Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Ebhana usiku wa kuamkia leo paji la uso sehemu ya utosi katikati ya nyusi nlikua nahisi kama kitu kinatekenya alafu kichwa kinauma, nkawa naona rangi rangi hasa blue na kijani then nikaamka aisee, hii inamaana gani kwenye ulimwengu wa jjicho la tatu? Cc Rakims Mshana Jr
 
NYOTA YA MIZANI (LIBRA)

View attachment 876972

Hii ni nyota ya saba katika mlolongo wa nyota 12

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 23 September na 22 Oktoba ya mwaka wowote.

Sayari yao ni VENUS (ZUHURA).

Siku yao ya Bahati ni Ijumaa.

Namba ya Bahati ni 6.

Rangi ya Bahati ni Kijani isiyoiva.

Asili ya nyota hii ni Hewa.


KIPAJI CHA MIZANI

(Extra Sensory Perception)

Wenye nyota hii wana kipaji cha kufumbua mafumbo na kujua siri za watu bila kuambiwa.


TABIA ZA MIZANI:

Wenye nyota ya Mizani wana tabia ya kupenda usuluhishi, amani na upatanishi. Ni watu wasikivu, watiifu, na wepesi kuongozwa. Ni wenye maumbo ya kupendeza hasa wanawake. Kwa ujumla ni watu wenye roho nzuri na wanajua kupenda na wenye mahaba mengi.

Ni watu wastraabu, wenye adabu heshima na ni wakarimu kwa mtu yeyote na wanajipenda sana. Katika maisha yao wajipenda sana.

TABIA YA MIZANI KATIKA MAPENZI

Kujihusisha na suala la mapenzi kwa wenye nyota hii ni kitu cha kawaida kabisa pamoja na kwamba wenye nyota hii wanachukua muda mrefu kufanya maamuzi na inawawia vigumu sana kuchagua kati ya wapenzi wawili yupi anaefaa. Kwao kuishi vizuri ni kuwa na mpenzi au uhusiano wa kimapenzi.

Watu wa mizani wanathamini sana mapenzi kuliko hata maisha yao wenyewe na wanapenda sana kujionyesha kwamba wanapendwa.

Kwa sababu hizo wengi sana wanapumbazwa na mapenzi na ndoa zao zinakuwa zina matatizo na zisizo na raha kwa sababu ya kuoa mapema bila kuangalia. Wenye nyota hii wanaonelea bora kuishi katika ndoa yenye matatizo kuliko kuishi peke yao.

Katika suala la mahaba (Romance) na ngono (Sex) wao ni mabingwa. Wanajua sana kumpendeza mwanamke kwa maneno matamu yenye mpangilio na zawadi za thamani na wawapo kitandani wanatumia muda mrefu kuwachezea wapenzi wao sehemu nyeti.

Kwa ujumla wenye nyota ya Mizani wanapenda kuishi vizuri na wanapenda wapenzi wao nao waishi katika hali nzuri.


TABIA YA MIZANI KATIKA FEDHA

Watu wenye nyota ya Mizani wana tabia ya kutokuwa na maamuzi katika masuala ya fedha. Lakini hiyo siyo sababu ya wewe kufikiri kwamba wao ni wajinga.

Wanapofanya hivyo huwa wanapima au kufikiria kuona uwezekano wa fedha kutumika vizuri.

Ni watu wenye mipango mizuri na mara nyingi kwa kutumia uzoefu na kipaji chao kidiplomasia na upole, huwa wanapata mafanikio katika biashara zao.

Wana kipaji cha kuelewa watu wengine wanahitaji nini na wanatumia maneno matamu kuwashawishi wawape wanachokitaka na wanafanikiwa.

Wanapenda sana vitu vizuri na vyenye thamani na wako tayari kutumia fedha yeyote kutekeleza malengo yao.

Kwa ujumla ni watumiaji wazuri na wenye ubinafsi mkubwa.


MAVAZI YA MIZANI

Wenye nyota ya Mizani wanatakiwa wavae nguo yenye kupendeza zenye mapambo na zenye kuashira mahaba.

Nguo ziwe za rangi ya Pinki au rangi ya udongo.

Kitambaa kiwe cha kotoni chepesi na chenye picha picha, kisiwe kile ambacho hakikuchorwa kitu.

Wavae sana mikanda na wapende kuvaa nakshi za maua pamoja na skafu au mitandio iliyoingia. Wanapendelea mavazi ya ushanga na mikufu.


MATATIZO YA KIAFYA

Nyota hii inatawala figo, sehemu ya utumbo mkubwa, kiuno, mpaka sehemu ya juu ya matako.

Sababu kubwa ya maradhi yao ni kwamba wanapenda sana kutafuta amani na suluhu hata wakiudhiwa au kukasirishwa. Matokeo yake wanavunjika moyo na kujinyima yale wanayoyapenda. Sana na hiyo inawafanya waudhike na wajisikie vibaya na inawasababishia maradhi.

Magonjwa yao makubwa ni figo, kibofu cha mkojo, ugonjwa usioambukiza wa ngozi unaowasha na unapojikuna huvimba (Eczema),maradhi ya misuli ya kiuno na matoki.

Tatizo lingine kubwa ni unene.Watu wa mizani wanapenda sana kula na hiyo inatokea sana wanapokuwa wameudhiwa. Wao wanaona ni bora zaidi kuondoa hasira zao kwa kula chakula.

KAZI ZA WENYE NYOTA YA MIZANI

Wenye nyota hii wanapenda sana kutumia uwezo wao wa kuzaliwa na inawawia vigumu wakati mwingine kutafuta kazi wanazozipenda.

Wanapenda kufanya kazi katika mazingira ya amani na yasiyo na usumbufu.

Kazi zao hasa zinakuwa za uhusiano wa jamii ushauri wa ndoa, biashara ya sanaa, ushauri wa mambo ya urembo au mwanasheria.


FAMILIA ZA MIZANI

Wazazi wenye nyota ya mizani wanapenda sana unadhifu na wanapenda watoto wao wawe nadhifu na wenye mavazi mazuri.

Wanapenda kutumia muda mwingi na fedha nyingi kuwafunza watoto wao tabia nzuri. Kwao ni muhimu sana mtoto akikubalika na kila mtu.

Wanapenda amani katika nyumba zao na wana tabia ya kuwapangia watoto wao namna ya kuishi na kufanya vitu ambavyo wao wnyewe wameshindwa kuvifanya.


MADINI YA MIZANI

Wenye nyota hii wanatakiwa wavae vito vinavyoitwa LAPIS LAZULI. Mawe kama nye rangi ya Bluu iliyokoza, wamisri wanayaita mawe ya peponi. Yakiwekwa kama kito kwenye pete ya dhahabu yanaleta mizani kwa wenye nyota hii.


UHUSIANO WA KIMAPENZI

(Punda na Mizani)

Tabia ya Punda ya haraka haraka. Vishindo na kutumia nguvu bila kufikiria, hulainishwa au kuzimwa na diplomasia, uerevu na ujanja wa mizani. Punda vile vile hupendezwa na uwezo au kipaji cha mahaba walichonacho wenye nyota ya mizani.


VYAKULA VYA MIZANI:
Wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula au Matunda yafuatayo ambayo ndio yanayotawaliwa na nyota yao,Tufaha (Apple), viazi Mviringo (Potatoes), Chaza (Oyster) na Nyama ya Njiwa.


NCHI ZA KUISHI ZA MIZANI:
Ili kupata mafanikio ya kinyota kwa wale wenye uwezo wanashauriwa aidha kuishi au kutembelea nchi au miji ifuatayo ambayo inatawaliwa na nyota hii ya Mizani.
Miji hiyo ni Copenhagen (Denmark) na Vienna (Austria) na nchi ni Canada na Japan.

RANGI ZA MIZANI
Wenye nyota hii wanapenda rangi zilizopakwa juu juu ra.na laini hivyo wanashauriwa watumie rangi ya aina yeyote lakini iwe hafifu katika nyumba zao au vyumba vyao au sehemu zao za biashara.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu
Naomba nyota ya mtu alozaliwa tarehe 01/09
 
Nimevutiwa sana na hii Elimu! Mm huwaga kuna jambo laweza nijia kichwani kuwa kuna kitu kitatokea lakini nikiliongea tu kwa kumpa mtu taarifa kuwa hapo kuna kuna kitu kitatokea basi hicho kitu hakiwezi tokea! Ila nisiposema au kumwambia mtu basi linatokea!

Pia naweza nikaota jambo fulani lakini nisilikumbuke ila baada ya muda fulani likatokea na nikawa nakumbuka kuwa hili jambo nilishaliota leo limetokea kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe upo kama mimi.
Nikiota mtu atapata ajali.ili kumwepusha natakiwa kusema kwa mtu yoyote yule hata kama ni yeye mwenyewe nimwambie.nisipomwambia loh.
Inakuwa balaa.

Pia kwa mfano .
Mtu aniambie nataka nikufanyie hiki na hiki.
Nikfungua tu mdomo kumwambia mtu sitakaaa nifanyiwe.
hata nikisema ninawazo la biashara kisha nimwambie mtu nataka kufanya hiki na hiki.ntakuwa nimeharibu kila kitu.biashara itaishia hapo.



Pia mtu akiniudhi na kama najua kanifanyia kosa ,nikimnenea mabaya tu imekula kwake,
Lazi ya mpate.
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Naomba kufaham chanting inafanywaje

Kizibo
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Naomba niwe mwanafunzi waki katika masuala ya utambuzi na tahajudi japo kwa uchache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushukuru sana mtoa mada na wachangiaje wote, ilinibidi kufanya lililo ndani ya uwezo wangu nipate baadhi ya vitabu ili kupata maarifa zaidi kuhusiana na hii mambo, nafaham kuna baadhi ya vitabu link zake ziliwekwa huku ndani lakini pia nimeona si vibaya tukishea wote kile nilichopata hivyo basi wale ambao wanapenda kusoma hii vitabu watume email PM kwa inbox yangu kisha nitawatumia kiroho safi. Nimepata vitabu vifuatavyo

1. The Master Key System; Charles Haanel
2. Mastery The Keys To Success & Long term Fulfillment; George Leonard
3. Mind over Mind; Chris Berdik
4. The Power of Your Subconscious Mind; J Murphy

Asanteni.
Nakuja Pm kiongozi
 
Wanabodi,

Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers"
Mkuu pasco! Kwanza hongera na heshema kwao! Katika maisha yangu napenda sana kujifunza na kufanya meditation.
Ombi langu mkuu naomba mwongozo nianzie vipi? Nikiwa na vitu gani? Nikiwa wapi? Nikiwa na nini? Kwa mda gani? Naomba uwe mwalimu wangu!
 
Mkuu pasco! Kwanza hongera na heshima kwao! Katika maisha yangu napenda sana kujifunza na kufanya meditation.
Ombi langu mkuu naomba mwongozo nianzie vipi? Nikiwa na vitu gani? Nikiwa wapi? Nikiwa na nini? Kwa mda gani? Naomba uwe mwalimu wangu!
Mkuu Von Bismack, kwanza asante kwa yote na asante kubwa zaidi ni kwa wewe kuteua niwe mwalimu wako, hii ni heshma kubwa kwangu.
Kanuni ya kwanza ya meditation ni "When the student is ready, the teacher will appear", kumaanisha mwanafunzi ukiwa tayari ndipo mwalimu atatokea.
Kwa bahati mbaya sana, mimi sio mwalimu, mimi nasoma vitabu tuu na kushare nilichosoma, ila humu jf tuna waalimu, wanafundisha, wana ma groups na pia Tanzania tuna vyuo kabisa nita ku link nao kupitia kwa mkuu huyu
Wanaforum tumekuwa na masomo mengi mazuri juu ya meditation hasa toka kwa Pasco Mtambuzi heshima kuu kwao na ndugu yetu Rakims
Baadhi ya mada ni hizi
Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima Kumaris Meditation Centre!. - JamiiForums
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Yoga, Meditation au Tahajudi. - JamiiForums
Mwanzo wa meditation - JamiiForums
Ni Leo Jioni Pale ...."Karibuni Njooni Tumediteti!" - JamiiForums
Meditation (Tahajudi a.k.a Tafakuri Kina) - JamiiForums
P
 
Pascal be careful usije ukawaongoza watu pabaya.
Listen to this grand master before you go further
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Genius, asante kwa angalizo,
Nami pia kila siku nasisitiza kuna two sources of powers, powers of the lightness, na powers of the darkness, TB Joshua has powers but I cant tell from which side kwasababu staging ya maigizo ni mengi, some of hizo clips ni actings!.
P
 
Kuna muda nikiwa kama naumwa Hivi naweza kujitreate mwenyewe,naweza anaza kuchukuwa kile kitu akili inachonituma mwisho wa siku nakuwa sawa.Ni vingi sana kikubwa ni sense....Nasense sana.
Atamie kwenye ugonjwa Fulani nilipataga hospital walishindwa kujua ugonjwa gani mie nilichowaza niliwahambia wauuguzi nipeni maji tuu ata nilipoteza fahamu nipeni maji tuu na Imani ilinijaa Sana kwenye maji tuu na nikapona na maji tuu nikiishiwa nguvu na fahamu kabla sijakata kauri nasisitiza maji ndio yaliniponya nilikuwa na Imani kweli kweli na nilifanikiwa miezi 3 nilipona baada ya kupoteza pesa nyingi sana Ila nilipona na maji tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom