Ukiulizwa ivyo inategemea na wewe uko vip? Nina maana hapo Kuna option kibao na wala hwanaga shida ya kujua unatokea ukoo gani na umezaliwa wapi
Kuna option hapa kama ulikuwa ni mfanyakazi huko nyuma na job kati ya equivalent zake ilikuwa experienced candidates is highly preferred!! Hapa unagusia elimu kidogo mfano itapiga position ya mwisho kwa level ya elimu yako for instance am a degree holder in ........utajuta kada yako na utaongea na udambwi kibao katika ufanyi kazi wako kama una experience utaelezea achievement katika carrier katika ufanisi wako umetatua ishu ....Nina maana ukisema una degree tayar washajua ulisoma msingi ukaenda sekondari labda ukaenda advance na chuo kabisa yaani imebeba kila kitu juu kwa juu kumbuka!! Pala washapitia documents zako za muhimu wanajua mpaka trh ya kuzaliwa so sio lazima ujieleze sana wanajua base katika carrier yako ulete ushawishi kidogo hawana shida na unatokea wapi sijui umezaliwa wapi.
Kingine we ni fresh graduate directly from the University hauna experience [emoji23][emoji23][emoji24]wala nn je point za carrier utazipata wapi? Yeap ushajitambulisha fresh mpaka wakujua una degree sehemu lakini kumbuka degree yako iko na mambo kibao ulipitita labda field Kuna project kama mmi tulifanya project mwaka wa pili kwenda wa tatu ,hata kama ukifanya volunteer ,hata research kama inarelate na kazi unaweza kumgusi kuonyesha uko fresh sehemu fulani ..gonga kingereza kilichoenda mbele japo unaweza kusita ila usirudie maneno jipangilie flow mwanzo mwisho .
Usipoteze mda unaweza kupewa dk 3 ukileta zile saijui I was born in ,am the third child in my family [emoji26][emoji26][emoji26]utaumia watakustopisha wakutoe nje.