Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Mkuu unazingua demu wangu yuko hm lakini ni kifaa hataree
 
Ngoja siku mpaka nikikutana naye ndo nitajua ,,but she is really beautiful ,,gorgeous ,delicious,queen , a woman with huge hips and bounce breasts ,, she is nothing but an angel , her eyes sparkle , she is decided , practical and determined girl ,, she looks as beautiful as outside and inside ...

Daaahhh its true the girl is soo much beautiful !! Huwa nikiona hata nukuta yake tu akikoment natabasam sana ,,ananifanya nisikosekane humu ,niwe Om au kazi siwezi kosa kua humu.
 
Hahahah tangu nimeweka huu uzi nimekutana na wengine watatu ctaki kuyaweka wazi mazingira wala majina ila sitaman kukutana nao tena ila mmoja itanibid tu kwasababu ...mimi ndie mwenye shida zang

Note : ikiyokea kaja apa mi natania tu bana siko serious
 
mmh... I luv Miss Natafuta popote alipo na alivyo.
 
Mwenye picha ya demu yeyeto MBAYA wa umu Jf atusaidie kuattach kwenye hii tread please

Mdemu Wabaya Wenye Malingo Yenu umu JF Samahanini Lakin Jamani
Hivi kwani ukizungumzia mademu wabaya unalenga kitu gani?
 
Hahahah tangu nimeweka huu uzi nimekutana na wengine watatu ctaki kuyaweka wazi mazingira wala majina ila sitaman kukutana nao tena ila mmoja itanibid tu kwasababu ...mimi ndie mwenye shida zang

Note : ikiyokea kaja apa mi natania tu bana siko serious
Mkuu njoo pm unielekeze njia ulizitumia kukutana na hao viumbe wa jf.


mm naamini kukutana na kiumbe cha jf ni ngumu sana sababu ya watu kutumia utambulisho feki.unaeza kuta jina la demu lakini kumbe ni kidume kinatumia jina lakike.ebu nipe makinikia yakukutana na viumbe vya jf.
 
Mbona majina mazuri hivi na avatar mpaka udenda unatutoka! Halafu wana mkutano wao humu kwamba wametafuta wachumba wamekosa.....
 
Back
Top Bottom