Protectionism ni hatari kwa Maendeleo ya Viwanda

Protectionism ni hatari kwa Maendeleo ya Viwanda

Hili swala kama ulivyolileta hapa upo sahihi kabisa, je kama tunaleta soko huria la bidhaa tuko tayari kuwasaidia vijana waweze kupambana kwenye soko la ajira hata huko nje ya nchi ambako kuna uzalishaji mkubwa badala ya kuishia kuwa wachuuzi wa bidhaa zinazotoka nje? au tufanye badala ya kuruhusu bidhaa tuyaite makampuni yaje kuwekeza hapa hapa nchini ili vijana wetu wapate ajira..
 
Protectionism inaleta uzembe, ubwana na umwinyi. Lazima turuhusu ushindani! Viwanda vyetu viwe flexible kuwekeza katika teknolojia. Tuweke sera nzuri za uwekezaji ili wenye mitaji wapate hamasa ya kuja kuwekeza kwa kuweka viwanda nchini. Hamuwezi kuendelea kwa kujifungia ndani na kuumiza wananchi huku wachache wakinufaika, ni upuuzi.

Wawekezaji wa ndani wanaotaka ku upgrade teknolojia ya viwanda vyao, sera iwe rafiki kwao, mitambo na vipuli vya viwanda visitozwe kodi ili kuruhusu uwekezaji zaidi, kodi tutapata kutokana ajira viwandani, mauzo ya bidhaa n.k . Kikubwa ni kuwa wenye viwanda wengi hapa tz wanataka kupata faida tu, they don't invest in technological advancements
Mkuu, kwani haya uliyoandika hapa mimi nimeyakataa kwenye andiko langu?

Lakini ni wazi kwamba hakuna mahali popote duniani ambapo nchi huondoa ulinzi wote wa viwanda vyake.
 
We hujaelewa, kasema wenye viwanda wajiongeze na wao kuzalisha bidhaa kwa ufanisi. Maana sukari hiyo ya Brazil inalipiwa kodi kibao na gharama za usafiri lakini inakuwa bei rahisi kuliko ya hapa.

Kipindi cha Nyerere hiyo protectionism ilisaidia nini zaidi ya kuharibu zaidi uchumi wa nchi?
Sikubaliani na huo mstari wako wa mwisho kwa sababu huo ni upotoshaji. Viwanda kutofanikiwa wakati huo kunatokana na sabau nyingi na wala siyo sababu hiyo inayosisitizwa kila mara.

Brazil wana-'susidize' viwanda vyao; pamoja na kwamba wamepata mafanikio makubwa kwenye teknologia yao.

Mimi sijakataa popote kuhimiza viwanda vyetu watumie teknologia ya kisasa; sijakataa popote wakulima wetu wasiwezeshwe kuwa na kilimo chenye tija, kinachotoa mazao mengi kwa gharama ndogo.

Sasa tatizo lipo wapi?

Protectionism ilikuwepo, na itaendelea kuwepo kote duniani. Hakuna hata nchi moja inayokubali viwanda vyake vife eti kwa sababu ya kufungulia wengine wanaouza bidhaa zao kwa bei nafuu.
 
Hata kwa maendeleo pia. Leo tungesema TTCl wabaki peke yao ili kulinda makampuni yetu sijui hali ingekuwaje? sitaki kuwaza.
Free competition ni kwa afya ya mlaji sikuzote... protectionism inawavimbisha kichwa producers wa ndani
 
Protectionism is not good for the World......, lakini in the World with Free Trade and Not Fair Trade wengi wataumia. Na kama unadhani hii Trade inayoendelea ni Fair basi think again.... kwanza ngoja kidogo nikupe Hekima za Mwalimu.....

How do you open up your market to big competitors while you have no power to compete with them? In boxing there are different stages ( heavy weight, feather weight and so on ), all these groups fight on equal rings, you don’t put a heavy weight and a feather weight on the same ring and expect a fair competition. What westerners are proposing is GERMANY and BURKINA FASO should get on the same ring and call it free trade. YOU PROTECT THE WEAK UNTIL THEY BECOME STRONG BEFORE THEY CAN COMPETE, its a rule everywhere.

Nyerere reframed a good question to free trade as quoted, “when you say we should all be treated as equals, do you mean African companies have the same opportunity to open branches in Europe. Will this equality give NBC ( national back of commerce in Tanzania) an opportunity to open a branch in New York city Manhattan?


Kabla haujazani mimi ni Mercantalist na ninapenda kila mtu anunue vyake..., hapana hii itapunguza ufanisi wa dunia Kuna vitu kutokana na Geography na other things you just can not produce them as efficient as others.... kwa kukuacha nakuachia Qoute ya another Wise Man....

It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy...

Kwahio hapo point ni kununua / kuchukua / kuagiza vile ambavyo ni gharama kutengeneza wenyewe sio kuchukua kila kitu willy nilly
 
Back
Top Bottom