Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Acha kutuletea kichefuchefu hapa bana, aagh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Yaani akili zetu bwana Kenya watuonee wivu kwa kuwa na magorofa marefu? Wao kila siku wanaongeza idadi ya viwanda wanazidi kuimarisha shilingi yao, pesa inathamani na wanauhakika wa ku export mali, sie tunajivunia kuinua shingo juu kuangalia mwisho wa jengo.
watu wakiamshwa wanapiga baba zao, ishara ya uvivu. Bila kuwaondoa hawa na kudhibiti hela za bure wanazopeana kuelimsha vijana itakuwa kazi sana,baadhi ya wasomi ndio wanaongoza kwa ubumbavuJuzi wamezindua ujenzi wa reli yao kwa kiwango cha standard gauge, sisi tunakarabati reli iliyoachwa na mjerumani miaka 100 iliyopita, CCM ni janga jamani tuamke!
Matunda ya CCM we chizi kweli hao PSPF wanajengea hela zetu za pension na hao ccm wenyewe wanakopa halafu unasema matunda ya CCM.?Matunda ya CCM hayo.
Tunazidi kusonga mbele.
Wewe FRANCIS DA DON ni mjingaOna mambo hayo..!
![]()