumia uchawi kwenye nini, huku kwetu tumejikita kwenye kuleteaba madhara na ndio maana tupo vizuri kwenye uchawi huo.
 
Mkuu na wewe unaroga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…