Kwa kuanzia inabidi upate mwalimu kuna temple moja pale karibu na makaburi ya Muhimbili wanakuwa na meditation sessions kila week waweza fikra pale
Kama unataka kufanya mwenyewe nitajaribu kukutafutia vitabu, kwakuwa kuna mengi ya kufanya kuanzia mavazi lishe vinywaji nk nk kwa mfano kwenye mavazi: Nguo za kubana sana si nzuri, chakula mara nyingi linatakiwa kiwe cha asili na fresh kisiungwe sana ,Epuka vyakula, vya supermarket , soda na hz juice za viwandani vyote c vizr kwa afya ya akili kuna mengi ya kufahamu, kukaa kulala kutembea ni mengi
Billioness, monks wa Tibet ni habari nyingine!, wanaitwa shaven heads, wanavaa shuka ya orange huku wamenyoa vipara, saa zote wanatembea na tasbihi huku wakifanya mantra!.
Hawa monks kwanza wanatembea peku!, kwenye milima ya ncha kali bila hata scratch miguuni mwao!. Pili wanatembea kwa miguu hadi kilometa 600 kwa siku!, kinachofanyika ni kuonekana kama wanatembea, wakati i actual case wanapaa!, miguu haigusi chini, wanatembea hewani japo wanachapa miguu!. Kula yao pia ni issue!. Wanaweza kupiga 40 days bila chakula, bali ni maji tuu na vijani fulani, wanatumia powers fulani kusimamisha metabolisim na hata ku control heatbeat!.
Hawa monks ni miongoni mwa noble kweli kama aliowazungumza Yesu, hawabebi begi la safari, wala mfuko wa chakula, kila wafanyacho kitajiseti chenyewe mbele kwa mbele, Temple yao iko Kisutu opp. Kisutu Sec.
Pasco.
mkuu pasco nasubiria muendelezo!
me binafsi niko hapa kujua tu kinachoendelea upande wa pili wa dunia hii wala siko interested kufanya haya.
ila kujua tuu iz brain tricks napo si vibaya!
Sure sure..
Iama, sina ufahamu mkubwa kivile, ukieeza kuzifungua hizo links zote na kuvisoma hivyo vitabu ndipo utapata ufahamu mkubwa.nadhani pasco una ufahamu mkubwa sana wa elimu hii maana the way you explain inaonesha ni mfuatiliaji mkubwa sana wa elimu hii. Big up
mkuu nimeipenda haya maelezo yako , swali moja tu hivi hawa waganga wa kienyeji na majini yao wanapowatabiria watu ni kweli au si kweli na je kama wao waganga wanatumia majini sisi tunaweza kuona vitu vijavyo kweli? , kama uchawi n.k au havipo ni wasi wasi wetu?Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers
Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo
Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno
Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu
Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness
Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Mkuu Manning, you have the powers to make things happen!.Hizi powers ziko za aina mbili , positive na negative , ingekuwa ingekuwa zinafuata principle ya nature,positive na negative ingeattract!, powers hizi ni contrary to nature, positive na negative zina repeal Positive powers ni nguvu za kutenda mema na negative ni nguvu za kutenda maovu. Kinachowafanya hao watu wakuogope ni kuwa mwili wako una radiate powers mbao wanakuogopa nao wana opposite powers!.Mkuu Pasco au mshana au yeyote, kwa kweli leo mmenifumbulia kitu nilichokuwa najiuliza mimi nimeumbwaje. Tatizo langu kubwa ni kwamba karibu watu wengi ninaokaa nao jirani hasa wanawake na baadhi ya wanaume wananiogopa sana kiasi kwamba nikiwa nyumbani wanarudia nje ya geti wakati mimi ni mcheshi na napenda sana kuzungumza na watu pia karibu zaidi ya 90 % ya wanawake ninaowataka lazima niwapate siku hiyohiyo na wengine hunianza wenyewe kwa mfano mwanamke wa kwanza kuduu naye alinianza mwenyewe kwa kutuma mtu na mimi nikaogopa kumkatalia, Pili kwa kadri ya maisha yangu sijawahi kugombea nafasi yoyote ya uongozi nikaikosa, tangu nikiwa mdogo mpaka sasa , pia wale wote niliowajazia fomu za ugombea wote wanafanikiwa. Tatizo linalilonisumbua ambalo ilibidi niombe Mungu anisaidie na nikafaulu ilikuwa ni kuota mambo na nikimwambia mke wangu anabisha lakini yanakuja kutokea vilevile hata kama itachukuwa mda mrefu kutokea kwa hiyo kila nilipokuwa jambo furani la kutisha nilikuwa Napata hofu sana. hii ilinianza baada ya baba kufariki dunia na alikuwa ananitokea mara kwa mara na kunileleza mambo mbalimbali ambayo yatatokea na yanatokea kweli. Kwa mfano kulikuwa na kazi nimeombwa niifanye na taasisi Fulani bila mimi sikutuma maombi ya kazi hiyo, baba alinitokea akasema mawajiri wako wa sasa atakuambia usubili mwezi mmoja lakini baadae hutaifanya kazi hiyo utakuja kuifanya badae, na ndivyo ilivyokuwa kwa MWAJIRI WANGU kukataa kuniruhusu, lakini nilikuja kuajiriwa tena kazi hioyhiyo baada ya miaka ya miaka 7 tangu nilipokuwa nimeombwa kwa mara ya kwanza na pia nilifanya kuteuliwa tu wala sikufanya intavyuu yoyote. Kwa sasa mara kwa mara naota naruka hewani na hata leo nimeota naruka hewani, je hii ni ishara gani?
Mkuu Royer, niko kwenye mobile nakutafutia muda nitakujibu hoja kwa hoja nikianzia na hili la Yesu. Lengo la historia ni kuyajua yaliyopita, kulinganisha na yaliyopo sasa ili kujua yajayo!.
Katika Biblia Takatifu Maisha ya Yesu tangu kuzaliwa, hadi Kifo, yameandikwa katika vitabu vya zile Injili 4. Kuna gap tangu a lipokuwa miaka 12-30, sio kuwa details zake hazipo ziliandikwa bali compilers waliamua wasiyawe for a porpose!, sambamba na private life yake katika kipindi cha île miaka mitatu ya utume wake.
Kwa vile details hizo zimeachwa kwa makusudi ili zisisomwe lakini zipo na ziliandikwa, naomba mimi ni site ndio chanzo cha kukueleza yaliyo nje ya Biblia ili only wenye quest for information outside the box ndio waitafute.
Sambamba na mwanzo wa Mungu na source of Godly powers ambazo na sisi bunadamu tumepewa, ila kitu kimoja ambacho wengi hamkijui ni kuwa Mwanzo wa Mungu ndio huo huo mwanzo wa shetani!, Mungu hakumuumba shetani!.
Mungu ana nguvu zaidi ya shetani, ila shetani naye ana nguvu ambazo amepata kibali cha kukitumia kwa wanadamu walioumbwa kwa mfano wa Mungu na nguvu za ufunguzi!, na alianzia kukitumia kwa Adam na Eva kuwashauri kumuasi Mungu kwa kumega lile tunda!.
Mungu ni omniprésent so does shetani. Yumo ndani yetu in a form of power!.
Kubali,kataa!.
Pasco
Nadhani mode did the needful!.Hiz pages mbn km zimepungua,,mana ya mwsho ilikua 47 cjui,illa sa iv zko 28,zmepunguzwa au?
Hiz pages mbn km zimepungua,,mana ya mwsho ilikua 47 cjui,illa sa iv zko 28,zmepunguzwa au?