Hao hawana haja ya kuchunguza. Wanafaa kutimua tu kuanzia Mkurugenzi hadi hao wavaa sare, ofisi isafishwe hiyo.Hii tabia ni KERO kwa kweli..... Kuna ndugu yangu amejaza fao la uzazi toka October lakini mpaka leo hakuna malipo
Ukienda OFISI zao kuuliza wanasema mara anayetakiwa kulipa Yuko likizo mpaka arudi
Sasa unajiuliza mtu akitoka kazi zote zinasimama?
Mbona kwenye makato Huwa hakuna excuse kama hizo?
Hii taasisi inahitaji kuchunguzwa
Tena ingebidi achapwe na viboko. Mzembe sana huyo. Kila taasisi anayokaa haiishi keroBadru sio kiongozi kabisa, PSSSF inatakiwa Serikali iangalie kwa karibu sana if possible ni kumuondoa kabisa Badru
Halafu utakuta hata shule hana. Rushwa tu ndio wayotaka. Dunia imebadilika watu wamejielewa kwa kiwango kikubwaKwa mfano ofisi ya Iringa kuna dada yupo pale ku update taarifa za mteja tatizo na kiburi juu
Hiyo ni kweli. Bora muda mchache wenye ufanisi kuliko huo utapeli wanaowafanyia watu na hela zaoHakuna kitu ni heri muda wa kufanya kazi ofisi za serikali upunguzwe uwe masaa 5, saw 2 asbh hd saw 7 ili wawe huru kufanya mambo yao binafsi kuliko kuzuga zuga tu ofisini
Sasa zipo kada zingine hata ofisi hawaendi kama maafisa kilimo na maendeleo ya jamii wa kata, kwenda kazini Hadi siku apende yeye kwenda
Wakipigiwa simu wanasema mhasibu ndio anachelewesha malipo, mara hajapeleka vocha, Uzembe mtupu!Hawa PSSSF wana shida si bure, wana sema sasa utume taarifa online lakini response yao imekuwa shida sana.
Nimeshuhudia kama wawili wameclaim mwezi October lakini mpaka leo hamna kitu.
Kwanini wapewe chai na AC juu wakati kazi hawafanyi?Mkuu, third world countries, usanii ni mwingi sana kuliko vitendo. Ukiwa mchapa kazi ofisini, subiria majungu au kuwekewa sumu kwenye chai/CHAKULA.
Maofisa wa serikali wanaona kuwajibika ni kama dhambi kwao.Wakipigiwa simu wanasema mhasibu ndio anachelewesha malipo, mara hajapeleka vocha
Uzembe mtupu
Hakuna customer caring kuleMaofisa wa serikali wanaona kuwajibika ni kama dhambi kwao.
Hatari sana.Hakuna customer caring kule
Nadhani OFISI zao nyingi ziko hivyo.Kwa mfano ofisi ya Iringa kuna dada yupo pale ku update taarifa za mteja tatizo na kiburi juu
Waongo. Hapo ndio wametengeneza mazingira ya kutoulizwa ulizwa ili walete usumbufu na ucheleweshaji wa hela za watuHalafu wanajifanya wameboresha huduma
Huu uzembe unaanzia serikalini. Hata waziri husika wa hiyo taasisi atakua kanyaga twende. Sio mfuatiliaji maana malalamiko ni mengiNadhani OFISI zao nyingi ziko hivyo
Huyo ndugu yangu alikuwa na ma gap ya michango kwa miezi kadhaa jambo lilimfanya asiwe na sifa za kupata fao la uzazi. Mwajili ana confirm kwamba michango yote ashapeleka. Baada ya kufatwa ndo jamaa wanajaza zile gaps tena kwa miezi inayotosha kulipa Hilo fao, miezi mingine wameacha gaps tena
Sa unajiuliza, Ina maana hiyo michango wanakaa nayo ukifatilia ndo unajaziwa na usipofatilia unapoteza??
Wakimaliza wanataka vitu vya kipuuzi. Mara barua sijui ya kuthibitishwa sijui kitu gani kutoka kwa mwajiri nkHawa PSSSF wana shida si bure, wana sema sasa utume taarifa online lakini response yao imekuwa shida sana.
Nimeshuhudia kama wawili wameclaim mwezi October lakini mpaka leo hamna kitu.
Wanao mfumo mkuu, unaonyesha kila hatua naona shida ipo kwenye kuapprove kila hatua.Wangeweka mfumo mambo yote yawe automated na system. Mambo yakudili na watu wa serikali inakua ni kufungua milango ya Rushwa ili kurahisisha kazi sasa hawa wa NSSF usipokua mwepesi wa kunyoosha mkono sio kwamba tu utachelewa, hata kupata unaweza usipate kabisa.
Huo sio Automated sasa...still una human interventionWanao mfumo mkuu, unaonyesha kila hatua naona shida ipo kwenye kuapprove kila hatua.
Hao PSSF nao kuna dada alikua anafuatilia fao la uzazi kwa miezi mitatu.Wangeweka mfumo mambo yote yawe automated na system. Mambo yakudili na watu wa serikali inakua ni kufungua milango ya Rushwa ili kurahisisha kazi sasa hawa wa NSSF usipokua mwepesi wa kunyoosha mkono sio kwamba tu utachelewa, hata kupata unaweza usipate kabisa.
Wana roho za kikatili tu. Wana approve nini wakati ukiwauliza wanasema wanaingiza kati ya tarehe 22-25 mhasibu ameshakamilisha taratibu zote, Halafu wakimaliza hawaweki hela!Wanao mfumo mkuu, unaonyesha kila hatua naona shida ipo kwenye kuapprove kila hatua.
Mfumo upo tena hausumbui ukiwa na documents zote unamaliza fastaWangeweka mfumo mambo yote yawe automated na system. Mambo yakudili na watu wa serikali inakua ni kufungua milango ya Rushwa ili kurahisisha kazi sasa hawa wa NSSF usipokua mwepesi wa kunyoosha mkono sio kwamba tu utachelewa, hata kupata unaweza usipate kabisa.
Bado sasa huo sio mfumo automated, wamehamishia majukumu yao kutoka physical kwenda online ila means wasipofanyia kazi mfumo hauna msaada.Mfumo upo tena hausumbui ukiwa na documents zote unamaliza fasta
Hapo ndo kasheshe inaanzia hapo....Afisa Utumishi wako aipitishe ndo ipelekwe PSSSF ikifika huko inaandikwa processing kila siku yaani ni shida
Ukipiga simu ndo unaambiwa mara Mhasibu katoka, mara Fulani Yuko safari au likizo. Ni shida tupu