PSSSF yampa pole Mdau aliyelalamikia huduma yao, yatoa ufafanuzi na kusisitiza inazingatia Maadili, Uaminifu, Weledi na Uwazi

PSSSF yampa pole Mdau aliyelalamikia huduma yao, yatoa ufafanuzi na kusisitiza inazingatia Maadili, Uaminifu, Weledi na Uwazi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni msaada na Haki ya Mtu

PSSSF JAMII FORUMS_page-0001.jpg

UFAFANUZI KUHUSU MALALAMIΚΟ YA MTU AMBAYE HATUJAMTHIBITISHA KAMA MWANACHAMA WA PSSSF

Januari 31, 2025
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umebaini mjadala unaoendelea kwenye jukwaa la Jamii Forums kuhusu utendaji wa PSSSF, ambapo mtu anayejitambulisha kwa jina la Mkumbwa Jr ameonyesha kutoridhika na huduma zetu.

Kwanza, tunatoa pole kwa Mkumbwa Jr. iwapo kweli alipata changamoto yoyote alipotafuta huduma katika ofisi zetu. PSSSF inajitahidi kila siku kutoa huduma bora na kwa wakati, kwa kuwa tupo kwa ajili ya wanachama wetu.

Hata hivyo, hadi sasa, hatujapokea rasmi malalamiko yanayofanana na yale yaliyoelezwa na Mkumbwa Jr. Zaidi ya hayo, kutokana na kutotumia majina yake halisi, tumeshindwa kuthibitisha uanachama wake au kufuatilia suala lake kwa usahihi.

Tunamkaribisha Mkumbwa Jr. au mtu yeyote mwenye malalamiko kufika katika ofisi zetu au kuwasiliana nasi kupitia namba 0800 110 040 (bure) ili atupatie taarifa muhimu kama namba ya uanachama, zitakazotuwezesha kufuatilia na kutatua tatizo lake haraka.

Pia, tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu kuwa tangu Agosti 2024, PSSSF imehamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika uwasilishaji wa madai na upatikanaji wa huduma.

Tunaamini kuwa mwanachama yeyote anayeweza kushiriki kwenye majukwaa ya mtandaoni pia anaweza kunufaika na huduma zetu za kidijitali kwa urahisi. Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga 0800 110 040 bila malipo.

PSSSF inaendelea kujitahidi kutoa huduma bora za hifadhi ya jamii kwa wanachama wetu na Watanzania kwa ujumla, tukiwa waaminifu kwa maadili yetu ya kumjali mteja, uaminifu, weledi na uwazi.

Yessaya Mwakifulefule
Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma.
 
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni msaada na Haki ya Mtu


UFAFANUZI KUHUSU MALALAMIΚΟ YA MTU AMBAYE HATUJAMTHIBITISHA KAMA MWANACHAMA WA PSSSF

Januari 31, 2025
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umebaini mjadala unaoendelea kwenye jukwaa la Jamii Forums kuhusu utendaji wa PSSSF, ambapo mtu anayejitambulisha kwa jina la Mkumbwa Jr ameonyesha kutoridhika na huduma zetu.

Kwanza, tunatoa pole kwa Mkumbwa Jr. iwapo kweli alipata changamoto yoyote alipotafuta huduma katika ofisi zetu. PSSSF inajitahidi kila siku kutoa huduma bora na kwa wakati, kwa kuwa tupo kwa ajili ya wanachama wetu.

Hata hivyo, hadi sasa, hatujapokea rasmi malalamiko yanayofanana na yale yaliyoelezwa na Mkumbwa Jr. Zaidi ya hayo, kutokana na kutotumia majina yake halisi, tumeshindwa kuthibitisha uanachama wake au kufuatilia suala lake kwa usahihi.

Tunamkaribisha Mkumbwa Jr. au mtu yeyote mwenye malalamiko kufika katika ofisi zetu au kuwasiliana nasi kupitia namba 0800 110 040 (bure) ili atupatie taarifa muhimu kama namba ya uanachama, zitakazotuwezesha kufuatilia na kutatua tatizo lake haraka.

Pia, tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu kuwa tangu Agosti 2024, PSSSF imehamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika uwasilishaji wa madai na upatikanaji wa huduma.

Tunaamini kuwa mwanachama yeyote anayeweza kushiriki kwenye majukwaa ya mtandaoni pia anaweza kunufaika na huduma zetu za kidijitali kwa urahisi. Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga 0800 110 040 bila malipo.

PSSSF inaendelea kujitahidi kutoa huduma bora za hifadhi ya jamii kwa wanachama wetu na Watanzania kwa ujumla, tukiwa waaminifu kwa maadili yetu ya kumjali mteja, uaminifu, weledi na uwazi.

Yessaya Mwakifulefule
Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma.
Huyo Mwakifulefule ajiite Mwakifudifudi tu .
Mnakaa hapo Dodoma mkipigiwa simu mnatoatu vimaneno vyenu mara subiri taarifa zinafanyiwa kazi,mara rudi ulipoombea. Mtu anarudi alipoombea kwani mmeweka ofisi kila kata? Basi wekeni ofisi kila halmashauri ambapo mtumishi alikuepo.
Hizo ofisi zenu huko mkoani na wilayani hazina hata simu
Hamuoni kama watumishi kutoa namba zao wanatengeneza mazingira ya rushwa?
Huku chini watumishi wenu wameweka TV pande zote za kuta tukifika wapo bize na kuangalia sijui nani anasema nini.
Matatizo yote yanaanzia kwa mkurugenzi wa PSSSF. Sio mtu makini,hana huruma,sio mbunifu maana ameshindwa hata kuweka namba za dharira endapo mtu akikwama kabisa apigiwe yeye simu.

Mkurugenzi atambue kama yupo kwenye nafasi nyeti kuliko hata anavyodhani. Haiwezekani mtu afanye kazi miaka tele halafu malipo yake umletee usumbufu. Kusafiri kilasiku kufuata huduma ni gharama nitofauti na yeye anatembeatu akienda msalani ila sehemu nyingine anapelekwa bure, nyumba bure nk
Ukipiga simu hapo ofisini ndio Utajua usumbufu wao. Huduma gani mwezi miwili hamtoi hela ya mtu? Au hamna hela mmeziingiza kwenye majukumu mengine?

Ninarudia kumuomba mh. Rais amuwajibishe huyo mzee ameshindwa kuwajibika
 
Hawa wabalikiwa sana siyo kama wale mabwege, wapuuz, washenzi wanaoitwa TRA Tanzania wao huwa hawajibu chochote hata kama utataka kupata ufanunuzi kutoka kwao

Wamo humu jamiiforums kutuchora tu
Sasa hapo amejibu nini? Nakuambia hao PSSSF niwasanii na nusu. Usidhani hayo maelezo yao kama yanauhalisia kwa asilimia kubwa
 
Wanapokea simu sasa?

Mashirika ya umma ya Tz yanaweka namba ya customer care kisha ukipiga haipokelewi. Au unaambiwa hawajalipia huduma kwahiyo simu zao hazipatikani.

Tabia hii ipo TANESCO baadhi ya mikoa, NHIF mikoa yote, NSSF kote.

Wenyewe wanakuambia kazi ya serikali ni nyepesi ugumu labda wautake wao. Nyepesi wakimaanisha kuja na kuondoka kazini muda wanaotaka, kutotimiza wajibu ipasavyo bila kuhofia n.k. huku salary inasoma na posho zinaingia.
 
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni msaada na Haki ya Mtu


UFAFANUZI KUHUSU MALALAMIΚΟ YA MTU AMBAYE HATUJAMTHIBITISHA KAMA MWANACHAMA WA PSSSF

Januari 31, 2025
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umebaini mjadala unaoendelea kwenye jukwaa la Jamii Forums kuhusu utendaji wa PSSSF, ambapo mtu anayejitambulisha kwa jina la Mkumbwa Jr ameonyesha kutoridhika na huduma zetu.

Kwanza, tunatoa pole kwa Mkumbwa Jr. iwapo kweli alipata changamoto yoyote alipotafuta huduma katika ofisi zetu. PSSSF inajitahidi kila siku kutoa huduma bora na kwa wakati, kwa kuwa tupo kwa ajili ya wanachama wetu.

Hata hivyo, hadi sasa, hatujapokea rasmi malalamiko yanayofanana na yale yaliyoelezwa na Mkumbwa Jr. Zaidi ya hayo, kutokana na kutotumia majina yake halisi, tumeshindwa kuthibitisha uanachama wake au kufuatilia suala lake kwa usahihi.

Tunamkaribisha Mkumbwa Jr. au mtu yeyote mwenye malalamiko kufika katika ofisi zetu au kuwasiliana nasi kupitia namba 0800 110 040 (bure) ili atupatie taarifa muhimu kama namba ya uanachama, zitakazotuwezesha kufuatilia na kutatua tatizo lake haraka.

Pia, tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu kuwa tangu Agosti 2024, PSSSF imehamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika uwasilishaji wa madai na upatikanaji wa huduma.

Tunaamini kuwa mwanachama yeyote anayeweza kushiriki kwenye majukwaa ya mtandaoni pia anaweza kunufaika na huduma zetu za kidijitali kwa urahisi. Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga 0800 110 040 bila malipo.

PSSSF inaendelea kujitahidi kutoa huduma bora za hifadhi ya jamii kwa wanachama wetu na Watanzania kwa ujumla, tukiwa waaminifu kwa maadili yetu ya kumjali mteja, uaminifu, weledi na uwazi.

Yessaya Mwakifulefule
Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma.
Sitaki kupewa pole. Nataka hela zangu. Hata leo nimewapigia simu naona wanaongea ugoro tu. Eti taarifa zinafanyiwa kazi. Sasa sijui wanataka rushwa au lengo ni nini
 
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni msaada na Haki ya Mtu


UFAFANUZI KUHUSU MALALAMIΚΟ YA MTU AMBAYE HATUJAMTHIBITISHA KAMA MWANACHAMA WA PSSSF

Januari 31, 2025
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umebaini mjadala unaoendelea kwenye jukwaa la Jamii Forums kuhusu utendaji wa PSSSF, ambapo mtu anayejitambulisha kwa jina la Mkumbwa Jr ameonyesha kutoridhika na huduma zetu.

Kwanza, tunatoa pole kwa Mkumbwa Jr. iwapo kweli alipata changamoto yoyote alipotafuta huduma katika ofisi zetu. PSSSF inajitahidi kila siku kutoa huduma bora na kwa wakati, kwa kuwa tupo kwa ajili ya wanachama wetu.

Hata hivyo, hadi sasa, hatujapokea rasmi malalamiko yanayofanana na yale yaliyoelezwa na Mkumbwa Jr. Zaidi ya hayo, kutokana na kutotumia majina yake halisi, tumeshindwa kuthibitisha uanachama wake au kufuatilia suala lake kwa usahihi.

Tunamkaribisha Mkumbwa Jr. au mtu yeyote mwenye malalamiko kufika katika ofisi zetu au kuwasiliana nasi kupitia namba 0800 110 040 (bure) ili atupatie taarifa muhimu kama namba ya uanachama, zitakazotuwezesha kufuatilia na kutatua tatizo lake haraka.

Pia, tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu kuwa tangu Agosti 2024, PSSSF imehamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika uwasilishaji wa madai na upatikanaji wa huduma.

Tunaamini kuwa mwanachama yeyote anayeweza kushiriki kwenye majukwaa ya mtandaoni pia anaweza kunufaika na huduma zetu za kidijitali kwa urahisi. Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga 0800 110 040 bila malipo.

PSSSF inaendelea kujitahidi kutoa huduma bora za hifadhi ya jamii kwa wanachama wetu na Watanzania kwa ujumla, tukiwa waaminifu kwa maadili yetu ya kumjali mteja, uaminifu, weledi na uwazi.

Yessaya Mwakifulefule
Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma.
Hao ni wasumbufu tu. Hawalipi kazi kupotezeana tu muda
 
Wanapokea simu sasa?

Mashirika ya umma ya Tz yanaweka namba ya customer care kisha ukipiga haipokelewi. Au unaambiwa hawajalipia huduma kwahiyo simu zao hazipatikani.

Tabia hii ipo TANESCO baadhi ya mikoa, NHIF mikoa yote, NSSF kote.

Wenyewe wanakuambia kazi ya serikali ni nyepesi ugumu labda wautake wao. Nyepesi wakimaanisha kuja na kuondoka kazini muda wanaotaka, kutotimiza wajibu ipasavyo bila kuhofia n.k. huku salary inasoma na posho zinaingia.
Ukiona taasisi imejaa matapishi ujue huyo bosi wao ndio hamna kitu. Ifanyike crosscheck ili waondolewe wawekwe wengine
 
Back
Top Bottom