So far unasubiria mkeka wa wapi na wapi?Ah kawaida t mzee interview z utumishi hatujaanza leo kufnya
Mingi tu kama yote mzee wangSo far unasubiria mkeka wa wapi na wapi?
Poa poaMingi tu kama yote mzee wang
Ah kawaida t mzee interview z utumishi hatujaanza leo kufnya
Ah kawaida t mzee interview z utumishi hatujaanza leo kufnya
πππ umezoea maumivu sio hahahAh kawaida t mzee interview z utumishi hatujaanza leo kufnya
SawaTukae chonjo kuanzia kesho
ππππKwamba umezoea mikando yao au sio?Ah kawaida t mzee interview z utumishi hatujaanza leo kufnya
ππππOral ni mauaji yale wanakuuliza huku wametoa macho kama nini afu hapo kidogo wanaanza kukucheka hahhhh kimoyo moyo apo unajisemea tu nimekwishaaaaπππ umezoea maumivu sio hahah
Je umewahi onja joto la oral?
Niliyaona sijui kwenye thread ipi lakini wadau walitaja kidogo walio kwenye hiyo fieldPoa poa
Hivi maswali ya examination officer hayakupatikana mpk leo na admission officer
Kukandwa kupo tu jpo inauma ila ndo ivo haitakiwi kukata tamaa unakandwa leo kesho unajipng tenaππππKwamba umezoea mikando yao au sio?
Hahhhh kwahiyo upo tayari kwenda kuaibisha jina la ukooπππππKukandwa kupo tu jpo inauma ila ndo ivo haitakiwi kukata tamaa unakandwa leo kesho unajipng tena
Sema ipo siku na sisi tutawakanda tuKukandwa kupo tu jpo inauma ila ndo ivo haitakiwi kukata tamaa unakandwa leo kesho unajipng tena
Kwani Kuna mkeka wa Usaili umetoka.. mbona unaongelea mambo ya kwenda kukandwa tu Kila mda..!!!???Hahhhh kwahiyo upo tayari kwenda kuaibisha jina la ukooπππππ
Kbsa ipo sku tutatoboa tu tuzid kuomba munguSema ipo siku na sisi tutawakanda tu
Hapo juu wamesema tutegemee kuanzia kesho kwahiyo tunasogeza siku tu hapa mzeeKwani Kuna mkeka wa Usaili umetoka.. mbona unaongelea mambo ya kwenda kukandwa tu Kila mda..!!!???
InshallahKbsa ipo sku tutatoboa tu tuzid kuomba mungu
Niliyaona sijui kwenye thread ipi lakini wadau walitaja kidogo walio kwenye hiyo field
πππππLiver sijui wamemkosea wapi Mungu aseeehIfike kipindi sasa hawa PSRS tuwakande kama Liver na De Agosto walivyokandwa leo.
Miaka haiwezi kufanana. Ups and downs zipo pale pale kwa kila mmoja ingawa zinatofautiana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Liver sijui wamemkosea wapi Mungu aseeeh