Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika, PSRS wanajitahidi sana. Ni kufanyia tu kazi mapungufu hayo itakua vizuri sana.Mimi waendelee tu, Ila tu nawaomba kitu kimoja kwao.
• Wawe time management, yaan watangaze kazi kwa wakati, kuita usaili mapema na baada ya Oral kuitwa kazini iwe ndani ya wiki 2 au 3.
• Nao waombe kibali Cha Ajira ili wapate watu wengi ambao itasaidia kufanyika kwa saili Kila Kanda.
Ni hayo yangu Ila ukweli PSRS wako vizuri, wanachapa kazi na waendelee kupewa hii dhamana.
Nawasihi sana wasijisahau kwenye kazi zao, mambo ya kusemwa vibaya na mkuu wa Nchi kama hivi leo sio Vizuri na inawashushia Ile heshima yao kama Taasisi inayoaminika, So watu wasiofuatilia harakati za utumishi basi watawaona mafedhuri wanatoa Ajira kwa kujuana/rushwa kumbe Wala siyo hvyo..
Sekretarieti ya Ajira
Baba kanituma baba kamlete.Utumishi waendelee kusimamia hili zoezi kinyume cha hapo tutarudi nyuma sana kule kwa KAMLETE SYSTEM.
Muhimu waboreshe penye upungufu ila wana mazuri mengi pia.
Psrs wapo vzr hawana mambo ya connection, kipengere cha kurekebisha ni hicho cha uharakishaji wa michakato.Mimi waendelee tu, Ila tu nawaomba kitu kimoja kwao.
• Wawe time management, yaan watangaze kazi kwa wakati, kuita usaili mapema na baada ya Oral kuitwa kazini iwe ndani ya wiki 2 au 3.
• Nao waombe kibali Cha Ajira ili wapate watu wengi ambao itasaidia kufanyika kwa saili Kila Kanda.
Ni hayo yangu Ila ukweli PSRS wako vizuri, wanachapa kazi na waendelee kupewa hii dhamana.
Nawasihi sana wasijisahau kwenye kazi zao, mambo ya kusemwa vibaya na mkuu wa Nchi kama hivi leo sio Vizuri na inawashushia Ile heshima yao kama Taasisi inayoaminika, So watu wasiofuatilia harakati za utumishi basi watawaona mafedhuri wanatoa Ajira kwa kujuana/rushwa kumbe Wala siyo hvyo..
Sekretarieti ya Ajira
Nimeelewa vizuri hata mwa ajira za mda mfupi uhuni utakua mkubwa tu kwa hayo mashirika.Hujaelewa alichoongelewa aliongea miradi ambayo ni ya muda mfupi ajira zake sio lazima utumishi ili kuendana na muda wa miradi
Ayo mambo ayaepukiki ila kwa kiasi kikubwa PSRS inasaidia ata watoto wa maskini wanapata pakuingiliaPSRS ndo nini? na wenyewe majizi tuu, wanafojisha mitihani ya USAILI Kwa watoto wao na Kwa matoto ya vigogo mpaka inafungiwa maandazi mitaani, Tena Bado watu wanachomekwa makazini Kwa njia za panya kama Kawa. Hakuna Cha PSRS Wala Cha nini vyote na yote ni mlemule tuuu
Hiyo mitihani tunayofeli inatungwa na kusahihishwa na Warundi ?Ila Kuna kitu naona watanzania wengi sio waelewa ndo maana hata mitihani tunafeli.
Nilivyomuelewa mm ni kwamba zile ajira za mda za haraka haraka..
katolea mfano Ajira za kukusanya mapato TRA, jee hizo ni za muda mfupi ?Ni kweli, alizungumzia ajira za muda mfupi. Na kweli haileti maana, ajira ya mwaka mmoja inachukua takribani miezi mpaka saba toka kutumwa maombi na watu kufanya saili na kutangazwa/kuitwa kazini.
Kwani Tanesco na REA wametoa ajira, je katika mfano hazikua relevant?katolea mfano Ajira za kukusanya mapato TRA, jee hizo ni za muda mfupi ?
Ndio yako mapungufu hawana ukamilifu kwa 100% lakini ni heri hawa kuliko mashirika.PSRS ndo nini? na wenyewe majizi tuu, wanafojisha mitihani ya USAILI Kwa watoto wao na Kwa matoto ya vigogo mpaka inafungiwa maandazi mitaani, Tena Bado watu wanachomekwa makazini Kwa njia za panya kama Kawa. Hakuna Cha PSRS Wala Cha nini vyote na yote ni mlemule tuuu
Ukweli ni kwamba sisi watanzania tulio wengi ni VILAZA, ni mara nyingi sana tunashindwa kuelewa simple things.Ila Kuna kitu naona watanzania wengi sio waelewa ndo maana hata mitihani tunafeli.
Nilivyomuelewa mm ni kwamba zile ajira za mda za haraka haraka..
Ajira za muda mpaka sasa mashirika yanafanya yenyewe ila wanaomba kibali utumishi.Ila Kuna kitu naona watanzania wengi sio waelewa ndo maana hata mitihani tunafeli.
Nilivyomuelewa mm ni kwamba zile ajira za mda za haraka haraka..