PSU kuna manahodha wa meli/boti?

PSU kuna manahodha wa meli/boti?

Rais Samia Suluhi Hassan leo alitumia usafiri wa boti kutoka Zanzibar kuja Dar Es Salaam.

Je huko kwenye Idara ya Ulinzi wa Rais kuna ambao ni manahodha wa boti au meli? Ambapo ikitokea Rais anatumia usafiri wa maji basi waweze kumuendesha?

Maana safari za namna hizi za Rais kutumia usafiri wa maji huwa ni mara chache sana.

Na je ikitokea watu wa namna hiyo hawapo huko idarani? Rais anaweza kuendeshwa na nahodha yoyote yule?
Akipanda ndege za abiria huwa nani wanaendesha?
 
Kaenda kukaa kule mbelee.

Halafu alikua anachat.

Sasa sijui alikua anamtumia nani sms.

Ila naamini ni kwangu maana nimeona namba ngeni hapa.
Mkuu nimejikuta nacheka kama mjinga, watanganyika nyie ni kiboko,
Ebu bwana msiwe mnatuvunja mbavu bwana ,haya ni makusudi

Mmlisha ambiwa Halali sasa hamtaki achart , alikua anachart na nani hapo ndo nimecheka,

Kataa Tozo
Katiba ni Sasa,
Mikutano ya siasa ni sasa
 
Story za huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa

Dunia iko kiganjani siku hizi ndugu. Tafuata habari za ulinzi wake wakati ule alipoenda kukutana na Trump huko far East. Ndio utaona hicho kitengo cha Lavaratory ya comrade Kiduku. Ongezeni scope ya ulinzi msiishie kwenye kiti na vipaza sauti tu. The Soviet era techiniques.
 
Kaenda kukaa kule mbelee.

Halafu alikua anachat.

Sasa sijui alikua anamtumia nani sms.

Ila naamini ni kwangu maana nimeona namba ngeni hapa.
Mbona msg ya sensa katutumia wote?

Na hivi bado upo Ccm au kile chama kilichokufa kabla ya usajiri?
 
Mkuu raraa reree , mimi nina tatizo moja kubwa, ni mkweli too much!. Kwenye hilo, tumelia au hatukulia?.
P
Aisee kweli tulilia..
Alaf pasco nikiangalia picha yako nakumbuka mbali japo nilikuwa mdogo kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa ITV viti viwili nyuma background ya blue yameandikwa kitimoto nikaja kuvutiwa tena na mahojiano yako wakt wa 77 tena nimekukuta na uandishi wako wa kusisimua hapa jf 😃
 
K
Aisee kweli tulilia..
Alaf pasco nikiangalia picha yako nakumbuka mbali japo nilikuwa mdogo kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa ITV viti viwili nyuma background ya blue yameandikwa kitimoto nikaja kuvutiwa tena na mahojiano yako wakt wa 77 tena nimekukuta na uandishi wako wa kusisimua hapa jf 😃
kitimoto haikuwa ITV
 
Nasubiri Comments za Watu wa TISS na PSU mliojazana hapa Jamiiforums.
 
Back
Top Bottom