Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Hapana ni matunda ya makalio ya nyanya yako!Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni matunda ya makalio ya nyanya yako!Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Matunda ya CCM au ni michango ya watumishi ambao hata hawapewi gawio la mitaji yao!Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Kuna umuhimu wa kuwa na majengo marefu hvyo??
Wanajenga majengo town parking za shida...mifoleni hayo majengo yangejengwa kibaha huko au bagamoyo...
Mkuu samahani naomba kuuliza..hili jengo la PSPF ni hili hapa nyuma ya Millenium Tower?
By the way hii Camera uliyotumia hapa si mchezo..picha kiwango sana..!!
Yaani akili zetu bwana Kenya watuonee wivu kwa kuwa na magorofa marefu? Wao kila siku wanaongeza idadi ya viwanda wanazidi kuimarisha shilingi yao, pesa inathamani na wanauhakika wa ku export mali, sie tunajivunia kuinua shingo juu kuangalia mwisho wa jengo.
Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Hayo ndiyo majanga ya elimu wanayo pata vijana wetu,ukiongezea na kukosa exposures inakuwa shida. Na baada ya miaka michache hawa ndiyo decision maker ktk taasisi na mashirika yetu ya Umma!!
Ona mambo hayo..!
![]()
Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Mkuu samahani naomba kuuliza..hili jengo la PSPF ni hili hapa nyuma ya Millenium Tower?
Nchi za watu wenye akili timamu mfano China hayo ni majengo ya kijiji, yaani Village,.... sema bongo watu wa kuwa impressed na vitu vidogo sana...Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.