Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Mkuu unazingua demu wangu yuko hm lakini ni kifaa hataree
 
Ngoja siku mpaka nikikutana naye ndo nitajua ,,but she is really beautiful ,,gorgeous ,delicious,queen , a woman with huge hips and bounce breasts ,, she is nothing but an angel , her eyes sparkle , she is decided , practical and determined girl ,, she looks as beautiful as outside and inside ...

Daaahhh its true the girl is soo much beautiful !! Huwa nikiona hata nukuta yake tu akikoment natabasam sana ,,ananifanya nisikosekane humu ,niwe Om au kazi siwezi kosa kua humu.
 
Hahahah tangu nimeweka huu uzi nimekutana na wengine watatu ctaki kuyaweka wazi mazingira wala majina ila sitaman kukutana nao tena ila mmoja itanibid tu kwasababu ...mimi ndie mwenye shida zang

Note : ikiyokea kaja apa mi natania tu bana siko serious
 
mmh... I luv Miss Natafuta popote alipo na alivyo.
 
Videmu vya jf vinavyojua kuringa nyuma ya kibodi/simu vinajidai vikali kwakuwa vinatumia Id feki na picha zao hazionekani.



Naunga mkono hoja 100%
Tumejidai wapi jamani lol
 
Mwenye picha ya demu yeyeto MBAYA wa umu Jf atusaidie kuattach kwenye hii tread please

Mdemu Wabaya Wenye Malingo Yenu umu JF Samahanini Lakin Jamani
Hivi kwani ukizungumzia mademu wabaya unalenga kitu gani?
 
Mkuu njoo pm unielekeze njia ulizitumia kukutana na hao viumbe wa jf.


mm naamini kukutana na kiumbe cha jf ni ngumu sana sababu ya watu kutumia utambulisho feki.unaeza kuta jina la demu lakini kumbe ni kidume kinatumia jina lakike.ebu nipe makinikia yakukutana na viumbe vya jf.
 
Mbona majina mazuri hivi na avatar mpaka udenda unatutoka! Halafu wana mkutano wao humu kwamba wametafuta wachumba wamekosa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…