Mwanakatwe2020
Member
- Sep 23, 2022
- 28
- 63
ilikuwa courses gan??kama sio courses za engineering hilo ulilotoa sio jibu sahihiHuwa nikifikiria pepa za utumishi, nanyong'onyea sana, kuna kipindi pepa inakuwa rahisi(mara chache), ila siku zote ni ngumu.
Nawashauri tupitie hata terminology za linguistic(kingereza), sababu huwa kuna maneno technical ya english yanatumika, ilihali unaweza kuwa unazo point za swali ila english imetumika ya scotland, basi mnabaki kuangaliana na kutoa macho na wadau.
Mfano, hivi hili swali lilihitaji nini?
Mention survey instruments and uses in research perspective?
Hivi hilo swali lilihitaji pegs, ranging pole, survey band, e.t.c au lilihitaji point gani? Karibuni tuanze kukandana hapahapa?
Haikuwa engineering mkuu ni kozi za kawaida hizi ambazo research inatumika katika shughuli zake za kila siku.ilikuwa courses gan??kama sio courses za engineering hilo ulilotoa sio jibu sahihi
Maswali ambayo ni technical kama hayo unajibu kulingana na course walivyowaita kwamfano wwe wanataka labda economist halafu wakatoa swali hilo ukijibu hizo pegs umekwama mzeeHaikuwa engineering mkuu ni kozi za kawaida hizi ambazo research inatumika katika shughuli zake za kila siku.
Hahaha ndiyo nimelileta makusudi sababu kuna wengi walisema wamejibu hivyo, mkuu leta tips kidogo ilihitajika vitu gani???
Yap yap mkuu, ndiyo hizo tools, questionnaires, interviews, n.k, ngoja nitoe pdf ya hicho kipande, kitasaidia wadau asa kwenye research.Maswali ambayo ni technical kama hayo unajibu kulingana na course walivyowaita kwamfano wwe wanataka labda economist halafu wakatoa swali hilo ukijibu hizo pegs umekwama mzee
Hapo wanataka vile vitu unavyotumiaga kucollect data kama Questionnaire zile na document zingine
N.B kwa mimi nilivyofikiria na ambavyo huwa najibu maswali kama hayo
Nilishawahi kukutana na swali kama hilo linataka features za kifaa Fulani sasa hapo unajiuliza hapa nitaje (characteristic au nitaje vile vitu vilivyo ndani ya kifaa)
Hata ingekua engineering hilo pia sio jibu, kuna term " research" hapo.ilikuwa courses gan??kama sio courses za engineering hilo ulilotoa sio jibu sahihi
Yes yes hio research perspectives Kwahiyo hapo ajibu kubase kwenye research ndo itakuwa jibu sahihiHata ingekua engineering hilo pia sio jibu, kuna term " research" hapo.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Ndio hiyo mitego unaweza kuona swali jepesi lakini kumbe linataka kitu kingine kabisaYap yap mkuu, ndiyo hizo tools, questionnaires, interviews, n.k, ngoja nitoe pdf ya hicho kipande, kitasaidia wadau asa kwenye research.
Ukiondoa engineering hiyo survey ni general tu mkuu, descriptive research.....
Hiyo mitego kwenye maswali ndiyo inakanda wadau....
Mkuu cha kukusaidia ni kwamba wewe soma kufa na kupona, hao jamaa siyo watu wazuri, uzuri kazi za udereva huwa ni nyingi wewe kwa muda huu wa kwenda interview meza gari na mambo muhimu ya udereva.KADA YA DRIVING
INTERVIEW ZA MADEREVA UPANDE WA WRITTEN,PRACTICAL NA ORAL MASWALI HUWA YAKOJE...?
Shukrani mkuu kwa mchango wako.....Mkuu cha kukusaidia ni kwamba wewe soma kufa na kupona, hao jamaa siyo watu wazuri, uzuri kazi za udereva huwa ni nyingi wewe kwa muda huu wa kwenda interview meza gari na mambo muhimu ya udereva.
Hata kama mtu akikustua usiku wa manane akakupiga swali wewe unajibu kama unakula chakula ukipendacho, kikubwa uingie kwenye database.
Mkuu soma tu madesa yote ya chuo alama za barabarani,procedures zakuwasha gari soma part zake na mengineKADA YA DRIVING
INTERVIEW ZA MADEREVA UPANDE WA WRITTEN,PRACTICAL NA ORAL MASWALI HUWA YAKOJE...?
Hapo mkuu unajua methodology imebeba parts ambazo zote zipo kwenye research ndo maana wanasema it's also a research kwahiyo hapo tunaexplain zile parts za methodology ambazo zote pia zipo kwenye researchMwifwa mkuu ukiwa unajiandaa huko na mkando wa course yako, mimi nitakuwa nadondosha maswali fikirishi ya research, unajua nimekandwa hadi nimechocha.
Na mimi najua baada ya nyie kumaliza kukandwa na mimi nitafuata kwenye mkeka wa MDG's kada nyingine zilizobaki.
Swali
Research methodology is also research? Explain
wizy njoo huku utupe tips wewe ndiye angalau umefika oral...
Kabisa mkuu, kikubwa ni kutambua aina ya research unayotaka kufanya either ni experimental au survey e.t.c.Hapo mkuu unajua methodology imebeba parts ambazo zote zipo kwenye research ndo maana wanasema it's also a research kwahiyo hapo tunaexplain zile parts za methodology ambazo zote pia zipo kwenye research
1.purpose of study
2.materials/instrument
3.techniques
4.data collection and they methods
5.data analysis
Na nyingine
Ndo hivyo yaniKabisa mkuu, kikubwa ni kutambua aina ya research unayotaka kufanya either ni experimental au survey e.t.c.
Hili swali linahitaji ways used to conduct survey related to research kama vile interview and questionnaire.Huwa nikifikiria pepa za utumishi, nanyong'onyea sana, kuna kipindi pepa inakuwa rahisi(mara chache), ila siku zote ni ngumu.
Nawashauri tupitie hata terminology za linguistic(kingereza), sababu huwa kuna maneno technical ya english yanatumika, ilihali unaweza kuwa unazo point za swali ila english imetumika ya scotland, basi mnabaki kuangaliana na kutoa macho na wadau.
Mfano, hivi hili swali lilihitaji nini?
Mention survey instruments and uses in research perspective?
Hivi hilo swali lilihitaji pegs, ranging pole, survey band, e.t.c au lilihitaji point gani? Karibuni tuanze kukandana hapahapa?
Research is a systematic, so inamaana Kuna vitu ambavyo tunavifuata ili kukamilisha hiyo system so automatic tutaconsider research methodologies kama kukamilisha system hiyo, so majibu hapa ni ya research methodologies.Mwifwa mkuu ukiwa unajiandaa huko na mkando wa course yako, mimi nitakuwa nadondosha maswali fikirishi ya research, unajua nimekandwa hadi nimechocha.
Na mimi najua baada ya nyie kumaliza kukandwa na mimi nitafuata kwenye mkeka wa MDG's kada nyingine zilizobaki.
Swali
Research methodology is also research? Explain
wizy njoo huku utupe tips wewe ndiye angalau umefika oral...
Safi mkuu, kama hutojali, Je waweza kumention hizo methodologies? Walau tupate kuzifahamu.Research is a systematic, so inamaana Kuna vitu ambavyo tunavifuata ili kukamilisha hiyo system so automatic tutaconsider research methodologies kama kukamilisha system hiyo, so majibu hapa ni ya research methodologies.