PSPF towers kufunikwa na TPA tower, Dar kama ulaya!


Juzi wamezindua ujenzi wa reli yao kwa kiwango cha standard gauge, sisi tunakarabati reli iliyoachwa na mjerumani miaka 100 iliyopita, CCM ni janga jamani tuamke!
 
Juzi wamezindua ujenzi wa reli yao kwa kiwango cha standard gauge, sisi tunakarabati reli iliyoachwa na mjerumani miaka 100 iliyopita, CCM ni janga jamani tuamke!
watu wakiamshwa wanapiga baba zao, ishara ya uvivu. Bila kuwaondoa hawa na kudhibiti hela za bure wanazopeana kuelimsha vijana itakuwa kazi sana,baadhi ya wasomi ndio wanaongoza kwa ubumbavu
 
Matunda ya CCM hayo.

Tunazidi kusonga mbele.
Matunda ya CCM we chizi kweli hao PSPF wanajengea hela zetu za pension na hao ccm wenyewe wanakopa halafu unasema matunda ya CCM.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…