PSRS interview questions (written, pract & oral)

Habari!
Kwa Post ya EXAMINATION OFFICER maswali yanaweza kuwa ni yapi???
 
Kiongozi unapozungumzia central gvt,hapo unakuwa una maanisha taasisi zipi kwa mfano ambako kuna hizo Green Pasture?
 
Sijasomea ila Ili Pepa ningetoboa ni simple sana
 
Habari wakuu,
Natafuta mtu ambaye amewahi kufanya sahili A ICT officer _ Data analyst na Database administrator anipe abcd.

Nawasilisha
 
Haha
Inawezekana watu wameitwa usaili maana huko whatsapp kuna tangazo la mwalimu anafundisha maswali nadhani ya watu wa customs na tax.
Again;”inawezekana”
Naomba uniadd kwa hiyo grup ya wasap km hutojal
 
Wakuu mliowahi kufanya mtihani wa account officer hua wanatoa explanation au calculations (makabati?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…