Darkish
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 326
- 364
Pamoja na huo mfumo bila wewe mwenyewe kufuatilia physically kuanzia kwa HR wako mpaka PSSSF kwenyewe basi utasubiri sana.Bado sasa huo sio mfumo automated...wamehamishia majukumu yao kutoka physical kwenda online .. ila means wasipofanyia kazi mfumo hauna msaada