Mie kuna Usahili mmoja nilifanya wa TA kweny oral na ilikuwa ya kwanza kufanya ya TA, nilchogundua kweny maswali 5 niliyoulizwa ukitoa swali la kwanza mengne manne yaliobaki niliyoulizwa yalitaka point 5 zakujibu ,,nanilichigundua kwenye oral ya Q&A ya TA swali la pili na la Tatu yanatoka kweny presentation ulioiandaa ,swali la nne linaweza toka popote either kweny presentation uliopresent au linaloendana na career yako au TA , na swali la mwisho ni la challenges u expect as TA at least point 5 Kila swali
Q&A yangu maswali :
1.education background
2. From ur presentation give 5 points
3.from ur presentation explain 5 points
4.nakumbuka niliulizwa alikuwa kweny presentation,lilikuwa linataka challenges give at least 5 Kama haupo vzr unapoteana aisee
5.as TA what challenges do u expect to face give us at least 5...ss hapo ka hapo unazijua unatilika ,,.mie nakumbuka nililika challenges moja moja huku na brief explaination na How to handle challenges japo mie niliambiwa toa challenges lkn nilijiongeza kujibu na kutoa soln yake ,,nakumbuka nilijibu challenges 4 nikahis nmejibu 5 aisee ,,all in all nilijitahidi kujibu Kila swali
NB:
ORAL za TA , lecture zinajumuisha UANDAJI WA PRESENTATION, PRESENTATION YENYWE YA MADA YAKO na Q & A after presentation