Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Hizo takwimu za kuonyesha dada zetu ni ugly umezitoa wapi.

Ebu kuwa na adabu bas kwa dada zetu. Mwezi mpya ndio kwanza umeanza. Halafu unaanza kuwaletea dada zetu uchuro. Iwe mwanzo na mwisho kudhihaki dada zetu.



jje'
sakayo
paprika
Mahondaw
Shunie.
Wabaya tuna kazi jaman kwani tumejiumba wenyewe hizi mambo ndio zinatufanya tuogope hata kuonana mwisho wa siku tutakuna na mathread na misura yetu ya baba tumewekwa
 
Siwezi kusema au kuchangia chochote. Sijawahi hata cku moja kukutana na dem yoyote wa humu ndani(jforum). Wadada mnitafute tuonane ili niweze kuwatetea.

sent from using iphone 7+ mobile app
Kwakwel ni vimeo hatari
 
Yaani vimdada vizuriiii sana niko navyo tangia chuo!! vizuri hatareee! na nilijua haya sababu nina kaujuzi wa computer nilijifunza kutoka kwa mjomba wangu wkt flani hivi nikiwa nasubiri matokeo ya kwenda kujiunga na chuo!

nikiwa chuo nilikuwa fundi simu na computer kweli nilikula fedha ya wanachuo na wakufunzi hasa!! sasa ktk kufanya haya nikwajua wengi sana ambao wengine niko nao humu tunajuana tu mpaka huko!! Quora, dupic, jaliwa nk! kwa kwenda mbele wazuri hatare

wewe ukipata niulize mie nikupe details, hata wengine wameniunganisha huko nisikojua nika shindwa mie! hawakufichi na wao wanaunganishwa na jamaa zao wa mbele huko! si unajua wadada matawi!

Lkn ukitaka nikuunge ni kwa hela ntakwambia oa au usioe!!! hivi kweli unadhani wanavyuo wote ndani na nje ya nchi wawe wabaya kwa asilimia 80? wewe nadhani hukuwahi kaa vyuoni wewe! kwanza huko mbali seco. tuu! hapo! humu ndo wadada pa kupitapita wanaondoa stress!

na wazuri walivo hawajitokezagi kujibu wanapita hivi!!! mie nadhani wewe ndo tatizo ila wadada tena nadhani ni bomba wote! kina Lina, hao! jack mweee! katoto kazuri sijui miss natafuta, ina maana hujawahi kuonana hata kiasi cha kumi tu kutoka humu?

kuna yulee HR wa AAR, sasa jamani yule ni mbaya kweli? ivi ukiwaona hawa utasemaje! ni myoto hatare!!! mdada aliye kwenda shule wamo humu tu lazima!! ukiona hata uchangiaji wao wakisomi sema tu unataka wajitokeze upatiemo

Jamanie wadada mkae hukohuko mnatakwa kuonwa na huyuuuuu!!!
 
mahondaw wangu...
She is beautiful words wont bring me down... She's got a new addiction for every day and night...
Though we live a crazy life but she takes away all the pain...

Her lips, her eyes, her heart, her attitude her, She took my heart... Once i had a taste of her i have never been the same she made me go insane about her... now am addicted to my mahondaw...



Cc: mahondaw
I wish i could turn back the hands of time😹
 
OMG thanks Smart911 sweetheart.. Wewe ndo unaning'arisha bila wewe am nothing.. .asante kwa kuona nakufaa mfalme wangu na kuzidi nipendezesha zaidi na zaidi...
Nakupenda Smart911 mume wangu!
If moments would be easily brought back in our lives, I wouldn't be thinking as how I do now.
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Kama wengi humu ni wa kichaga basi ni sahihi coz of maumbo yao.
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]

Ndio unajua leo?
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom