Angalia ule uzi mwingine wenye kichwa cha habari "Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu makazini".Wakuu habari za leo.
Naomba msaada wa maswali ya Oral interview mhandisi II Civil -NAOT.
Ile dpf niliyo kutag ya audit umeiona mzee ? MwifwaAngalia ule uzi mwingine wenye kichwa cha habari "Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu makazini".
Hints nyingi zimetolewa kule utaokoteza za kuishi nazo
Asante mkuuAngalia ule uzi mwingine wenye kichwa cha habari "Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu makazini".
Hints nyingi zimetolewa kule utaokoteza za kuishi nazo
KabisaHuu uzi umelala sana
ZoteInterview ya written?
Unaitwaje zote wakati hujafanya Written na kufaulu?Zote
Jobless kashakandwa tayariUnaitwaje zote wakati hujafanya Written na kufaulu?
Hapo umeitwa written tu
ππππ Jobless kavurugwa sana aseeh
Msaidieni tu [emoji23][emoji23] maana anaonekana kukata tamaa mapema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jobless kavurugwa sana aseeh
ππππanataka kupiga oral kabla ya writtenMsaidieni tu [emoji23][emoji23] maana anaonekana kukata tamaa mapema
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
ππππSema nna kipengere changu kinanifanya bize hata siwezi kufikiria mengine aseeh ngoja waje wanaofanya hiyoMsaidieni tu [emoji23][emoji23] maana anaonekana kukata tamaa mapema
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Unahakikisha unawakanda kwelikweli utumishi safari hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema nna kipengere changu kinanifanya bize hata siwezi kufikiria mengine aseeh ngoja waje wanaofanya hiyo
ππππAwamu hii utumishi wameyakanyaga mzee wamedandia mtumbwi wa vibwengo kakaUnahakikisha unawakanda kwelikweli utumishi safari hii
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Tunataka maswali yoteUnaitwaje zote wakati hujafanya Written na kufaulu?
Hapo umeitwa written tu
Hahahaha safi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awamu hii utumishi wameyakanyaga mzee wamedandia mtumbwi wa vibwengo kaka
Hahahaaa, alipoona tarehe ya oral akafikiri ameitwa na oral pia
Hauwezi kuanza kutembea kabla haujaanza kutambaa[emoji3][emoji3][emoji3]Tunataka maswali yote
Kaka siku hizi nakuona nyuzi za ajira tu[emoji16]