Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Tatizo hili lili watokea wengi ma askari waliokuwa wanalipwa pensheni miaka ya nyuma awamu ya tano, kwa uzoefu tulijua pensheni hulipwa zote sasa hii habari imekuwa ni kikwazo sana kwa mtu anayetaka kufanya maendeleo ya haraka.
Kwann PSSSF msitoe tangazo rasmi kuwa pesa hamna vizuri maan itasaidia kuwaandaa wastaafu kisaikolojia na wajue wanafanyaje na kipato cha kwanza.
Mtu una staafu badala ya kuanza tu na mshahara wa mstaafu wanakuacha usote na unasota kweli kweli si mchezo, hawana huruma na watumishi hawa PSSSF.
Tunahitaji mabadiliko aidha kwenye ngazi ya maamuzi au anayehusika kuhujumu PSSSF.
Kwann PSSSF msitoe tangazo rasmi kuwa pesa hamna vizuri maan itasaidia kuwaandaa wastaafu kisaikolojia na wajue wanafanyaje na kipato cha kwanza.
Mtu una staafu badala ya kuanza tu na mshahara wa mstaafu wanakuacha usote na unasota kweli kweli si mchezo, hawana huruma na watumishi hawa PSSSF.
Tunahitaji mabadiliko aidha kwenye ngazi ya maamuzi au anayehusika kuhujumu PSSSF.