Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Tuta??????? Wewe na pesa ya nani????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuta??????? Wewe na pesa ya nani????
Magu si mvuta bangi UK kublunder wahamiaji Haramu wameondolewa na wataendelea kusakwa
Yap si umeona na mifugo yenu mbioni kufungiwa? Si kwa ubaya ila katika kutimiza majukumu ya kutunza rasilimali zetu. Baada ya hapo mifugo ya Kenya italipa kodi kuja kufuata malisho Tanzania. Hatujaharibu miundo mbinu wala kumkosea mtu kwa ustaarabu na utulivu tuu..muendelee kuandamana Majirani na kumchafua Magufuli.Bongo ya viwanda hapo😀
Pumba?!!!!?? Nadhani labda uwezo wako wa kufikiria ni mdogo umeona Pumba wakati ni madini ya Vito.Hivi katiba mliotaka kuiandika upya ni gani?Au bado mnaitafuta kwenye jamii,inapoishi?Acha kuongea pumba jombaa,hapa kuna watu wazima bana!
Sawasawa!Pumba?!!!!?? Nadhani labda uwezo wako wa kufikiria ni mdogo umeona Pumba wakati ni madini ya Vito.