Psychedelic Drugs & Consciousness

Sawa mkuu, ukipata muda jaribu kupiga picha alafu uweke hapa ili tupate uhakika zaidi.
poa kama hayo uliopost ya mwisho nipo napita mahali saivi nimeyaona hapo morostore sema ni privacy kwa mtu huwezi piga picha bila permit ya mhusika
 
poa kama hayo uliopost ya mwisho nipo napita mahali saivi nimeyaona hapo morostore sema ni privacy kwa mtu huwezi piga picha bila permit ya mhusika
Ile aina ya kwanza ndio inahitajika.. Hiyo aina ya pili hapa nilipo inapatikana kwa wingi.
 
Big up sana chief...hapa naendelea kujifunza
 
Nakuja ngoja mechi ya liverpool na mashetani iishe
 
Wakuu nimejaribu kuufatilia huu mmea ambao Mk54 anauita datura,ila Mimi nimependezwa na jina lake vile wazungu wanauita jeemson weed/Devils trumpet, huu mmea una nguvu kubwa sana kuliko tunavyodhani,huu mmea unazo nguvu za kumfanya mtu asionekane kwa macho ya nyama.

Lakini pia huu mmea ukiutumia vibaya unazonguvu za kukufanya upate ukichaa Wa muda(moment craziness)

Pia nimejifunza kuwa mmea huu unao uwezo Wa kumfanya mtu aje kwako afanye chochote kwani akikupulizia unalala usingizi mzito matokeo yake mhusika anakufanyia chochote anachotaka..

Huu mmea ni hatari sana,nimeuogopa sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…