Proved: Diamond Platnumz alipia Matangazo Youtube

Proved: Diamond Platnumz alipia Matangazo Youtube

Diamond kazi anayo mwaka huu.

Mwaka huu ndio atajua watanzania ni watu wa namna gani. Pamoja na kwamba yeye pia katawaliwa na uswahili mwingi, kazi anayo.

Mshaurini aachane na mambo ya kiswahili, uswahili utamgharimu, kama anataka kuendelea kubakia kileleni, aachane na uswahili, ajionyeshe kua yeye ni international artist.

Mashindano ya kijinga jinga awaachie wajinga, aachane na mameneja waswahili swahili, mameneja wa kizaramo, maneno mengi.

Bado nina imani Diamond ni mwanamziki mkubwa, akiacha uswahili kama miaka 3 au 2 iliyopita, bado utawala wa muziki afrika mashariki na kati ni wake.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.

Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
View attachment 581154

Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.

Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.

Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.

Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.

Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.

Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.
Sasa kinacho kushangaza ni nini? Mbona hushangai Mengi kulipia matangazo ya soda zake?
Hivyo ndivyo biashara hufanywa na kwa juhudi hizo Diamond ataendelea kupiga pesa hakika....
Vichwa vigumu mnashangaa mfanya biashara kutangaza huduma yake?
 
Vijana wa kitanzania, jishughulisheni na maisha yenu jamani, mnajihusisha na Diamond anawasaidia nini maishani?
Tena unakuta ni vidume kabisa swali ambalo mimi huwa najiuliza hivi jamaa akifilisika watapata faida gani at least anavyofanikiwa analipa kodi na kaajiri watu pia hivyo kwa kiwango fulani anakuza uchumi

Sent from my Phillips Savy
 
Hata kanumba mlimsema sana ila alipokufa mkajiweka kimbelembele front kumsifia na kumhuzunikia. Dai akienda na bongo fleva aina yake inakwisha na kiba anakwisha kama ray wa bongo movie
Huo ndio ukweli mkuu na wataanzisha thread hapa bongo fleva sio

Sent from my Phillips Savy
 
Kwa nini sasa???????hofu inauwa.....watazame P square ni matajiri ila madogo Davido na Wizkid wanawafunika kimuziki ni sawa na Mondi...ajipange mambo ya kutegemea video Kali kubeba audio mbovu umekwisha...mangoma niliyopenyezewa ya Kiba yanatisha kuna watu wataenda kujificha Somalia
 
Kwa nini sasa???????hofu inauwa.....watazame P square ni matajiri ila madogo Davido na Wizkid wanawafunika kimuziki ni sawa na Mondi...ajipange mambo ya kutegemea video Kali kubeba audio mbovu umekwisha...mangoma niliyopenyezewa ya Kiba yanatisha kuna watu wataenda kujificha Somalia
Unapika na kupakua kwa kiba mpk anakupenyezea ngoma zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond platnumz kulipia YouTube kwa ajili ya promo si sawa ila kiba kulipia instagram kwa ajili ya promo ni sawa ,wewe kama humpendi mtu sema si mpendi, kwa kifupi kiba na mondi wanabebwa na beef mziki hawana na ndio maana wanahangaika mara kiba aombe sapoti kwa mange, Mara alipie promo insta huku mondi nae alipie promo YouTube, kwa kifupi mwaka huu msanii aliyevuma bila promo ni Asley na nyimbo bora ya mwaka ni angekuwepo mama, full stop ila kiba anategemea promo na maadui wa mondi na mondi nae anategemea promo kwa kifupi mziki hawana.
 
Biashara matangazo me sioni ubaya anao fanya ikiwa yy anajua mwisho wa siku ana make more money
 
Hii ni interesting kidogo. Juzi nilisikiliza wimbo huo wa Zilipendwa pamoja na ule wa Kiba "Seduce Me" nadhani nilizisikiliza mara tatu zote. La ajabu ni kuwa kila ninapoingia Youtube sasa, naonyeshwa "Zilipendwa" kuwa ni Up next hata kama wimbo ninaosikiliza hauna uhusiano kabisa na bongoflava! Nililitewa Zilipendwa kama Up Next wakati nilipokuwa nafuatilia Lecture fulani ya Lie Groups and Lie Algebras. Mwazoni sikuona tatizo ila sasa ninaanza kujiuliza kwa nini. Kila nikiingia Youtube, kwa video yoyote ile, ninawekewa Zilipendwa kama Up next. Hapa ni baadhi ya screenshots ninazopata, I can go on and on!!
View attachment 581172

View attachment 581188

View attachment 581192

View attachment 581204
hahahha...sasa unashangaa nini sasa?? nenda kamwambie mange...hahahaha
 
Wabongo kazi kulalia tu bila sababu
 
Baadhi ya watu labda Hawaelewi.

Ukisikia Msanii anajisifia kuwa nyimbo yake imetazamwa sana kwenye mtandao wa YouTube ni ishara ya kuwa wimbo wake umependwa na nimzuri.

Ili kujisifia huko kuwe na maana ni pale ambapo video yako inapata organic traffic.

Ukitangaza maana yake umepata watazamaji wakununua mwenyewe.

Kwa kifupi huwezi jua nguvu ya video yako.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: 314
Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.

Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
View attachment 581154

Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.

Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.

Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.

Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.

Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.

Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.
Mbona hata Seduce Me ime lipwa uko Vevo au ujaiona

G.O.M.D
 
Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.

Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
View attachment 581154

Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.

Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.

Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.

Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.

Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.

Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.
Jibu kumbe unalo mwenyewe kuwa anafanyia matangazo.....kila mfanyabiashara anabuni kulingana na nyakati na wakati, sasa unashangaa nn yy kama kaona kunauhitaji wakutumia njia iyo kufanya matangazo yy anasababu zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaniiiii eh maisha magumu vijana tafuteni hela... halafu muanze kulialia tena TRA waliwaonea kuwauliza kuhusu mekanikia , mna nini vijana wa kitanzania?
 
Naona [HASHTAG]#Zilipendwa[/HASHTAG] imeanza kuwakamata...
 
Back
Top Bottom