๐๐๐๐๐Inaweza kuwa kweli maana kwenye hilo paper nilikuwa najua swali moja tu ,yaliyobak yote ni chenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Inaweza kuwa kweli maana kwenye hilo paper nilikuwa najua swali moja tu ,yaliyobak yote ni chenga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku niliingia kwenye mchujo na barakoa yangu msimamizi akaja kugawa karatasi na mtihani wakati anakusanya karatasi akawa ananiuliza eti barakoa imekusaidia ?
Ha ha ha npoMkuu chlorine gas bado upo uhai humu jukwaani
Nyie ndio mnakosaga fursa kwa kuamini uongo.Nasikia wanajitolea,watapata hao.... nk uzushi!.Serikali haina sera ya upendeleo acha kusikiliza uongo.Dah! Niliitwa ktk usahili huo ila sikwenda kwa kuwa nilikuwa mbali na hivyo nilijiweka pembeni.lakini pia kukatishwa tamaa baada ya kujua kuna watu wanne wanajitolea na wanasomeshwa na chuo na kipaumbele ktk nafasi hizo ilikuwa kwao, na taasisi yoyote ya serikali ukiona kuna mtu anajitolea kada husika,basi jua wanakamilisha mchakato tu japo kuwa neema yaweza kukuanguka kwa kudra za Mola tu.
Kwa usahili huo,hakika mapema tu ningesubili round ya pili, ambapo nilijipa matumaini ya mahali nilipopita chuoni hapo japo kikubwa uwezo.
Nakutakia kila lakheri msahiliwa,bila shaka ulitoboa
Kaka mkubwa Mungu sio dhalimucheo kikubwa labda kama una experience kubwa na elimu kubwa lakini kwa bachelor's nadhani tunaishia kwenye juniors level
daaah kweli lakiniKaka mkubwa Mungu sio dhalimu
Amini kwambadaaah kweli lakini
We mzee unazeeka vibaya sana,sasa kama hufikirii ajira za laki 7, kwenye huu uzi unatafuta nini?Usilolijua ni kama usiku wa giza kijana, mpaka nina historia juu ya hilo miaka kadhaa nyuma pale NIT kilichotokea waliokuwa kwenye usahili hadi matokeo, Mungu ndio anajua. Pale Muhas, JKCI nina taarifa zake mbali na baadhi ya watoto wa vigogo kupeleka cv yao toka kwa mtu mmoja aliyewahi kufanya UN, akakutana na kiongozi husika mwenye msimamo usioyumba, kipaumbele wanaojitolea, nami naunga mkono kipaumbele kwa wanaojitolea kuliko waliokaa home tu.
Binafsi kwa umri wangu,sifikiri ajira ya kuja kulipwa laki 7 kijana,ninachoongea ninamaanisha na sijawahi kuleta porojo hapa JF kwenye watu wenye akili zao,kama huna taarifa tulia na haimaanishi wasiojitolea hawapati nafasi no! Nadhani ungesoma andiko langu ungeeleza vizuri, acha kukurupuka.
Soma mambo hayo hayo ya licensing na research piajamani kwa yeyote alie wahi kufanya interview ya utumishi kwa upande wa latra( licensing and registration officerII) huwa zipoje
Nilitoa mawazo yangu kama watu wengine ukiwemo wewe ulivyotoa mawazo yako.kuzeeka ni hatua ya kuachana na ujana, so sishangai kijana.We mzee unazeeka vibaya sana,sasa kama hufikirii ajira za laki 7, kwenye huu uzi unatafuta nini?
Hii Ilikua nyepesi nadhani utatoboa mkuuAdmission officer
some of the oral interview questions.
-Briefly tell us about yourself education and work experience
-Stakeholders of university admission
-Challenges of online admission system
-Duties of an admission officer
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii Ilikua nyepesi nadhani utatoboa mkuu
Mkuu,ushakandwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unamtia moyo sana
Tayari mkuu, nipo mjini Dom sasa napunga upepo kama halijatokea jambo vile[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu,ushakandwa?
Ushakandwa tayariTayari mkuu, nipo mjini Dom sasa napunga upepo kama halijatokea jambo vile[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kitambo sana, asubuhi ya leo