Psychedelic Drugs & Consciousness

If what your saying is true ningetegemea watu UsA kuwa most civilized and most caution people lakini kiuhalisia hamna watu wa ovyo kama hao just to pin point hayo mapyschodelics ndio yanawafanya wawe wanyama kabisa in fact yanaongeza rate ya suicide yani its just another trap kama cocain and heroine for specific group of people kama ilivokuwa heroine to black Americans and cocain to poor white people.
THINK, IT AIN'T ILLEGAL YET.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Actually, kama mtu hajawahi kutumia psychedelic drug ya aina yoyote basi asifikirie kabisa kuujaribu huu mmea..
 
Kabla ya kuanza kukosoa ni vyema kwanza kuelewa kilichoandikwa.
 
Am following....
I believe in balance..

ulisema sahihi sana kuhusu amounts za dosage...

someday under guidance pia would love to smoke this aisee
 
Wanauza wapi?.
 
Ukiwa hio dunia beyond human comprehension unaona nini? Na una feel nini?.

kama motive ni kuondoa ego and the like hio experience mbona wengine tunaishi nayo tyr...
Ulisema ukaona utakufaje how?.
Unaona nini?vitu vinabadilika form and color ama?tuambie zaidi pls
 
Ni wapi huko na inauzwaje..?
Itabidi ni mchek muuzaji kwanza kama upo au ulikwisha uzwa. But kama uko serious?

Actually, kama mtu hajawahi kutumia psychedelic drug ya aina yoyote basi asifikirie kabisa kuujaribu huu mmea..
Uko na personal experience ya Datura. Pengine uko na maelezo mengi yahusuyo huo mmea karibu utupatie maarifa hayo

Uko na personal experience yeyote kati ya hizo 3 ulizosema?

Sure mkuu, hata Mimi najitolea kutoa maelekezo ili yawasaidie wenye uhitaji na kipimo cha matumizi kuzuia bad trips.
Hongera wajuzi mnazidi kuongezeka Mk54
 
Yes huu ni wenyewe,unaitwa devils trumpet (baragumu /tarumbeta la shetani) nikisema tarumbeta la shetani namaanisha tarumbeta la shetani kweli kweli,don't try it.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
**** mwanakijiji kadai huu mmea haufai huwa unaonekana kwa mbinde nimeshindwa kumwelewa na amegoma kunielekeza

Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
 


1. Kindly define the word CIVILIZATION.

2. You have just said about the RATE OF SUICIDE , In Europe and America, the rate of suicide has increased significantly A LA SUITE de consumption of Antidepressants medication, hizi ni dawa zinazotolewa Hospitalini .
3. Ufaransa pekee, ENVIRON 11, 000 deaths kwa mwaka zinazotokana na suicide ya kutumia antideppresants medication prescribed by doctors.

4. USA vifo zaidi ya 22,000 kwa mwaka kutoka na matumizi ya dawa za Depression. Kati ya watu 100,000, watu 10 hadi 20 hujiua ikiwa ni aftermath ya matumizi ya dawa tajwa.

5. Kwa mfano; Dawa kama Fluoxetine au Paroxetine kwenye Group la Selective Serotonin Reuptake Inhibitor zinasababisha watu zaidi ya 15,000 kila mwaka wajinyonge kama aftermath ya matumizi ya Dawa hizo. And that is just for USA .

6. Ninakupa taarifa za ndani kabisa, you won’t get anywhere. Kwa TZ, wale wote wanaopelekwa kwenye Mental Institution, hali zao huwa mbaya zaidi baada ya kuanza matumizi ya dawa tajwa hapo juu, Na kuna lots of unrecorded deaths zinazotokea based on the consumption ya hizo dawa , yaani suicide deaths.
-
Ukiachana na suala la Mental Issues; do you know how many people are diabetic out of knowing kuwa walipata kwa kutumia dawa fulani kama hizi corticosteroids for particular ailment?
-
Do you know how many people are suffering from renal failures A LA SUITE DE consumption of particular medicines such as dawa za ARVs kama TENOFOVIR and related nucleotide analogs etc etc. ?
-
Do you know how many have erectile dysfunction and permanent impotence kwa matumizi ya dawa za presha kama vile Labetalol, Propanolol etc etc .
-
Na kama ulipitia uzi vyema , tumeonesha wazi kuwa there is a cost associated if you misuse these divine plants , or you use them out of knowledge......
/
Go back in history , Heroin and Cocaine ambazo umezitaja zilitumika Vizuri around 1700 to 1800 miaka hiyo; na haijawahi kuleta shida kwenye jamii.
-
Generation ya Sasa ambayo ni CRAZY na inayotaka kukimbia maumivu ya maisha ndiyo ime miss use Psychedelic plants kuwa dangerous , na ndiyo maana WHO wamei classifies kama Controlled Drugs . Look at the history ni mwaka gani Heroin na Cocaine ilianza kuwa classified?

Umeshawahi kufikiria kwanini mpaka kesho tuna mimea ya Opium ambayo ndiyo zao la hayo ma Cocaine na Heroin ?
-
Tatizo kubwa la hii mimea ni IGNORANCE ya watu inayowapelekea OVERDOSE. Na hata ukiangalia recorded deaths based on consumption of these plants , ni OVERDOSE na IGNORANCE. Na sijawahi kusikia mtu kafa kwa kutumia Bangi , au DMT. Bali nimewahi kusikia mtu kafa kwa ku overdose heroin na Cocaine.

Nimewahi kutumia Morphine, ambayo ni zao la OPIUM na kila siku wagonjwa ninawapatia Morphine for their survival...... where do you draw the line ?

How can you treat a terminal ill wa Saratani ? That is why I said you are opening your mouth out of knowledge.
 
35. O Voltaire! O humanity! O idiocy! There is something ticklish in "the truth," and in the SEARCH for the truth; and if man goes about it too humanely—"il ne cherche le vrai que pour faire le bien"—I wager he finds nothing!”

Beyond Good and Evil
Friedrich Wilhelm Nietzsche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…