Propaganda za uchawi na ushirikina

Propaganda za uchawi na ushirikina

Kama unaumwa tumbo, kichwa au mfano wa maradhi kama hayo ya kiwiliwili, ipo miti, matunda, vyakula nk. ambayo inaweza kutibu. Na wapo wataalam (waganga) wa tiba hizo!

Lln linapokuja suala la uchawi; mkuu, fungua macho... UNAPIGWA!!
Hata hiyo miti wapo wasioamini kuwa inaweza kutibu na wapo matapeli ambao hudanganya watu kwa kujifanya wana dawa za mitishamba za kutibu maradhi ila ni uzushi tu, lakini pia miti hiyo hiyo hutumika kufanya uchawi na hata kutibu matatizo ya kichawi.

Kuhusu kwa waganga na issue ya uchawi ndio nimekwambia kama waganga wote wangekuwa ni waongo kwenye masuala ya uchawi basi watu wasingekuwa wanaenda tena na kusingekuwa na hao waganga kabisa.
 
Wengi wameaminishwa hakuna mafanikio bila dawa,huu ni uongo mkubwa.
Wachawi wamesambaza hofu ukifanya maendeleo kijijini utarogwa,hii ni mifano michache tu
Mkuu mbona kuna watu wana mafanikio sana na bado wana imani za kishirikina sana tu? kuna watu wana amini ushirikina kwenye biashara kama wahindi ila mbona wanaendelea?

Afrika imani za kuamini sana uchawi hutokana na kuwepo huo uchawi ni tofauti na kwa wenzetu kama Ulaya ambako hakuna sana watu wenye kujihusisha na uchawi na hivyo hakuwezi kuwa na imani sana za kuamini ushirikina.
 
Kwa mtazamo wako lakini kwa wengine, wanaenda na wanapiga bao na maisha yanawanyookea fresh tu. Thus why nakuambia kaa na imani yako sisi tukipiga bao tutakuja kuwa motivations speak kwenu.
Cha kushangaza utakua unafuata kanuni zote za motivations ila hutoboi still upo palepale.
Mababu zetu ni watu wa kuwaheshimu sana maana hata mzee wa butiama alienda kwa wazee kabla ya kupigania uhuru.
Mimi sio maskini mwenzio!

Unajidanganya na kunifariji tu!
 
Mkuu mbona kuna watu wana mafanikio sana na bado wana imani za kishirikina sana tu? kuna watu wana amini ushirikina kwenye biashara kama wahindi ila mbona wanaendelea?

Afrika imani za kuamini sana uchawi hutokana na kuwepo huo uchawi ni tofauti na kwa wenzetu kama Ulaya ambako hakuna sana watu wenye kujihusisha na uchawi na hivyo hakuwezi kuwa na imani sana za kuamini ushirikina.
Hii comment yako no kama inajijibu yenyewe.

Hao Wahindi unaowatolea mfano, hizo imani ni ujinga walioukuta ktk jamii zao nao wameurithi kama ulivyo.

Lkn mafanikio yao ni juhudi zao za kuchapa kazi na utundu utundu.

Hakuna anaebisha Wahindi ni wachapakazi na hawana masihara kwnye kusaka noti!

Lakini umewataja Wazungu kwamba hawana kabisa hayo mambo ya kichawi na wako mbali sana kimafanikio pengine kuliko jamii zote.
 
Ndugu mreta mada umetumia sources gani hadi kufikia kureta hii mada hapa au unatumia mafikirio yako tu juu ya uchawi
 
Ngoja yakukute, ndo utaelewa.

Wazeee wa madahababu wenyewe sometimes huenda kwa vigagula ili kipewa power na mvuto
Yanikute yapi..?

Yatanikuta lini..?!

Nitajuaje hayo yatayonikuta ni uchawi..?!

Kuogopa uchawi ni UKICHAA!
 
Hii comment yako no kama inajijibu yenyewe.

Hao Wahindi unaowatolea mfano, hizo imani ni ujinga walioukuta ktk jamii zao nao wameurithi kama ulivyo.

Lkn mafanikio yao ni juhudi zao za kuchapa kazi na utundu utundu.

Hakuna anaebisha Wahindi ni wachapakazi na hawana masihara kwnye kusaka noti!

Lakini umewataja Wazungu kwamba hawana kabisa hayo mambo ya kichawi na wako mbali sana kimafanikio pengine kuliko jamii zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa mimi masikini, wewe tajiri ila sijawahi ona tajiri ambae hana akili kama ww. Mimi masikini ila nina akili zangu.
Hakuna MWENYE AKILI ANAEPIGA BAO/RAMLI na kuamini UCHAWI!

Hizo ni AKILI ZA KIPUNGUANI!

Usitegemee akili za mganga...
Utachelewa sana!!
 
Eti wahindi ni wachapa kazi.[emoji23][emoji23] hivi kuna watu wanao abudu masanamu kama wahindi? Wahindi hao hao ukifanya kazi kwao ukiiba unakutana na mapicha picha kibao.

Amsha akili yako acha fikra za 90's .
 
Hakuna MWENYE AKILI ANAEPIGA BAO/RAMLI na kuamini UCHAWI!

Hizo ni AKILI ZA KIPUNGUANI!

Usitegemee akili za mganga...
Utachelewa sana!!
Kwaiyo mzee wetu alipoenda B/moyo kabla ya kwenda kuupigania uhuru alikua hana AKILI?
ENDELEA na fikra zako za kilokole hivyo hivyo.
Ipo siku yatakukuta. Na utakuja toa ushuda humu.
 
Huyu tusibishane nae zaidi mkuu maana tunampa airtime ya bure huku alafu ni pointless
Tumieni vizuri AKILI MLIZOPEWA NA MOLA WENU MLEZI, msitegemee akili ndogo za wapiga ramli zitatue shida zenu!
 
Eti wahindi ni wachapa kazi.[emoji23][emoji23] hivi kuna watu wanao abudu masanamu kama wahindi? Wahindi hao hao ukifanya kazi kwao ukiiba unakutana na mapicha picha kibao.

Amsha akili yako acha fikra za 90's .
Kwanini uige UJINGA WA WAHINDI sasa..?!
 
Tumieni vizuri AKILI MLIZOPEWA NA MOLA WENU MLEZI, msitegemee akili ndogo za wapiga ramli zitatue shida zenu!
Kila mtu akae na imani yake aloo, mbona wanao wategemea manabii wa skuizi wapo na maisha yao fresh tu na ushuhuda wanatoa kila siku makanisani mwao.
It means ukiona mafanikio lazima uegemee hapo.

People will love and support you when it's beneficial.
 
Kwaiyo mzee wetu alipoenda B/moyo kabla ya kwenda kuupigania uhuru alikua hana AKILI?
ENDELEA na fikra zako za kilokole hivyo hivyo.
Ipo siku yatakukuta. Na utakuja toa ushuda humu.
Nyerere HAKWENDA Bagamoyo KUPIGA RAMLI acha uongo!!
 
Mkuu mbona kuna watu wana mafanikio sana na bado wana imani za kishirikina sana tu? kuna watu wana amini ushirikina kwenye biashara kama wahindi ila mbona wanaendelea?

Afrika imani za kuamini sana uchawi hutokana na kuwepo huo uchawi ni tofauti na kwa wenzetu kama Ulaya ambako hakuna sana watu wenye kujihusisha na uchawi na hivyo hakuwezi kuwa na imani sana za kuamini ushirikina.
Afrika kuna black magic sababu ya nature ya mwafrika ulaya kuna White magic sababu ya nature yao.
 
Back
Top Bottom