Sijaona ubora wa PSSSF. Nikikundi cha wasanii wenye Nia ya kusumbua wanufaika.Hawa wabalikiwe sana siyo kama wale mabwege, wapuuz, washenzi wanaoitwa TRA Tanzania wao huwa hawajibu chochote hata kama utataka kupata ufanunuzi kutoka kwao
Wamo humu jamiiforums kutuchora tu
Labda wasifiwe kwa kutosikiliza wanaowadaiWabarikiwe kwa usikivu
Inabidi tuanzishe Uzi maalum wa kuishawishi mamlaka imuondoe huyo msanii hapo ofisini. Hafai kabisaMh. Rais anabidi amtumbue Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, hakuna huduma kabisa, tena kuhusu ile kupewa fedha za Loan Grant kwa fedha za wanachama ambayo Bunge lilipitisha sheria tayari, yaani ni danadana hakuna linaloendelea, hakuna loan 50% ya kile ulichochangia wala nini kwa wanachama, ukipiga simu hii namba wameweka hapo, ni porojo, mara bado inafanyiwa kazi, mara mtajulishwa kanuni bado, mara wanachama watajulishwa ni uongo mtupu..!! Poorest customer care i have ever seen, na hii ni sbb ya uongozi toka PSSSF.
Kama kuna Mkurugenzi wa kutumbua haraka sanaa ni wa PSSSF, huyu kafeli biggest F++
PSSSF nyie ni wahuni na wendawazimu! Na mnajizima data kutufanya wajinga. Kilichobaki kwangu ni kwenda mahakamani. Na mlaaniwe! Mimi nimedai madai yangu kwenye mfuko kwa muda wa zaidi ya miaka 14 alafu mnakuja hapa kujishaua? Huyu anachokidai ni kweli! Kuthibitisha haya nenda kwenye mfumo wenu wa CRM tafuta mtu mwenye check no. 11349624 muone kama ni uongo! Nimedai na madai yangu yamethibitishwa na mwajiri wangu na pia yamethibitishwa na meneja PSSSF iringa lakini hamtaki kunilipa! Nyie mmelaaniwa! Na ninawalaani maana nimetumia muda na gharama kubwa kwa miaka 14 kudai madai yangu hamtaki kunilipa! Mnachonifanyia mimi kikawatokee nyie kipindi mkiacha au kuachishwa kazi au kustaafu sio kwenu tu bali uzao wenu wooote mpaka mwisho wa dunia! How comes nimedai madai tena yakathibitishwa na mwajiri tena yakathibitishwa na nyie katika ngazi ya kwanza alipo mwajiri wangu Iringa mjini alafu kwa miaka 14 hamtaki kunilipa? Msidhani mtakaa kwenye ajira na nyie hayo madati yenu nayalaani! Hamtayafaidi nyie wala familia zenu wala watoto zenu! Mtakuwa masikini na mafukatara! Mtapatwa na ajari na kuvunjika miguu kama hamtakufa! LABDA MNILIIPE MADAI YANGU. NIMEWAAMBIA YA KWAMBA MADAI YANGU YAKO KWENYE MFUMO WENU WA CRM yenye check no. 11349624 tangu mwaka May 2012.Yaani huyo mzee ameharibu taswira ya taasisi ya umma.
Nashangaa kwanini hata waziri hajali. Inawezekana kweli wapo wakulungwa wanajitwaliatu mpunga
PSSSF nyie ni wahuni na wendawazimu! Na mnajizima data kutufanya wajinga. Kilichobaki kwangu ni kwenda mahakamani. Na mlaaniwe! Mimi nimedai madai yangu kwenye mfuko kwa muda wa zaidi ya miaka 14 alafu mnakuja hapa kujishaua? Huyu anachokidai ni kweli! Kuthibitisha haya nenda kwenye mfumo wenu wa CRM tafuta mtu mwenye check no. 11349624 muone kama ni uongo! Nimedai na madai yangu yamethibitishwa na mwajiri wangu na pia yamethibitishwa na meneja PSSSF iringa lakini hamtaki kunilipa! Nyie mmelaaniwa! Na ninawalaani maana nimetumia muda na gharama kubwa kwa miaka 14 kudai madai yangu hamtaki kunilipa! Mnachonifanyia mimi kikawatokee nyie kipindi mkiacha au kuachishwa kazi au kustaafu sio kwenu tu bali uzao wenu wooote mpaka mwisho wa dunia! How comes nimedai madai tena yakathibitishwa na mwajiri tena yakathibitishwa na nyie katika ngazi ya kwanza alipo mwajiri wangu Iringa mjini alafu kwa miaka 14 hamtaki kunilipa? Msidhani mtakaa kwenye ajira na nyie hayo madati yenu nayalaani! Hamtayafaidi nyie wala familia zenu wala watoto zenu! Mtakuwa masikini na mafukatara! Mtapatwa na ajari na kuvunjika miguu kama hamtakufa! LABDA MNILIIPE MADAI YANGU. NIMEWAAMBIA YA KWAMBA MADAI YANGU YAKO KWENYE MFUMO WENU WA CRM yenye check no. 11349624 tangu mwaka May 2012.Inabidi tuanzishe Uzi maalum wa kuishawishi mamlaka imuondoe huyo msanii hapo ofisini. Hafai kabisa
PSSSF nyie ni wahuni na wendawazimu! Na mnajizima data kutufanya wajinga. Kilichobaki kwangu ni kwenda mahakamani. Na mlaaniwe! Mimi nimedai madai yangu kwenye mfuko kwa muda wa zaidi ya miaka 14 alafu mnakuja hapa kujishaua? Huyu anachokidai ni kweli! Kuthibitisha haya nenda kwenye mfumo wenu wa CRM tafuta mtu mwenye check no. 11349624 muone kama ni uongo! Nimedai na madai yangu yamethibitishwa na mwajiri wangu na pia yamethibitishwa na meneja PSSSF iringa lakini hamtaki kunilipa! Nyie mmelaaniwa! Na ninawalaani maana nimetumia muda na gharama kubwa kwa miaka 14 kudai madai yangu hamtaki kunilipa! Mnachonifanyia mimi kikawatokee nyie kipindi mkiacha au kuachishwa kazi au kustaafu sio kwenu tu bali uzao wenu wooote mpaka mwisho wa dunia! How comes nimedai madai tena yakathibitishwa na mwajiri tena yakathibitishwa na nyie katika ngazi ya kwanza alipo mwajiri wangu Iringa mjini alafu kwa miaka 14 hamtaki kunilipa? Msidhani mtakaa kwenye ajira na nyie hayo madati yenu nayalaani! Hamtayafaidi nyie wala familia zenu wala watoto zenu! Mtakuwa masikini na mafukatara! Mtapatwa na ajari na kuvunjika miguu kama hamtakufa! LABDA MNILIIPE MADAI YANGU. NIMEWAAMBIA YA KWAMBA MADAI YANGU YAKO KWENYE MFUMO WENU WA CRM yenye check no. 11349624 tangu mwaka May 2012.
PSSSF nyie ni wahuni na wendawazimu! Na mnajizima data kutufanya wajinga. Kilichobaki kwangu ni kwenda mahakamani. Na mlaaniwe! Mimi nimedai madai yangu kwenye mfuko kwa muda wa zaidi ya miaka 14 alafu mnakuja hapa kujishaua? Huyu anachokidai ni kweli! Kuthibitisha haya nenda kwenye mfumo wenu wa CRM tafuta mtu mwenye check no. 11349624 muone kama ni uongo! Nimedai na madai yangu yamethibitishwa na mwajiri wangu na pia yamethibitishwa na meneja PSSSF iringa lakini hamtaki kunilipa! Nyie mmelaaniwa! Na ninawalaani maana nimetumia muda na gharama kubwa kwa miaka 14 kudai madai yangu hamtaki kunilipa! Mnachonifanyia mimi kikawatokee nyie kipindi mkiacha au kuachishwa kazi au kustaafu sio kwenu tu bali uzao wenu wooote mpaka mwisho wa dunia! How comes nimedai madai tena yakathibitishwa na mwajiri tena yakathibitishwa na nyie katika ngazi ya kwanza alipo mwajiri wangu Iringa mjini alafu kwa miaka 14 hamtaki kunilipa? Msidhani mtakaa kwenye ajira na nyie hayo madati yenu nayalaani! Hamtayafaidi nyie wala familia zenu wala watoto zenu! Mtakuwa masikini na mafukatara! Mtapatwa na ajari na kuvunjika miguu kama hamtakufa! LABDA MNILIIPE MADAI YANGU. NIMEWAAMBIA YA KWAMBA MADAI YANGU YAKO KWENYE MFUMO WENU WA CRM yenye check no. 11349624 tangu mwaka May 2012.
PSSSF nyie ni wahuni na wendawazimu! Na mnajizima data kutufanya wajinga. Kilichobaki kwangu ni kwenda mahakamani. Na mlaaniwe! Mimi nimedai madai yangu kwenye mfuko kwa muda wa zaidi ya miaka 14 alafu mnakuja hapa kujishaua? Huyu anachokidai ni kweli! Kuthibitisha haya nenda kwenye mfumo wenu wa CRM tafuta mtu mwenye check no. 11349624 muone kama ni uongo! Nimedai na madai yangu yamethibitishwa na mwajiri wangu na pia yamethibitishwa na meneja PSSSF iringa lakini hamtaki kunilipa! Nyie mmelaaniwa! Na ninawalaani maana nimetumia muda na gharama kubwa kwa miaka 14 kudai madai yangu hamtaki kunilipa! Mnachonifanyia mimi kikawatokee nyie kipindi mkiacha au kuachishwa kazi au kustaafu sio kwenu tu bali uzao wenu wooote mpaka mwisho wa dunia! How comes nimedai madai tena yakathibitishwa na mwajiri tena yakathibitishwa na nyie katika ngazi ya kwanza alipo mwajiri wangu Iringa mjini alafu kwa miaka 14 hamtaki kunilipa? Msidhani mtakaa kwenye ajira na nyie hayo madati yenu nayalaani! Hamtayafaidi nyie wala familia zenu wala watoto zenu! Mtakuwa masikini na mafukatara! Mtapatwa na ajari na kuvunjika miguu kama hamtakufa! LABDA MNILIIPE MADAI YANGU. NIMEWAAMBIA YA KWAMBA MADAI YANGU YAKO KWENYE MFUMO WENU WA CRM yenye check no. 11349624 tangu mwaka May 2012.Hamuwezi kumlengesha kwa wasiojulikana?
PSSSFBaada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi.
Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni msaada na Haki ya Mtu
UFAFANUZI KUHUSU MALALAMIΚΟ YA MTU AMBAYE HATUJAMTHIBITISHA KAMA MWANACHAMA WA PSSSF
Januari 31, 2025
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umebaini mjadala unaoendelea kwenye jukwaa la Jamii Forums kuhusu utendaji wa PSSSF, ambapo mtu anayejitambulisha kwa jina la Mkumbwa Jr ameonyesha kutoridhika na huduma zetu.
Kwanza, tunatoa pole kwa Mkumbwa Jr. iwapo kweli alipata changamoto yoyote alipotafuta huduma katika ofisi zetu. PSSSF inajitahidi kila siku kutoa huduma bora na kwa wakati, kwa kuwa tupo kwa ajili ya wanachama wetu.
Hata hivyo, hadi sasa, hatujapokea rasmi malalamiko yanayofanana na yale yaliyoelezwa na Mkumbwa Jr. Zaidi ya hayo, kutokana na kutotumia majina yake halisi, tumeshindwa kuthibitisha uanachama wake au kufuatilia suala lake kwa usahihi.
Tunamkaribisha Mkumbwa Jr. au mtu yeyote mwenye malalamiko kufika katika ofisi zetu au kuwasiliana nasi kupitia namba 0800 110 040 (bure) ili atupatie taarifa muhimu kama namba ya uanachama, zitakazotuwezesha kufuatilia na kutatua tatizo lake haraka.
Pia, tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu kuwa tangu Agosti 2024, PSSSF imehamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika uwasilishaji wa madai na upatikanaji wa huduma.
Tunaamini kuwa mwanachama yeyote anayeweza kushiriki kwenye majukwaa ya mtandaoni pia anaweza kunufaika na huduma zetu za kidijitali kwa urahisi. Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga 0800 110 040 bila malipo.
PSSSF inaendelea kujitahidi kutoa huduma bora za hifadhi ya jamii kwa wanachama wetu na Watanzania kwa ujumla, tukiwa waaminifu kwa maadili yetu ya kumjali mteja, uaminifu, weledi na uwazi.
Yessaya Mwakifulefule
Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma.
Wajibu PSSSFPSSSF nyie ni wahuni na wendawazimu! Na mnajizima data kutufanya wajinga. Kilichobaki kwangu ni kwenda mahakamani. Na mlaaniwe! Mimi nimedai madai yangu kwenye mfuko kwa muda wa zaidi ya miaka 14 alafu mnakuja hapa kujishaua? Huyu anachokidai ni kweli! Kuthibitisha haya nenda kwenye mfumo wenu wa CRM tafuta mtu mwenye check no. 11349624 muone kama ni uongo! Nimedai na madai yangu yamethibitishwa na mwajiri wangu na pia yamethibitishwa na meneja PSSSF iringa lakini hamtaki kunilipa! Nyie mmelaaniwa! Na ninawalaani maana nimetumia muda na gharama kubwa kwa miaka 14 kudai madai yangu hamtaki kunilipa! Mnachonifanyia mimi kikawatokee nyie kipindi mkiacha au kuachishwa kazi au kustaafu sio kwenu tu bali uzao wenu wooote mpaka mwisho wa dunia! How comes nimedai madai tena yakathibitishwa na mwajiri tena yakathibitishwa na nyie katika ngazi ya kwanza alipo mwajiri wangu Iringa mjini alafu kwa miaka 14 hamtaki kunilipa? Msidhani mtakaa kwenye ajira na nyie hayo madati yenu nayalaani! Hamtayafaidi nyie wala familia zenu wala watoto zenu! Mtakuwa masikini na mafukatara! Mtapatwa na ajari na kuvunjika miguu kama hamtakufa! LABDA MNILIIPE MADAI YANGU. NIMEWAAMBIA YA KWAMBA MADAI YANGU YAKO KWENYE MFUMO WENU WA CRM yenye check no. 11349624 tangu mwaka May 2012.