Psychedelic Drugs & Consciousness

Psychedelic Drugs & Consciousness

Ugoro kwa jina la kitaalamu ni Snuff.

Snuff ni zao la tumbaku kama ilivyo kwa sigara mkuu. Ni sawa na kutofautisha maziwa mtindi na maziwa fresh, yote ni maziwa tofauti ni uandaaji.

Snuff ni tumbaku iliyokaushwa na kusagwa mashine. Ambayo kwenye usagaji moja inafanywa kuwa kavu hii utaingiza kwenye pua, na nyingine inafanywa kuwa Moist , hii utaingiza chini ya mdomo kuruhusu absorption ya Nicotine.

Zote zinaleta madhara yale yale kwa Sababu Principal Active ni Nicotine isipokuwa anaeweka mdomo is likely to damage tissue za mdomoni na anaweza kudevelop Hata Saratani ya kinywa.

Ila Kuvuta sigara na ku sniff dried snuff ni hatari zaid Maana unaenda kuathiri respiratory systems yako ikiwa ni pamoja na kupata kansa ya mapafu au kuharibu sense za harufu na kunusa au kupata Asthma.

After all , unaweza kuvuta ugoro au sigara Life time yako yote na usipate ugonjwa wowote, kuna wengine wanapata kansa ya mapafu na hawajawahi kuvuta any of those things, na wengine wanavuta kila siku na hawana hayo magonjwa.

Sometimes it is a genetic issue na bloodline disease

“Everything is determined, the beginning as well as the end, by forces over which we have no control. It is determined for insects as well as for the stars. Human beings, vegetables or cosmic dust; we all dance to a mysterious tune, intoned in the distance. Albert Einstein”
Asante mkuu.
 
In spiritual ceremonies, hallucinogenic mushrooms were used to make contact with Souls , and as a way of hearing the voices within and having the sense of existence of higher truth and Unity

The plants gave them mystical Experience and Through the mystical experience, they gained enormous knowledge about the stars, agriculture, martial arts, architecture, planents , etc etc.

I had one of the most experience in my life , and from that point ,it was a radical change of my little stupid life on earth. I got power as human being

It allowed me to see nature more clearly: auras in flowers and people, trees, chair, tables, with more vivid truths in everything I contact with
Auras
But kwa sababu kuna so many requests from my fellow humans , tutakuja na lectures maalumu ya kupata therapeutic dose to begin with ya hizi plants like Cannabis, Psychedelic plants
Hapa utakuwa umesaidia wengi sana. Hongera
Snuff ni zao la tumbaku kama ilivyo kwa sigara mkuu
Kuna mambi mengi umeyazungumzia mpaka naona hizi toxics zitachukua muda gani kuisha, ila umebadilisha maisha ya wengi hapa ikiwepo mim....
 
Mi sielewi...hiyo Ayahuasca inakupa extrasensory perception au, ka kuteleport au telepathic comm mana sielew...mara mtu analia mara unakuwa ka umekufa, what is it really, in least possible explanations. Please, not offending any opinion.[emoji120][emoji120]
 
Ha ha. Umenikumbusha mbali. Mara ya kwanza kutumia DMT Yaani Ayahuasca. Nililia sana. Nikaona sijawahi kujitendea haki. Sijawahi kuwatendea haki binadamu wengi. Nikaona nilikuwa na EGO kubwa. Niliomba sana msamaha. I forgave my self and others.

Baadae nikaoneshwa kifo changu. Nikawa siamini. Nikahisi Muda wangu nimeutumia vibaya, nime poteza opportunities nyingi kwa uoga.

Guide wangu alipoona naanza kupata hizo effect , akawa anani guide , yaani nikaanza ku Transcendent Beyond the doubt and odds. Mwisho akanileta kwenye Sky, moon and starts; Aisee, nikasema kweli the world has a lot ambayo our naked eyes can not have that glimpse. Nilifanikiwa kuona the glimpse of life itself.

Niliona mambo ambayo i cannot menton here. Baadae ninakumbuka sipaswi kuipoteza hii chance. Nikaomba pen na Karatasi. Kwa kweli my life from that point , I became a new being. It is hard to stay mad.

Hard to explain.
Ko unajua utakufaje! Seriously[emoji57]
 
Hongera sana FEAR ZONE ndio the Real Devil [emoji49]. Yaani ukiweza kuelewa kwamba there is no reason to be afraid, umefaulu.

Kwa Sababu Fear Zone ni mbegu iliyopandwa since day one ya childhood yetu. Ndio maana it is so hard kuondoa fear ya Mtu.
Imagine unaanza kumwambia mtoto sijui ukifa Mungu ataenda kukuchoma moto,utaenda kuteswa kaburini na malaika 70 . Sijui utachomwa moto. So ile creativity ya mtoto out of fear inakuwa imeshauliwa.

Na maisha yake yote ataishi kwa muktadha wa uoga. Hata Zone ya kujifunza hatoisogelea.
Kauli yake mbiu ni umekuja kuabudu. Hivyo elimu yako ni kuabudu tu

Elimu nyingine yoyote ataona inataka kumtoa kwenye maisha ya uzima. Matokeo yake anaishi the whole life akiamini kuishi hivo ndio kutamfanya aingie Uzima.

, anasahau kwamba so many people died ili leo hii yeye kujua dose halisi ya magnisum Sulfate Injection kwa mama mwenye kichaa cha mimba( Eclampsia) , so many people died kupata dose ya Oxytocin ( maji ya uchungu) , so many people died to establish epidural dose ili mama azae kwa upasuaji vyema etc etc . Hizi zote ni knowledge out of fear and comfort zone.

Watoto wako usiwafundishe uoga. Teach them to question, to conform, to believe in themselves to learn as much
As they can .

Tell them kwamba wamekuja kuimilika hii dunia, dunia bila ya wao bado haijakamilika na ndio maana wapo duniani.

Aidha, bila elimu na Maarifa ya elimu out of fear huwezi kumiliki dunia . They should never be caged bird [emoji1659] . Let them be .

Uoga ndio umetufikisha hapa kama Taifa.

Uoga ni real devil , hata kama umesoma for as long as upo kwenye zone
Ya uoga, ni katika uhalisia huo maisha yako yatakuwa ni KISANGA

Great things are never easy; great things hufanywa out of fear. Great things hufanywa kwenye zone ya Learning na Growth !
View attachment 1712302
Nakubaliana na wewe [emoji817]
 
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nilikisema kwa kifupi...Nikaambiwa niongeze Nyama (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

concepts 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako

Concepts:2 Sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...


Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??

Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concepts 3: Punyeto kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.


Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..
Natamani ni Astral project hata once in my lifetime [emoji18]
 
Okay kwani ugolo upo fungu gani? Its time to learn everything about everything
Speaking of Ugolo, unanipeleka mbali kidogo. Professionally, kazi zangu ni za porini. I met a guy uko porini ilikua asipopiga io kitu, unaweza muona kama ni mstarabu.

Ikifika mida yake (alikua na mida yake ya cha bibi), anapiga mikelele, anapiga mastory mengi sana. Kuna mda tulikua tunamuomba apige cha bibi hata kama mda wake hujafika 😂.

Anyway, life’s good guys!
 
Nimekutana na hii shambani nafikiri ni Datura mk54
20210326_102340.jpg
 
Mkuu hapana, uzoefu unaitajika hapa.
Pia kuna death cases nyingi kutokana na Datura.
'They are commonly known as thornapples or jimsonweeds but are also known as devil's trumpets. Other English common names include moonflower, devil's weed and hell's bells"

Ilibidi nikagoogle ili nielewe why umesema ivyo, niliposoma aya maneno nikapata jibu.
 
Itabidi tuanze kuainisha Movies zenye hidden message. Wengi wetu tuna upofu mkubwa.

Magharibi wameamka sana.

Will Smith ni mtumiaji mzuri sana wa Psychedelic. He is an expert
Kwanini hajawafundisha wanae kama yule wa kiume hali aliyonayo inatia huruma
 
Msaada jamani, wapi nimekosea kwenye kujaribu kutumia canabis .
Kuna kazi nilikua naifanya nikahitaji booster ya mjani , ofcoz shauku hii imetokana na uzi huu

Nimevuta puff mbili, kama MK54 Alivyosuggest lakini sikupata matokeo .hata lile jani sikuhisi chochote wakati nalivuta .
Mazingira yalikua favourable , je nini inaweza kuwa sababu
 
Back
Top Bottom