Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Sabu, ndio maana unashauriwa kabla hujakabidhiwa powers zote lazima uwe guided with moderations namna ya kutumia hizo powers. Kuna wana wanazo powers za Remote viewing sio tuu unahisi bali unaona, na tena unaweza kabisa kuwa na Astral projection ukatoka kabisa out of body na kwenda kushuhudia jimsi wife wako anavyomegwa!, tena angalau ingekuwa anamegwa kawaida tuu, unaweza kukuta mwenzio anagaiwa "kule!". Sheria ya usiri "kiapo" kinakukataza kata kata usithubutu kuuliza, wala usijulishe unajua kitu!, unatakiwa akirudi, usimchenjie kwa lolote na kuendelea kuishi nae kikawaida!, utakachotakiwa kufanya ni kumtofuta tuu huyo mwizi wako na kumweleza kistaarabu, bila kumjulisha unajua na umeona, bali unamwambia tuu, "acha uhusiano usiofaa na mke wangu!", bila kupa chance kuuliza umejuaje!. Kama kawaida atajifanya kushutuka na kushangaa huku akikanusha!, mwanzo atadhania ni mkeo ameconfess, watakutana na kuulizana mke atakapothibisha hajaconfess na wewe hujamuuliza!, tabio hiyo itakoma!, na wakiendelea kwa kujifanya ni siri!, hapo ndipo works of power itakapowashukia, yatawakuta ya kuwakuta!.
Pasco.

du acha utani yaan unakutwa analiwa ---- alafu unakaa kimya!!!!
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.

Ulipitia kwa Pannasekara? Au ulienda baada ya Pannasekara?

Pannasekara ndiye aliyeanzisha mchongo wa kwenda Nan Hua Bronkhorstspruit SA pale.

Aliniomba niende nikamtolea nje.
 
sidhani kuwa hilo ni lengo la threads hiz. nijuavyo mwanadamu ameubwa kwa jinsi ya ajabu mno. kuna umungu ktk ubinadamu.. tuliumbwa kwa mfano wa Mungu.tatito ni kuto kutambua connection yetu na muumba wetu.unapomeditate unakuwa unaongea na Mungu.ni sawa na unaposali. Yesu alikwenda mlimani. sisi ni zaidi ya mwili huu wa nyama ndugu.
 
strange...
unavyokubali majibu ya wasioamini Mungu
halafu wewe una amini mungu
only ume pick what to believe
mengine unaona bullshit hata kama yameandikwa kwenye bible?
really?
na unajiita unaa amini Mungu?

Wasio amini mungu hawawezi kuwa right katika chochote? Na unapokubaliana au kutofautiana nao, unakubaliana au kutofautiana nao kwa sababu ya jambo au kwa sababu hawaamini mungu?

Asiyeamini mungu akikukuta mathalani umepigwa mapanga na majambazi (wanaoamini mungu na kuomba dua kabla ya kukuchabanga mapanga by the way) na akataka kukusaidia, utakataa kwa sababu tu haamini mungu?

Utamuuliza mtu "wewe unaamini mungu au huamini?"

Kwa nini unaendekeza "ad hominem" attacks zinazoangalia mtu badala ya masuala?
 
Kuna nguvu mbili tu hapa duniani, ya Mungu na ya Shetani, sasa inabidi utuambie hizo nguvu unazoziita psychic powers zina-originate toka wapi? Usidanganyike ndugu yangu its either negative or positive. Ni ww kuamua btn nuru na giza
 
Nimekubaliana naye sababu nimemwelewa hapa. Hivi kushinda watu wenye phd kwenye interview inahitaji psychic power?

Kilichoongelewa hapa na shuhuda watu wanazozitoa, sioni psychic power inaingiaje, kwangu naona ni maisha ya kila siku tu.

Kuhusu imani ya kidini . . .
strange...
unavyokubali majibu ya wasioamini Mungu
halafu wewe una amini mungu
only ume pick what to believe
mengine unaona bullshit hata kama yameandikwa kwenye bible?
really?
na unajiita unaa amini Mungu?
 
Hii ni psychic power pia?

Kuna wakati nilinaykuwa nimechelewa mahali fulani halafu mvua ilikuwa inanyesha nikamwambia Mungu simamisha hii mvua mpaka nitakapofika ninapotakiwa kwenda ndio mvua hii iendelee kunyesha, na kweli ikawa hivyo, nikashangaa sana
 
in short ni kweli na kwangu mimi ninajua my power baada ya kufanya mambo flani na nikaelekezwa vitu flani ambavyo vitabaki kuwa SIRI YANGU hata mamangu hajui na sintomwambia katu mke wangu mtarajiwa ila mwanangu wa kiume atakapokua tena kwa siri kubwa,in short nimefanikiwa b'se of this power.
 
Nakushukuru sana mtoa mada na wachangiaje wote, ilinibidi kufanya lililo ndani ya uwezo wangu nipate baadhi ya vitabu ili kupata maarifa zaidi kuhusiana na hii mambo, nafaham kuna baadhi ya vitabu link zake ziliwekwa huku ndani lakini pia nimeona si vibaya tukishea wote kile nilichopata hivyo basi wale ambao wanapenda kusoma hii vitabu watume email PM kwa inbox yangu kisha nitawatumia kiroho safi. Nimepata vitabu vifuatavyo

1. The Master Key System; Charles Haanel
2. Mastery The Keys To Success & Long term Fulfillment; George Leonard
3. Mind over Mind; Chris Berdik
4. The Power of Your Subconscious Mind; J Murphy

Asanteni.
 
MziziMkavu mimi nimezaliwa 15 july. niambie nyota yangu na tabia za nyoya yangu na nini naweza kufanya?

NYOTA YAKO NI HII HAPA CHINI SOMA:


NYOTA YA KAA (CANCER)

Hii ni nyota ya nne katika mlolongo wa nyota 12.

  • Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Juni na tarehe 20 July ya mwaka wowote.
  • Sayari yao ni mwezi (moon).
  • Siku yao ya bahati ni Jumatatu.
  • Namba yao ya bahati ni 2 na 7.
  • Rangi yao ya bahati ni Nyeupe.
  • Asili ya nyota yao ni Maji.

KIPAJI CHA KAA (SENSITIVE):

Wenye nyota hii wana kipaji cha hisia ya kugundua mambo yanayotendeka ikiwa ni pamoja na kubashiri mambo, kumwelewa mtu kwa undani na kujua jambo ambalo mtu anataka kulifanya au jambo litakalotendeka hasa kwenye watu wengi.

TABIA ZA KAA

Watu wenye Nyota hii ni wenye tabia ya hisia nzito ni wapole na wenye huruma. Wakiwa na dhamira ya ulezi na kuwaangalia watu wengine na hiyo inaonekana waziwazi katika nyumba zao na familia zao.
Hata hivyo upande mwingine ni watu ambao wana gubu na wakali ne wenye kupenda kujishughulisha na wanajiamini.
ni watu ambao wanaweza kubadilika lakini wenye msimamo na itikadi na wanaweza kuwa ni wenye wivu mkali na wenye kudhibiti.

TABIA YA KAA KATIKA MAPENZI :

Hisia ni kitu muhimu sana katika mapenzi kwa wenye nyota hii pamoja na kwamba kimaumbile ni watu wanapenda kujilinda na wanaogopa sana kuumizwa kimapenzi na wapenzi wao.
Wanapenda sana kuwa karibu na wanayempenda na kuwaonyesha huba na upendo mkubwa. Kwao hakuna mapenzi ya nusu nusu na wanapenda sana kuwa na mtu ambaye atadumu nae milele.
Wenye Nyota hii bila ya kuwa na mpenzi hujihisi hawajatimiza lengo lao katika maisha hivyo basi huwa hawana raha.
Ni wapenzi waaminifu na wanategemea wapenzi nao wawe waaminifu kama wao.
Ni wagumu sana kuachana na wapenzi na inapotokea huwa hawaagi wako radhi wao waumie kuliko kuachana na anayempenda.

MATATIZO YA KIAFYA:

Nyota hii inatawala njia kuu ya chakula kuelekea tumboni, mbavu, mfupa wa kidari, tumbo la uzazi, utumbo mdogo na utumbo au sehemu zote za kusagia chakula.
Vile vile inatawala bandana na matiti.
Tatizo lao kubwa la maradhi yao linatokana na ukimya wao wanapoudhiwa. Inapotokea hivyo wao hushindwa kusema na huumia kimya kimya.
Maradhi yao makubwa yanakuwa maradhi yanayosababishwa na gesi , au vidonda vya tumbo au kiungulia au maradhi yanayotokana na mwili kuwa mnene au umbo kubwa.
{mospagebreak}

KAZI ZA WENYE NYOTA YA KAA:

Wenye nyota hii wanatakiwa wafanye kazi ambazo zitawafanya wao wawe walezi wa wale wanaowatumikia ili kukidhi mahitaji ya nyota yao.
Wanatakiwa wafanye kazi za utabibu kama vile Madaktari au Wauguzi, kazi za baharini kama vile mabaharia, kazi za huduma ya chakula kama hoteli, migahawa, kazi za kuhudumia watoto kama katika shule za chekechea, kazi za benki au kazi za maneja utumishi au kazi za kuandika.

FAMILIA ZA KAA:

Wenye nyota hii ni wazazi asilia, na wazazi wakiume mara nyingi huonekana wakiwasaidia wake zao kulea watoto.
Wanafanya kwa bidii kuhakikisha familia zao zinapata kila kitu kinachohitajika.
Mzazi wakike ana hisia kiuzazi kuliko mume na kwa mtoto kwa mtoto anyependa kuwa huru kuna muda hujihisi kwamba mama yake anambana.
Wazazi wa nyota hii wana tabia ya kuangalia mambo yaliopita nyuma hivyo hupenda mambo yasibadilike milele.
Hali ya Wazazi hao ya kubadilika badilika huwapa wakati mgumu watoto hasa wale wenye hisia ndogo ambao huhisi wanasukumwa sana na hutaka kujikomboa ili waondokane na baa hilo.
Wazazi wenye nyota hii hupenda sana watoto wao wafanye wanzozitaka wao kinyume na matakwa ya watoto wao .

MADINI YA KAA:

Wenye nyota hii wanatakiwa wavae madini ya moonstone au jiwe lolote lenye rangi ya maziwa.
madini haya yana uwezo wa kuongeza hisia na kufanya wawe na ari ya kuwatumikia na kuwakinga wenzao.

UHUSIANO WA KIMAPENZI:

Tabia ya Mbuzi ya ubahili na kutopenda anasa hulainishwa na tabia ya Kaa ya upendo, huba na huruma ambayo humfanya mbuzi atulie na atumie kile alichonacho .

VYAKULA VYA KAA:

Wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula vifuatavyo ambavyo ndivyo vyakula vinavyotawaliwa na nyota yao.
Vyakula vyenyewe ni kama Mapeas, kaa au vyakula vya baharini, na mboga kama kabichi na saladi (lettuce).


NCHI ZA KAA:

Ili kupata mafanikio ya kinyota wenye nyota hii wanashauriwa watembelee au waishi katika miji au nchi zifuatazo ambazo zinatawaliwa na nyota yao.
Miji hiyo ni New York (Marekani) na Venice (Ugiriki) au nchi za New Zealand na Scotland.

RANGI ZA KAA:

Wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake au watumie rangi zozote ambazo siyo nzito au zenye uwiano na rangi nyeupe.
 
Jipatie

Unlimited Internet

Jipatie
TunnelGuru Voucher @8,000
/Month; PD Proxy Vouchers @8,000
/Month

4 More info

: 0688148836
 

nyota yako ni hii hapa chini soma:


nyota ya kaa (cancer)

hii ni nyota ya nne katika mlolongo wa nyota 12.

  • wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 juni na tarehe 20 july ya mwaka wowote.
  • sayari yao ni mwezi (moon).
  • siku yao ya bahati ni jumatatu.
  • namba yao ya bahati ni 2 na 7.
  • rangi yao ya bahati ni nyeupe.
  • asili ya nyota yao ni maji.

kipaji cha kaa (sensitive):

wenye nyota hii wana kipaji cha hisia ya kugundua mambo yanayotendeka ikiwa ni pamoja na kubashiri mambo, kumwelewa mtu kwa undani na kujua jambo ambalo mtu anataka kulifanya au jambo litakalotendeka hasa kwenye watu wengi.

tabia za kaa

watu wenye nyota hii ni wenye tabia ya hisia nzito ni wapole na wenye huruma. Wakiwa na dhamira ya ulezi na kuwaangalia watu wengine na hiyo inaonekana waziwazi katika nyumba zao na familia zao.
hata hivyo upande mwingine ni watu ambao wana gubu na wakali ne wenye kupenda kujishughulisha na wanajiamini.
ni watu ambao wanaweza kubadilika lakini wenye msimamo na itikadi na wanaweza kuwa ni wenye wivu mkali na wenye kudhibiti.

tabia ya kaa katika mapenzi :

hisia ni kitu muhimu sana katika mapenzi kwa wenye nyota hii pamoja na kwamba kimaumbile ni watu wanapenda kujilinda na wanaogopa sana kuumizwa kimapenzi na wapenzi wao.
wanapenda sana kuwa karibu na wanayempenda na kuwaonyesha huba na upendo mkubwa. Kwao hakuna mapenzi ya nusu nusu na wanapenda sana kuwa na mtu ambaye atadumu nae milele.
wenye nyota hii bila ya kuwa na mpenzi hujihisi hawajatimiza lengo lao katika maisha hivyo basi huwa hawana raha.
ni wapenzi waaminifu na wanategemea wapenzi nao wawe waaminifu kama wao.
ni wagumu sana kuachana na wapenzi na inapotokea huwa hawaagi wako radhi wao waumie kuliko kuachana na anayempenda.

matatizo ya kiafya:

nyota hii inatawala njia kuu ya chakula kuelekea tumboni, mbavu, mfupa wa kidari, tumbo la uzazi, utumbo mdogo na utumbo au sehemu zote za kusagia chakula.
vile vile inatawala bandana na matiti.
tatizo lao kubwa la maradhi yao linatokana na ukimya wao wanapoudhiwa. Inapotokea hivyo wao hushindwa kusema na huumia kimya kimya.
maradhi yao makubwa yanakuwa maradhi yanayosababishwa na gesi , au vidonda vya tumbo au kiungulia au maradhi yanayotokana na mwili kuwa mnene au umbo kubwa.
{mospagebreak}

kazi za wenye nyota ya kaa:

wenye nyota hii wanatakiwa wafanye kazi ambazo zitawafanya wao wawe walezi wa wale wanaowatumikia ili kukidhi mahitaji ya nyota yao.
wanatakiwa wafanye kazi za utabibu kama vile madaktari au wauguzi, kazi za baharini kama vile mabaharia, kazi za huduma ya chakula kama hoteli, migahawa, kazi za kuhudumia watoto kama katika shule za chekechea, kazi za benki au kazi za maneja utumishi au kazi za kuandika.

familia za kaa:

wenye nyota hii ni wazazi asilia, na wazazi wakiume mara nyingi huonekana wakiwasaidia wake zao kulea watoto.
wanafanya kwa bidii kuhakikisha familia zao zinapata kila kitu kinachohitajika.
mzazi wakike ana hisia kiuzazi kuliko mume na kwa mtoto kwa mtoto anyependa kuwa huru kuna muda hujihisi kwamba mama yake anambana.
wazazi wa nyota hii wana tabia ya kuangalia mambo yaliopita nyuma hivyo hupenda mambo yasibadilike milele.
hali ya wazazi hao ya kubadilika badilika huwapa wakati mgumu watoto hasa wale wenye hisia ndogo ambao huhisi wanasukumwa sana na hutaka kujikomboa ili waondokane na baa hilo.
wazazi wenye nyota hii hupenda sana watoto wao wafanye wanzozitaka wao kinyume na matakwa ya watoto wao .

madini ya kaa:

wenye nyota hii wanatakiwa wavae madini ya moonstone au jiwe lolote lenye rangi ya maziwa.
madini haya yana uwezo wa kuongeza hisia na kufanya wawe na ari ya kuwatumikia na kuwakinga wenzao.

uhusiano wa kimapenzi:

tabia ya mbuzi ya ubahili na kutopenda anasa hulainishwa na tabia ya kaa ya upendo, huba na huruma ambayo humfanya mbuzi atulie na atumie kile alichonacho .

vyakula vya kaa:

wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula vifuatavyo ambavyo ndivyo vyakula vinavyotawaliwa na nyota yao.
vyakula vyenyewe ni kama mapeas, kaa au vyakula vya baharini, na mboga kama kabichi na saladi (lettuce).


nchi za kaa:

ili kupata mafanikio ya kinyota wenye nyota hii wanashauriwa watembelee au waishi katika miji au nchi zifuatazo ambazo zinatawaliwa na nyota yao.
miji hiyo ni new york (marekani) na venice (ugiriki) au nchi za new zealand na scotland.

rangi za kaa:

wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake au watumie rangi zozote ambazo siyo nzito au zenye uwiano na rangi nyeupe.

Hakuna CHA MADINI FULANI WALA RANGI FULANI IKALETA BAHATI AU IKAKUKINGA NA BALAA YYT!

Kitakacho tokea kwako ni MIPANGO YAKE MANANI! (ALLAH)!

KAMA ALLAH AMEKUANDIKIA AJALI BASI Hakuna kitaka KUZUIA HIO AJALI.

NA KAMA ALLAH AMEKUKINGA NA AJALI HAKUNA WA KUISABABISHA HIO AJALI.

KUFANYA HIVI NI KTK SHIRKI KUBWA na ni katika madhambi yasio sameheka!
Na yanamtia mtu katika KUFURU kubwa kabisa!

LAANA ya mungu iliwaangukia wapiga ramli na wasoma nyota.

NA MUNGU AMEWAAHIDI ADHABU IUMIZAYO SANA WASOMA NYOTA NA WAPIGA RAMLI.

Ogopa mungu na acha shirki hii.

HII NI HAARAMU mutlaq.NA INAMTOA MTU KATIKA UISLAMU KABISA.
 
Back
Top Bottom