PSRS interview questions (written, pract & oral)

Poa poa ngoja nisome sasa utumishi hawana undugu wale[emoji23]
Hivi written ni kesho?

Usiniambie swali la kitoto kama huyo jobless hapo juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi written ni kesho?

Usiniambie swali na kitoto kama huyo jobless hapo juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhh kaka swali la kitoto sana au nikutumie ratiba kabisa hahhh
 
Admission officer
some of the oral interview questions.

-Briefly tell us about yourself education and work experience
-Stakeholders of university admission
-Challenges of online admission system
-Duties of an admission officer
Mkuu naomba nisaidie maswali mliyoulizwa written ya admission officer..au yeyote ambee amewah kufanya msaada pliz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh kaka swali la kitoto sana au nikutumie ratiba kabisa hahhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukichukua barua ya ORCI utatuua kwa dose ya mionzi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukichukua barua ya ORCI utatuua kwa dose ya mionzi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhh jobless nitakuwa napost magari kila siku mpaka tuheshimiane mtaani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh jobless nitakuwa napost magari kila siku mpaka tuheshimiane mtaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utatunyanyasa sana, usisahau kumwambia asave namba yako yule aliyekuambia watoto watakula degree ili awe anaona status zako
 
Mrejesho wa sahili mbalimbali za written interview trh 26 Nov 22 ,,zilikuajee???
 
Wale UDOM wamefanyaje tena? Re advert wakati kuna watu walitoboa practical to oral?

Noma sana utumishi yaaani kwamba ni lazima marks zifike vinginevyo hata msipofikisha wote post inakua re advertised na sio kujitathmini wao na kuwa humble na standards zao/ku lower pass mark au kuconsider criteria zngine kupata watu na sio kuleta utata wa ku re advertise daily au wanaenjoy kukanda watu na kuwaharibia "finances"
 
Daaahh, imekuwa chronic sasa. Wajitathmini
 
Hawa jamaaa wasipoangaliwaa watakuwa wanafelisha watu ili waendeelee kula hela za kusimamia Usahili daily.. Haiwezekani watu wafike mpaka oral alafu wote wasiwe na vigezo ni ukengee huuu mbwaa hawaaaa...fwakenii zaoo wanaliwaaaa na wachawi
 
Hawa jamaaa wasipoangaliwaa watakuwa wanafelisha watu ili waendeelee kula hela za kusimamia Usahili daily.. Haiwezekani watu wafike mpaka oral alafu wote wasiwe na vigezo ni ukengee huuu mbwaa hawaaaa...fwakenii zaoo wanaliwaaaa na wachawi
Inawezekana ngumu kufikisha 70% za UFAULU kwa teaching post ..Maana labda mtu anaweza present vzr lkn Q&A akazingua kudefend uwezo wake si ngumu kufikisha marks wanazozitaka
 
Hawa jamaaa wasipoangaliwaa watakuwa wanafelisha watu ili waendeelee kula hela za kusimamia Usahili daily.. Haiwezekani watu wafike mpaka oral alafu wote wasiwe na vigezo ni ukengee huuu mbwaa hawaaaa...fwakenii zaoo wanaliwaaaa na wachawi

Imagine my boy yaani walituita tukaenda.

kuna nafasi watu walitoboa practical wengine walitoboa wawili-watatu kada zingine mmoja tu kada zingine wakaua wote eti wote hawajaqualify hiyo kada haikupata mtu wa kuadvance oral. Asa apo si waliotoboa practical wakafika oral si wangepewa tu kama ni ku re advert angalau hiyo ambayo haikupata mtu aliyepita practical....

Asa wanafanya mchezo gani hawa pimbi yaani wanakera sna ... Kuna pisi moja kali sna na well behaved hio nilikua napiga hesabu tukiajiriwa pale chap san naiweka ndani ila ndo hivyo ilipita practical yao kuenda oral mwisho wa siku vacancies zimekua re advertsed means hakuna aliyepata so far... basi hapa nina makurorokwini sana. Hii ni kuharibiana tu. Ile pisi ilikua young and innocent kabisa na ilistahili mno.

As for me nilidrop mambo yote nikaenda dodoma kwa jambo hilo tu 150k ikaungua like that majamaa wala ata ayajari yana enjoy life like zat pambaf kabisa
 
Daaahh, imekuwa chronic sasa. Wajitathmini
Its just wrong. Some times it does not make sense to do everything by the book.

See
Watu wana apply wanakua shortlisted. Preliminaries wanapita vzur tu ila mwisho wa siku wanakua disqualifed by mere marks obtained through crooked/ un-official shortlived assesment done by people waliovembewa na wasiojali kitu. Wao wenyewe hawakupitia mchakato huo kuwa pale. Isnt that madness na ubabaishaji?

It would make sense if wakishortlist for interview wahakikishe wanatumia mbinu zote at their disposal mtu anapatikana humo humo sio kuleta za kuleta

Hadi special group pia wanafanyiwa maujinga hayo dah wakati wamefika mbaaaali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…