PSPF towers kufunikwa na TPA tower, Dar kama ulaya!

PSPF towers kufunikwa na TPA tower, Dar kama ulaya!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Ona mambo hayo..!

attachment.php
 
Yeah..nadhani hao mapacha wataongoza kwa urefu bongoland..!
 
Mkuu samahani naomba kuuliza..hili jengo la PSPF ni hili hapa nyuma ya Millenium Tower?
By the way hii Camera uliyotumia hapa si mchezo..picha kiwango sana..!!
 
Yeah..nadhani hao mapacha wataongoza kwa urefu bongoland..!

siyo bongo tu. east and central and west and north africa. south tu ndo wametupita kidogo. PSPF ni la nne kwa urefu hapa Afrika. kwa hiyo TPA itakuwa juu zaidi
 
Ywah ni njia nzuri majirani zetu hawana viwanja vya kujenga maana yao yalijengwa zamani
 
Mkuu, hawa watu achana nao bwana wanavyocheza na nchi hii, nakuwa najiuliza hiyo michirizi ya njano na vioo vya kijani vinaashiria nini!
Em' acha kua kama msukule bwana.., kwani hili jengo ni la CCM..?!
Hivi unajua hayo majengo yanajengwa na mkandarasi mmoja japo ni ya wamiliki tofauti japo wako chini ya 'umma mmoja' wa Watanzania?
Na je, unajua kuwa huyo mkandarasi aliwahi kutajwa kwenye orodha ya watu fulani!
Ukipata majibu hayo utafakari then ujikumbushe ujenzi wa 'twin towers' za BoT, hapo utajua baada ya 2015 anaweza kupatikana 'Dr. liyumba' mwingine.
Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.



 
siyo bongo tu. east and central and west and north africa. south tu ndo wametupita kidogo. PSPF ni la nne kwa urefu hapa Afrika. kwa hiyo TPA itakuwa juu zaidi

Duh. Nafikiri ushamba umeshanitoka. Majengo marefu kwangu kitu cha kawaida siku hizi, nimewahi simama pale chini ya haya majengo pacha. Ni marefu kweli, ila sikuona marefu kiasi hicho cha kusema ni marefu East, central, West mwa Afrika. Basi vizuri. Nikienda tembea ulaya au sauzi sitashangaa majengo marefu. Pia naomba kuelimishwa, PTA ndo hizo twin towers au.
 
Mkuu, hawa watu achana nao bwana wanavyocheza na nchi hii, nakuwa najiuliza hiyo michirizi ya njano na vioo vya kijani vinaashiria nini!Hivi unajua hayo majengo yanajengwa na mkandarasi mmoja japo ni ya wamiliki tofauti japo wako chini ya 'umma mmoja' wa Watanzania?
Na je, unajua kuwa huyo mkandarasi aliwahi kutajwa kwenye orodha ya watu fulani!
Ukipata majibu hayo utafakari then ujikumbushe ujenzi wa 'twin towers' za BoT, hapo utajua baada ya 2015 anaweza kupatikana 'Dr. liyumba' mwingine.




Aisee...! hivi inawezekana eeh!
 
Hakika PTA ni jengo Refu sana..

Wenzetu Kenya lazima udenda uwatoke hapa..
 
Duh. Nafikiri ushamba umeshanitoka. Majengo marefu kwangu kitu cha kawaida siku hizi, nimewahi simama pale chini ya haya majengo pacha. Ni marefu kweli, ila sikuona marefu kiasi hicho cha kusema ni marefu East, central, West mwa Afrika. Basi vizuri. Nikienda tembea ulaya au sauzi sitashangaa majengo marefu. Pia naomba kuelimishwa, PTA ndo hizo twin towers au.
TPA tower ni hilo linalojengwa kushoto mwa hizo PSPF towers..
 
Mkuu, hawa watu achana nao bwana wanavyocheza na nchi hii, nakuwa najiuliza hiyo michirizi ya njano na vioo vya kijani vinaashiria nini!Hivi unajua hayo majengo yanajengwa na mkandarasi mmoja japo ni ya wamiliki tofauti japo wako chini ya 'umma mmoja' wa Watanzania?
Na je, unajua kuwa huyo mkandarasi aliwahi kutajwa kwenye orodha ya watu fulani!
Ukipata majibu hayo utafakari then ujikumbushe ujenzi wa 'twin towers' za BoT, hapo utajua baada ya 2015 anaweza kupatikana 'Dr. liyumba' mwingine.




Inter-consult?
 
Back
Top Bottom