Ilikua kawaida coz hakuna kitu kipya kilichotolewa..isipokua ni kuvikumbuka vyote ndio tatizoKyagata embu tupe noat ilikuwaje
Kaka kama hautojali ungeweka hata machache unayokumbuka yatupe taswira mpya ya paper zijazo.Ilikua kawaida coz hakuna kitu kipya kilichotolewa..isipokua ni kuvikumbuka vyote ndio tatizo
Hata msimlaumu..maswali yalikua marefu sana.swali pekee fupi lilikua la pili kama sikosei.kipengele cha kwanza explain the concept of audit cycle kipengele cha pili ni kitu kama advantages za auditing cycle hivi.Kama hakumbuki hata swali hyo nalo ni tatizo kwa kweli ajitafakari mara mbili mbili juu ya swala kuja ddm kwa interview
Kada husika babumaswali yali base kwenye kada husika au ni research?
Sijui nikuelezeeje.kwa kifupi maswali yalikua na mitego mingi.Kaka kama hautojali ungeweka hata machache unayokumbuka yatupe taswira mpya ya paper zijazo.
Poleni sana but God is good everything will be okay.Sijui nikuelezeeje.kwa kifupi maswali yalikua na mitego mingi.
Yaliyokua direct ni kama write the types of audit approach. Na kulikuwa na jedwali la kujaza.
Sijui nikuelezeeje.kwa kifupi maswali yalikua na mitego mingi.
Yaliyokua direct ni kama write the types of audit approach. Na kulikuwa na jedwali la kujaza.
Auditor ii mkuuZiko 4 hii ilikua post ipi mkuu
Hat iweje lzm tu nitakumbuak hata matatu au manne[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unasahauje maswali manne?sema pepa ikiwa nzito sana ni shida
lazima ukumbuke ili ujue umekwama wapi aseehHat iweje lzm tu nitakumbuak hata matatu au manne
Sasa tusubiri miujiza mkuuNaamini mzee umejipanga kote kote God akutangulie tu lazima utoboe
NimekandwaMkuu ukitoka utupe updates
Ilikuwaje kwa upande wako?Endeleeni kupigwa upepo tu mkuu.hatari sana
Inshallah ikawe heri tuSasa tusubiri miujiza mkuu
Hii lazima oral uendee naamini auditing umepita nao tu na practice uhakika wadudu sindo wale wale tu😂😂😂Nimekandwa
Nimepapasa maswali yote
Maswali ya Auditing kuhusu kada yangu na mengine ya practice ya kada yangu
Usiseme hivo mkuu, maswali hayakuja direct, marefu mno na yamekuja na technical term(s) ambazo kwa wengi, kama sio wote zilikua/ilikua mpya.lazima ukumbuke ili ujue umekwama wapi aseeh
Polee mkuu nakuelewa aseeh maswali yahivyo huwaga sio mazuriUsiseme hivo mkuu, maswali hayakuja direct, marefu mno na yamekuja na technical term(s) ambazo kwa wengi, kama sio wote zilikua/ilikua mpya.
Ukijumlisha ufinyu wa muda, 40mins, kuyakumbuka ni mziki hasaa.
Polee mkuu nakuelewa aseeh maswali yahivyo huwaga sio mazuri