PSRS interview questions (written, pract & oral)

😁😁😁 umezoea maumivu sio hahah
Je umewahi onja joto la oral?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Oral ni mauaji yale wanakuuliza huku wametoa macho kama nini afu hapo kidogo wanaanza kukucheka hahhhh kimoyo moyo apo unajisemea tu nimekwishaaaa
 
Kukandwa kupo tu jpo inauma ila ndo ivo haitakiwi kukata tamaa unakandwa leo kesho unajipng tena
Hahhhh kwahiyo upo tayari kwenda kuaibisha jina la ukooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahhhh kwahiyo upo tayari kwenda kuaibisha jina la ukooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwani Kuna mkeka wa Usaili umetoka.. mbona unaongelea mambo ya kwenda kukandwa tu Kila mda..!!!???
 
Kwani Kuna mkeka wa Usaili umetoka.. mbona unaongelea mambo ya kwenda kukandwa tu Kila mda..!!!???
Hapo juu wamesema tutegemee kuanzia kesho kwahiyo tunasogeza siku tu hapa mzee
 
Ifike kipindi sasa hawa PSRS tuwakande kama Liver na De Agosto walivyokandwa leo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Liver sijui wamemkosea wapi Mungu aseeeh
Miaka haiwezi kufanana. Ups and downs zipo pale pale kwa kila mmoja ingawa zinatofautiana.

Hivi Jobless tulimkosea wapi Mungu?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…