Kama walivokua wanawafanyia akina mdee kipindi kileKumbuka time doesn't run against the government kwenye criminal changes pia defective charge haizuii mtuhumiwa kukamatwa tena.
Anaweza kuwa acquitted then hapohapo anakamatwa Tena ikiletwa charge sheet mpya.
So worry out.
Shitaka la milioni1 kwa kunyonya mafuta lita zisizo na idadi!Tukimalizana na Sabaya tuelezwe kwanini wezi wakubwa wa mafuta kigamboni wamepelekwa mahakamani kimyakimya bila chombo chochote cha habari kulipoti. Wameshitakiwa kwa kosa dogo la kuisababishia serikali hasara ya Tsh milioni moja na nusu na kupata dhamana kimyakimya.
Kama uliwahi kuifatilia ile kesi ya watu wa madini waliouwawa msitu wa pande utajaribu kunielewaHachomoki
So far kibarua ni kama hakipo tena .labda sijui mafao.Hata Kama,lakini atasota na kukaa Sana Kisongo,na akitoka huko na kibalua kitakuwa kimeota Nyasi.
Bora umekiri hujui/husomi sheria. Ungejinasibu unesoma au unajua Sheria ningekuomba utuandikie hapa contents za Charge Sheets zinatakiwa kuwaje.Kwamba kosa ni lugha hafifu tu ila particulars zimejitosheleza?
We jamaa haupo sawa kichwani mimi sisomi sheria na sijawahi hata kusikiliza kesi moja ila naona utumbo tu kwenye hii report
1st statement wameshindwa justify hiyo Organized crime imefanyika vipi hivyo hiyo kesi inaonekana wazi ni Corruption ya makubaliano ya pande zote mbili
Mashtaka yake yapo mengi ilitakiwa zije page angalau 50 ndio uchunguzi uendelee yeye akiwa ndani anasubr
Kesi ilifunguliwa juu ya KUUA, mwisho wa siku alieshika Bastola akaua alikua ni mmoja tu, nae ni Koplo Saad, hakua Kamanda Zombe, so akachomokea hapo.Kama uliwahi kuifatilia ile kesi ya watu wa madini waliouwawa msitu wa pande utajaribu kunielewa
Yalikosewa maneno mawili matatu tu , yakamfanya kamanda aonekane innocent.na kumwuweka huru .
Kesi ngumu inategemeana na mwendesha mashtaka alivyo i frame, akikosea , hata wenye hatia wanaweza kuwa huru.
Hata asilambe miaka. Kitendo Cha kuondolewa marinda kimemtia adabu lkn pia kitendo Cha kufungwa pingu mtu aliyeonekana kinara kimewafurahisha wengi.Hao wengine hawatakua na kosa la kutumia ofisi ya umma hivyo wataachiwa sababu walitumwa na mshitakiwa namba moja, lakini watafunguliwa mashitaka mengine ya kushiriki.
Money kuna mashitaka mawili au matu lazima alambe miaka 30
We kweli taahira.Kwamba kosa ni lugha hafifu tu ila particulars zimejitosheleza?
We jamaa haupo sawa kichwani mimi sisomi sheria na sijawahi hata kusikiliza kesi moja ila naona utumbo tu kwenye hii report
1st statement wameshindwa justify hiyo Organized crime imefanyika vipi hivyo hiyo kesi inaonekana wazi ni Corruption ya makubaliano ya pande zote mbili
Mashtaka yake yapo mengi ilitakiwa zije page angalau 50 ndio uchunguzi uendelee yeye akiwa ndani anasubr