Muger
Member
- Jun 24, 2017
- 59
- 80
Uswahili ni nini kwanza..?? yawezekana hujui hata maana ya neno hilo..Kwahiyo wewe unataka Diamond aendeleze uswahili kwakuwa sisi ni waswahili?
Acha hizo wewe na ujiamini maana kila kitu wewe unafanya comparison
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ww binafsi unamtaka nini mtu mpaka uanze kumpangia jinsi ya kuishi na jinsi ya kuendesha maswala yake yanampo mkate wa kila siku.
Wengi kama wewe uchambuzi wenu umejaa chuki na vinyongo kwa watu mnaowakosoa.
Na hiyo comparision nimeifanya wapi zaidi ya kukuonesha kuwa kuna mastaa kibao wanatumia "add" katika kutangaza biashara zao hususan Ytube.
Sent using Jamii Forums mobile app