westandtogether
Senior Member
- Jul 8, 2020
- 164
- 242
Electrical mzeeUliomba nafasi ipi?
Ngoja nikutafutie za puraElectrical mzee
Dah! Niliitwa ktk usahili huo ila sikwenda kwa kuwa nilikuwa mbali na hivyo nilijiweka pembeni.lakini pia kukatishwa tamaa baada ya kujua kuna watu wanne wanajitolea na wanasomeshwa na chuo na kipaumbele ktk nafasi hizo ilikuwa kwao, na taasisi yoyote ya serikali ukiona kuna mtu anajitolea kada husika,basi jua wanakamilisha mchakato tu japo kuwa neema yaweza kukuanguka kwa kudra za Mola tu.TUTORIAL ASSISTANT HUMAN RESOURCE MANAGENENT-----INSTITUTE OF SOCIAL WORK WRITEN INTERVIEW
08/09/22 SAA MOJA ASUBUHI
1. Important of CB to employees
2. Three levels involved in decision making with labour relations
3.What are the Labour Right supervised by ILO
4. How could you advise your organisation to prevent/avoid labour dispute
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sikuwa mm mkuu, alikuwa Hamas yanguDah! Niliitwa ktk usahili huo ila sikwenda kwa kuwa nilikuwa mbali na hivyo nilijiweka pembeni.lakini pia kukatishwa tamaa baada ya kujua kuna watu wanne wanajitolea na wanasomeshwa na chuo na kipaumbele ktk nafasi hizo ilikuwa kwao, na taasisi yoyote ya serikali ukiona kuna mtu anajitolea kada husika,basi jua wanakamilisha mchakato tu japo kuwa neema yaweza kukuanguka kwa kudra za Mola tu.
Kwa usahili huo,hakika mapema tu ningesubili round ya pili, ambapo nilijipa matumaini ya mahali nilipopita chuoni hapo japo kikubwa uwezo.
Nakutakia kila lakheri msahiliwa,bila shaka ulitoboa
Sawa mkuu, atakuwa alifanikiwa huyo aliyefanya.
nadhani badoSawa mkuu, atakuwa alifanikiwa huyo aliyefanya.
Bora wewe ambaye ushaingia oral kadhaaa sisi wengine tunaishia written tu nadhani siku iyo nikiingia oral ya utumishi basi kazi nimepataNaomba tusaidiane kwenye oral wakuu mlijibu maswali yote ndo mkapita au ilikuaje?maana nimeshaingia oral kadhaa na bado sijatoboa
😂😂😂😂Hata mimi nilikuaga nawaza kama wewe kuwa nikiingia oral hawawezi kunichomoa lakini acha mkuuBoea wewe ambaye ushaingia oral kadhaaa sisi wengine tunaishia written tu nadhani siku iyo nikiingia oral ya utumishi basi kazi nimepata
Sawa mkuu,tumuombee afanikiwe.
Mi nakwambia nikiingia utumishi oral basi wajue wamenipa nafasi tena yenye cheo kikubwa serikalini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mimi nilikuaga nawaza kama wewe kuwa nikiingia oral hawawezi kunichomoa lakini acha mkuu
cheo kikubwa labda kama una experience kubwa na elimu kubwa lakini kwa bachelor's nadhani tunaishia kwenye juniors levelMi nakwambia nikiingia utumishi oral basi wajue wamenipa nafasi tena yenye cheo kikubwa serikalini
Chuma hiyo [emoji3]WRITTEN
1.Mention and explain Electromechanical technician rules.
2.Why there is a need of technician to communicate with their supervisor or engineer.
3.Rotating mass should be dynamic balanced why?
4. What couses motor to turn.
Hivi hizi karatas walizotupa nazo wataziconsider kwenye kugawa marks au wanachukua presentation tu?Siku ya oral mkuu ndo aral yenyewe hiyo utaandaa watazikusanya ikifika mda wako utapewa uelezee
Hilo siwezi kujibu na sijui asikudanganye mtu maks za oral hakuna anayejua zinatolewajeHivi hizi karatas walizotupa nazo wataziconsider kwenye kugawa marks au wanachukua presentation tu?
Kwakweliii oral sijuagi wanaangalia nini hasa labda na bahati ya mtu inamubeba tuHilo siwezi kujibu na sijui asikudanganye mtu maks za oral hakuna anayejua zinatolewaje
Ndo ivyo mkuuu sijui aiseee hawa watu wanafanyaje fanyajeKwakweliii oral sijuagi wanaangalia nini hasa labda na bahati ya mtu inamubeba tu