ππππππYule mzee nitakutana nae tu mtaani dar ndogo hii we subiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi kwenye oral wasimamizi wanakuonesha vimbwanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππYule mzee nitakutana nae tu mtaani dar ndogo hii we subiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi kwenye oral wasimamizi wanakuonesha vimbwanga
Ilo la kwanza ni form 4 ipi ?Maswali ya form 4 hayo
πππππIlo la kwanza ni form 4 ipi ?
Watu wakiwa nje wanaona mambo rahisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu chlorine gas bado upo uhai humu jukwaaniWekeni ya mining jamn kwan humu hamna watu wa utumishi jmn tusaidiane
ππππKuna pepa unafanya unaona kabisa hii sitoboiWatu wakiwa nje wanaona mambo rahisi
Ingia sasa wewe uone utakavyo kandwa yaani kama hujui kitu hata zile dakika 40 ni nyingi
Unakutana na swali jiwe halieleweki hata kujitungia majibu useme usiache swali wazi unashindwa unacheka tu hata nikiamua kudanganya nadanganya vipi [emoji16]
Chuma hiyoMaswali ya written interview Operation officer TAA 14/09/2022 UDOM
1. Explain the rules when dealing with an aircraft Door
2. Explain the procedures of conducting runway inspection notification
3. Mention activities conducted at airport apron area
4. Process of scientific research
5. Threats of aviation industry
Hii ni kada gani mkuu?1.Explorations cause the arise of different problem and division of methods to solve them.Describe them clearly
2.Technical geophysics have a various application as it used in high way engineering.Explain other ways in different perspective
3.Explain themes of geography
4. Explain different tools that used by geographer in analysis of information
GeophysicistHii ni kada gani mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38] aliona umeandika point ambazo siyoKuna siku niliingia kwenye mchujo na barakoa yangu msimamizi akaja kugawa karatasi na mtihani wakati anakusanya karatasi akawa ananiuliza eti barakoa imekusaidia ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku niliingia kwenye mchujo na barakoa yangu msimamizi akaja kugawa karatasi na mtihani wakati anakusanya karatasi akawa ananiuliza eti barakoa imekusaidia ?
πππππHahhhh watu wanaandikaga majibu kwenye barakoaKuna siku niliingia kwenye mchujo na barakoa yangu msimamizi akaja kugawa karatasi na mtihani wakati anakusanya karatasi akawa ananiuliza eti barakoa imekusaidia ?
ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38] aliona umeandika point ambazo siyo
Inaweza kuwa kweli maana kwenye hilo paper nilikuwa najua swali moja tu ,yaliyobak yote ni chenga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38] aliona umeandika point ambazo siyo
DuuuInaweza kuwa kweli maana kwenye hilo paper nilikuwa najua swali moja tu ,yaliyobak yote ni chenga