Nilichogundua mimi jamii kubwa ya watu wa Africa ni wachoyo wa maarifa pale ambapo mtu yupo committed kwenye kupata hayo maarifa ambayo utakuta mtu anayayo blah blah zinakuwa nyingi, mpaka mtafuta maarifa anakata taama, lakini ukiwa kwenye forums za wenzetu wa dunia ya 1, utakuta knowledge uliyonyimwa na mweusi mwenzako yeye anakupa for free tena kwakupoteza muda wake.
Kuna vitu vingi sana vyakujifunza dunia hii ambavyo wenzetu wa dunia 1 wanavijua na wana maeneo maalumu ya elimu hizo.
The world is the better place but only i you decided to share the knowledge you have to save others..
The Knowledge Seeker
I Agree. Wakati nipo TZ, kuna rafiki yangu alikuwa addicted na Cocaine , yeye alikuwa akisoma medicine pale MUHAS.
By the time nimerudi TZ, naambiwa bana jamaa kawa Teja. Nilistuka sana.
Nikamfuatilia nikaambiwa yupo methadone center fulani hapo Dar.
Nilikuwa najua watu wote wa Methadone.
Asubuhi yake nikamkuta kweli, kumuona akastuka, akataka kunikwepa. Nilimwambia nimekuja kwa ajili yako.
Baada ya kumeza ile solution yake , nikaondoka nae .
Nilimfanyia Consultation ya maana. Nikamwambia nataka uache kwenda methadone for a week, you have to trust me.
Yeye akawa anaogopa kuacha maana uki miss siku tu jamaa wanaweza kukutema kabisa. Ni lazima kila siku uende na usaini kuwa umekunywa methadone.
Akanielewa, nilikuwa na Ayahuasca yenye DMT na MAOI from overseas na kwakua I came for Special task maramoja.
Nikamuanzishia the smallest dose kwa interval ya siku tatu tatu. Ndani ya wiki mbili nikapunguza dose ya chini kabisa then nikastop.
Nikamwambia vipi,do you still need methadone ? Baada ya wiki nikahakisha Ayahuasca imetoka kabisa ndani ya mwili wake, nikamwambia nenda Center waambie hutaki tena Methadone Sababu wewe sio teja teja and you are fine now .
Alipoenda wakampima pima. Wakamuuliza mda gani hujatumia methadone akasema wiki tatu, wakamwabia ili uache unatakiwa kuja kila siku hapa kwa Muda wa siku 14. Bila ya kutumia chochote ili tufanye observation.
Jamaa akaanza hiyo safari. Na alibadilika, akawa anafanya mazoezi asubuh na jioni.akawa anachomekea looked very smart.
Jamaa wakaprove huyu kapona without knowing how could that be so quickly.
Wakamuomba afanye kazi pale ya kushauri wengine na awe kama mfano.
Nikamwambia NO, rudi shule kasome.
Akabadili na Course. Akasoma Accountant pale Uhasibu maana MUHAS walishamtimua.
now anafanya kazi moja ya Bank kubwa TZ kama Afisa, na alinisaidia sana Kwenye biashara zangu wakati nilipokuwa nahitaji huduma ya kibenk.
amekuwa ni Mtu wa Mungu full maushauri kwa watu na anaonekana he is very bright.
This is true story I am telling kwa hakika.
Always nashauri Culture Conditions ime create condition kubwa snaa kwa uwezo wa maisha yetu. Imemaliza uwezo wa kufikiri na kutuaminisha kuwa mazuri ni kwa wenzetu tu . Na kama huna great endeavors hatuwezi kutoka katika hiyo enslavement ya tamaduni zetu. Funguo ya break our limitations created by culture conditions tunazo, ni namna ya kutumia funguo ndio inahitajika.
Wengi wanakufa na inner secrets zao bila ya kuzi reveal. That is the worst part . Yaani watu wapo duniani kama
Mizoga waiting for their deaths.
Unaamka asubuhi, una enda haja kubwa na ndogo, you take shower, unaingia kwa IST yako , you go to work . Unakunywa chai , unamaliza kazi , una rudi home. Unalala. Asubuhi unaanza cycle ile ile.
Jmosi utaenda church au msikitini. That is our cycle till death.