nzaghamba
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,212
- 1,431
mbona mengi tu nenda wanapouza maua kwa dsm nimeyaona mengiKuna mwana JF alisema inapatikana Dodoma, jaribu kumtafuta anaweza .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona mengi tu nenda wanapouza maua kwa dsm nimeyaona mengiKuna mwana JF alisema inapatikana Dodoma, jaribu kumtafuta anaweza .
kama upo dsm nenda wanapouza maua yapo mengi
Mkuu umeyaona yapi kati ya haya..? Maana hizo ni aina tofauti, ingawa zote ni cacti.kama upo dsm nenda wanapouza maua yapo mengi
aina zote hizo nimeziona kwa hao wauza mauaMkuu umeyaona yapi kati ya haya..? Maana hizo ni aina tofauti, ingawa zote ni cacti.
View attachment 1783406
View attachment 1783407
Sawa mkuu, ukipata muda jaribu kupiga picha alafu uweke hapa ili tupate uhakika zaidi.aina zote hizo nimeziona kwa hao wauza maua
Ila mkuu haimaanshia kuwa hazipatikani kabisa. Kuna watu wamepanda majumbani kwako, alafu pia kuna maeneo ya kanisa nilishawahi kuuona ila ni muda kidogo na nimeshasahau ilikuwa ni wapi haswa.Shida inaanzia hapa!! Tunatamanishana tuView attachment 1783424
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
poa kama hayo uliopost ya mwisho nipo napita mahali saivi nimeyaona hapo morostore sema ni privacy kwa mtu huwezi piga picha bila permit ya mhusikaSawa mkuu, ukipata muda jaribu kupiga picha alafu uweke hapa ili tupate uhakika zaidi.
Ile aina ya kwanza ndio inahitajika.. Hiyo aina ya pili hapa nilipo inapatikana kwa wingi.poa kama hayo uliopost ya mwisho nipo napita mahali saivi nimeyaona hapo morostore sema ni privacy kwa mtu huwezi piga picha bila permit ya mhusika
Ungepandisha hapa cover page au link ingekuwa powa sana joh!No kitabu Mzee wangu
Kuna mahali ipo ile inaizwa bei ghali sanaaIle aina ya kwanza ndio inahitajika.. Hiyo aina ya pili hapa nilipo inapatikana kwa wingi.
Na bado hatujui jinsi ya kuiandaa!! Kaaazi kweeli kweliKuna mahali ipo ile inaizwa bei ghali sanaa
Ni wapi huko na inauzwaje..?Kuna mahali ipo ile inaizwa bei ghali sanaa
Kuiandaa sio tatizo, kuna taratibu ambazo ni za kawaida na sio complicated.Na bado hatujui jinsi ya kuiandaa!! Kaaazi kweeli kweli
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Kuiandaa mimi nina every step, na jinsi ya kupima ili isikuletee overdose na bad trip.Na bado hatujui jinsi ya kuiandaa!! Kaaazi kweeli kweli
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Sure mkuu, hata Mimi najitolea kutoa maelekezo ili yawasaidie wenye uhitaji na kipimo cha matumizi kuzuia bad trips.Kuiandaa sio tatizo, kuna taratibu ambazo ni za kawaida na sio complicated.
Big up sana chief...hapa naendelea kujifunzaI agree. For the first time nilipokuwa Amazon kwa ajili ya kufanya journeying ya Ayahuasca, tuliingizwa kwenye small room chenye mwanga hafifu.
And they told us to stay in a meditating way .
Baada ya 40 Mins, Nilielewa kuwa it was preparedness to spiritual journey beyond human conditions that supersede any faith.
Baada ya muda huo ; tukaitwa kwa kupata kinywaji. Baada ya kupata the DMT ndani ya Ayahuasca...... nilianza kuona how my body was dissolving to unknown realms.
Sikuwahi kujua wala kuelewa mtu akiniambia Live in Present moment. I never knew what the present moment really was untill I journeying through Psychedelic mind altering drugs.
Nature ya kazi yangu ilinifanya niwe thirsty to unknown knowledge. I don’t believe in LIMITATIONS..... , The SKY is never my limit..... infinity is never my limit ..... I don’t have any limits. I am as I am. I was I am and I will Be I am in the here now.
Katika kazi zangu ; nimehudumia binadamu wengi sana; Nimewapatia Pharmaceuticals medicine kwa ajili ya kutibu magonjwa yao huku nikijua wazi , baada ya Muda huyu mtu ataangukia kwenye ugonjwa wa ini; au ataangukia kwenye ugonjwa wa Figo.
Mwaka 2018, nilikutana na mgonjwa mmoja; baada ya consultation ya muda; nikampatia dawa ambayo it was the only solution for her. In few days , familia yake ikani contact kuwa ndugu yao amepata tatizo la memory loss; ameshatumia almost nusu ya dose .nilijua what was wrong ; niliwaambia immediately to withdraw the medicine . In few days ; the women alikutwa kajinyonga. I knew it was the medicine iliyo create the depression na suicidal thoughts. I have lots of things to share.
Kwa TZ , ukiangalia kasi ya Kansa, Ini , Figo na Impotence( Erectile dysfunction) imeongezeka kwa asilimia zaidi ya 15% .... na inaonekana hatujui nini chanzo , lakini kwa wenye kuujua ukweli tunajua nini chanzo.
Dada zetu kupata mimba siku hizi ni kwa boster ya hormonal therapy.... you know something is missing.
Nimetumia hii mimea na sina Ugonjwa wowote ; I am healthy, smart , intelligent, innovative and considerate and my ability to make love is extraordinary. Sina maana kwamba na wewe utumie, i mean find your own purpose.
I worked in Tanzania, kuanzia Halmashauri.... then I grew up nikaenda NGOs ..... then nikaenda Netherland... worked there for 3( 2 yrs + few months) .... being smart and innovative....as well as considerate nikapangiwa Namibia as Country Manager at the age of less than 30 years old during that time.
I smoked bangi first time, carefully determined by this Frenchwoman, My prof.
The choise is yours ....... choice it wisely. Bila ya kufuata mkumbo
Safi sana aisee,kumbe wataalam mpoKuiandaa mimi nina every step, na jinsi ya kupima ili isikuletee overdose na bad trip.