Mimi ni mwananchi tuu!, wananchi tunawadanganya viongozi?!, ila kama unazungumzia lile "jiwe walilolikatta waashi!", subiria kwanza mpaka litakapofanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", ndipo tuje tuulizane!.
Ili kiongozi uwe kiongozi bora, unapaswa kuwa na "powers from within!". Tanzania tunaviongozi wachache sana wenye "powers from within", Nyerere alikuwa na powers!, Sokoine alikuwa na powers!, sorry kuhusu Mwinyi, Mkapa kidogo kwa kuforce, aliyepo ni nil!, ajaye ni very powerful!.
Pasco.
Kwa kuanzia inabidi upate mwalimu kuna temple moja pale karibu na makaburi ya Muhimbili wanakuwa na meditation sessions kila week waweza fikra pale
Kama unataka kufanya mwenyewe nitajaribu kukutafutia vitabu, kwakuwa kuna mengi ya kufanya kuanzia mavazi lishe vinywaji nk nk kwa mfano kwenye mavazi: Nguo za kubana sana si nzuri, chakula mara nyingi linatakiwa kiwe cha asili na fresh kisiungwe sana ,Epuka vyakula, vya supermarket , soda na hz juice za viwandani vyote c vizr kwa afya ya akili kuna mengi ya kufahamu, kukaa kulala kutembea ni mengi
Stefano Mtangoo, kwanza sipingani na loote unaloandika, kwa sababu faith na mafundisho yako yako based on Holly Bible, hivyo hiyo ndio limit yako!.
Nimejaaliwa na nani kama wewe unaamini Biadamu ni miungu yaani wana "power within"?
Bahati nzuri wewe umejaaliwa "powers" za uhubiri na kuitafsiri Biblia Takatifu,
Pasco ukishasema wewe ni Mkristo unakuwa subject chini ya Biblia. Huwezi kwenda below au above Biblia bado ukabaki kuwa Mkristo. Huwezi kufundisha mafundisho ya shetani haya ukabaki kujiita Mkristo. Sijui kuhusu Ukatoliki unaosema wewe ni mkatoliki sana kuweza kusema watakuja wakatoliki waseme, lakini kwa Ukristo wa Biblia, wewe sio Mkristo!
hata mimi ni Mkristo, Mkatoliki!, namwamini Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu!, tofauti yetu ni mimi nimekwenda over and above The Holy Bible, wewe umejifungia kwenye Bibilia!. Jee unajua kuwa vitabu vitano vya Bibilia, viliandika na Musa?!,
Najua una maana gani kwa imani yako ya New agers. Uje utufafanulie na Yesu wako feki "Ascended Master Jesus" ili uunganishe vizuri na musa bandia na miaka bandia ya Yesu ako bandia ambayo "inakosekana" katika Biblia.Jee unajua Musa alipoandika kitabu cha Mwanzo, alitumia nini?, Kasome Kitabu cha Mwisho cha Bibilia ambacho ni Ufunuo wa Yohana, uniambie kimeandikwa kwa kutumia nini?!.
Hahaaa! I can't believe people dies while they have all powe not to! :A S-eek:Kwenye ile first thread yangu nimekuwa very open since day one!, kuwa Sisi Binadamu, tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, tumepewa Nguvu za kufanya kila kitu ndani yetu!.
Webster Dictionary:Nyenyere unafahamu meditation ni nini?
Question is not meditation itself but object if meditation and which religion (and hence religious) guides that meditation. Christians are to mediatate on the Bible, on marvel and wonders of His creation and His goodness. Not demonic new age kind of meditation Pasco is teaching...to spend time in quiet thought for religious purposes or relaxation
Mathay 7:1 inasema "Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi."Mkuu Nyenyere, usihukumu usije kuhukumiwa!.
Niliwahi kusema humu, siku ya siku, unaweza kushangaa kumkuta Hitler, Osama, Saadam na Ghadafi peponi upande wa kuume wa Mungu!, na ukashindwa kuamini pale utakapo muona Bush, Blair, Obama na yule kiongozi wako wa kanisa wakitupwa "motoni!" kwenye jehanum ya milele!.
Pasco kwa maandiko yake anaonesha sio mkristo, that is plain!Bwana eiyer wacha uongo Kristo anakuona bana.
Wewe hujamsuport nyenyere pale aliposema "wewe(pasco) si mkristu na ame(pasco)mkana kristu, ukam support hivi "sio kila anaesema ni mkristo ni mkristo na huyu jamaa (pasco) ni mmoja wa hao!" is that not judging brother?
What makes one a Christian? Ni nini kinamfanya mtu awe mkristo?Unaweza ukawa mkristo usiwe mkatoliki lkn huwezi kuwa mkatoliki usiwe mkristo,
Bcoz all Christians worship Christ, ndio maana tukaitwa wakristo sio dhehebu ulilo bali ni nani unamwabudu, hiyo kuombea wafu hata kwa walutheran imewekwa this year kama unafaham kama hujui fatilia and still they're christians.
Ukiletewa utalikubali?Kwanza naomba Samahani kwakwenda nje ya topic, nimeona comments humu zikuhusisha Uungu wa Yesu, hivi kweli Yesu ni Mungu? Katika kuperuzi Bible nzima sikupata bahati ya kuliona andiko linalo thibitisha Uungu wa Yesu, kwahiyo nilikua naomba Mwenye nalo (andiko) anioneshe. Natanguliza Samahani.
Sasa si mseme tu kwa ni uhindu mnafundisha hapa na uhindu hauamini katika Mungu?Kama nilivyosema mwanzo dunia hii ina nguvu nyingi tu inategemea unatumiaje ktk uzur au ubaya na sehemu kubwa ya nguvu ni michezo inayotawaliwa na akili na bado katika mazoezi au niseme mafundisho niliyopitia lengo kuu lilikua utambuzi ( self realization) japokuwa nguvu mnafundishwa kwa kuelewa tu na si lengo, kwa wajuzi wanajua nn chakra,mantra
Pamoja na kutoa majibu bado unadai majibu?
Au hujui unachodai ni kitu gani?
Wewe mzee wa chabo!
Huwezi, wala hujawahi kutoa jibu hata siku moja!
We ni mbabaishaji tu! Na hio imani yenu ya mchakachuo!
Mnaleta utapeli mpaka kwenye imani???
Duuhhh! Nyie wagalatia nuksi kweli kweli!
nilisoma watu wakikuita DR,nimesoma michango yako kwenye nyuzi nyingi.wewe ni aina ya mtu ningekujua nje ya JF ningekukwepa kama ukoma.Pasco hebu rudi uendelee kudanganya watu huku! Ya kuwa wewe unanguvu kuliko pepo!!
Manake kuna wafuasi wako wamekasirika vibaya!
Teh teh teh teh!