Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

je pombe ni nzuri kwa watu wa kundi hili,
Kwa kuanzia inabidi upate mwalimu kuna temple moja pale karibu na makaburi ya Muhimbili wanakuwa na meditation sessions kila week waweza fikra pale

Kama unataka kufanya mwenyewe nitajaribu kukutafutia vitabu, kwakuwa kuna mengi ya kufanya kuanzia mavazi lishe vinywaji nk nk kwa mfano kwenye mavazi: Nguo za kubana sana si nzuri, chakula mara nyingi linatakiwa kiwe cha asili na fresh kisiungwe sana ,Epuka vyakula, vya supermarket , soda na hz juice za viwandani vyote c vizr kwa afya ya akili kuna mengi ya kufahamu, kukaa kulala kutembea ni mengi
 
Billioness, monks wa Tibet ni habari nyingine!, wanaitwa shaven heads, wanavaa shuka ya orange huku wamenyoa vipara, saa zote wanatembea na tasbihi huku wakifanya mantra!.

Hawa monks kwanza wanatembea peku!, kwenye milima ya ncha kali bila hata scratch miguuni mwao!. Pili wanatembea kwa miguu hadi kilometa 600 kwa siku!, kinachofanyika ni kuonekana kama wanatembea, wakati i actual case wanapaa!, miguu haigusi chini, wanatembea hewani japo wanachapa miguu!. Kula yao pia ni issue!. Wanaweza kupiga 40 days bila chakula, bali ni maji tuu na vijani fulani, wanatumia powers fulani kusimamisha metabolisim na hata ku control heatbeat!.
Hawa monks ni miongoni mwa noble kweli kama aliowazungumza Yesu, hawabebi begi la safari, wala mfuko wa chakula, kila wafanyacho kitajiseti chenyewe mbele kwa mbele, Temple yao iko Kisutu opp. Kisutu Sec.
Pasco.

nadhani pasco una ufahamu mkubwa sana wa elimu hii maana the way you explain inaonesha ni mfuatiliaji mkubwa sana wa elimu hii. Big up
 
nadhani pasco una ufahamu mkubwa sana wa elimu hii maana the way you explain inaonesha ni mfuatiliaji mkubwa sana wa elimu hii. Big up
Iama, sina ufahamu mkubwa kivile, ukieeza kuzifungua hizo links zote na kuvisoma hivyo vitabu ndipo utapata ufahamu mkubwa.
Pasco
 
Mkuu Pasco au mshana au yeyote, kwa kweli leo mmenifumbulia kitu nilichokuwa najiuliza mimi nimeumbwaje. Tatizo langu kubwa ni kwamba karibu watu wengi ninaokaa nao jirani hasa wanawake na baadhi ya wanaume wananiogopa sana kiasi kwamba nikiwa nyumbani wanarudia nje ya geti wakati mimi ni mcheshi na napenda sana kuzungumza na watu pia karibu zaidi ya 90 % ya wanawake ninaowataka lazima niwapate siku hiyohiyo na wengine hunianza wenyewe kwa mfano mwanamke wa kwanza kuduu naye alinianza mwenyewe kwa kutuma mtu na mimi nikaogopa kumkatalia, Pili kwa kadri ya maisha yangu sijawahi kugombea nafasi yoyote ya uongozi nikaikosa, tangu nikiwa mdogo mpaka sasa , pia wale wote niliowajazia fomu za ugombea wote wanafanikiwa. Tatizo linalilonisumbua ambalo ilibidi niombe Mungu anisaidie na nikafaulu ilikuwa ni kuota mambo na nikimwambia mke wangu anabisha lakini yanakuja kutokea vilevile hata kama itachukuwa mda mrefu kutokea kwa hiyo kila nilipokuwa jambo furani la kutisha nilikuwa Napata hofu sana. hii ilinianza baada ya baba kufariki dunia na alikuwa ananitokea mara kwa mara na kunileleza mambo mbalimbali ambayo yatatokea na yanatokea kweli. Kwa mfano kulikuwa na kazi nimeombwa niifanye na taasisi Fulani bila mimi sikutuma maombi ya kazi hiyo, baba alinitokea akasema mawajiri wako wa sasa atakuambia usubili mwezi mmoja lakini baadae hutaifanya kazi hiyo utakuja kuifanya badae, na ndivyo ilivyokuwa kwa MWAJIRI WANGU kukataa kuniruhusu, lakini nilikuja kuajiriwa tena kazi hioyhiyo baada ya miaka ya miaka 7 tangu nilipokuwa nimeombwa kwa mara ya kwanza na pia nilifanya kuteuliwa tu wala sikufanya intavyuu yoyote. Kwa sasa mara kwa mara naota naruka hewani na hata leo nimeota naruka hewani, je hii ni ishara gani?
 
Kwa mujibu wa mjadala wa watu wengi humu wanawakilisha pande mbili za imani n'a siyo vibaya ,tatizo ni kuona mambo katika mazoea ya tulivyoaminishwa ktk ngazi ya mazingira na jamii kujitambua ni jukumu la kila mmoja wetu na kwa bahati mbaya au nzuri si jukumu la jumla ni la kibinafsi nachoomba tu tujitafute na turuhusu kuona mambo kutokea kila upande,
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
mkuu nimeipenda haya maelezo yako , swali moja tu hivi hawa waganga wa kienyeji na majini yao wanapowatabiria watu ni kweli au si kweli na je kama wao waganga wanatumia majini sisi tunaweza kuona vitu vijavyo kweli? , kama uchawi n.k au havipo ni wasi wasi wetu?
 
samahani baada ya kusoma hili andiko nimetatizwa sana ila naomba nihoji! je wote ambao mmesema kuwa na power mna tatizo la kuamka usiku wa manane kati ya saa nane na nunu mpaka kumi na robo! sio kuamka kabisaa ila unashtuka kutoka usingizini na usingizi unakata and you have to start it again! na wale ambao labda mnaota ndoto na mnaziona kuja kuwa kweli ni ndoto zipi sana huwa kweli i meana kati ya saa tatu mpaka nane au nane mpaka kumi na mbili! any one to share his/her experience
 
Mkuu Pasco au mshana au yeyote, kwa kweli leo mmenifumbulia kitu nilichokuwa najiuliza mimi nimeumbwaje. Tatizo langu kubwa ni kwamba karibu watu wengi ninaokaa nao jirani hasa wanawake na baadhi ya wanaume wananiogopa sana kiasi kwamba nikiwa nyumbani wanarudia nje ya geti wakati mimi ni mcheshi na napenda sana kuzungumza na watu pia karibu zaidi ya 90 % ya wanawake ninaowataka lazima niwapate siku hiyohiyo na wengine hunianza wenyewe kwa mfano mwanamke wa kwanza kuduu naye alinianza mwenyewe kwa kutuma mtu na mimi nikaogopa kumkatalia, Pili kwa kadri ya maisha yangu sijawahi kugombea nafasi yoyote ya uongozi nikaikosa, tangu nikiwa mdogo mpaka sasa , pia wale wote niliowajazia fomu za ugombea wote wanafanikiwa. Tatizo linalilonisumbua ambalo ilibidi niombe Mungu anisaidie na nikafaulu ilikuwa ni kuota mambo na nikimwambia mke wangu anabisha lakini yanakuja kutokea vilevile hata kama itachukuwa mda mrefu kutokea kwa hiyo kila nilipokuwa jambo furani la kutisha nilikuwa Napata hofu sana. hii ilinianza baada ya baba kufariki dunia na alikuwa ananitokea mara kwa mara na kunileleza mambo mbalimbali ambayo yatatokea na yanatokea kweli. Kwa mfano kulikuwa na kazi nimeombwa niifanye na taasisi Fulani bila mimi sikutuma maombi ya kazi hiyo, baba alinitokea akasema mawajiri wako wa sasa atakuambia usubili mwezi mmoja lakini baadae hutaifanya kazi hiyo utakuja kuifanya badae, na ndivyo ilivyokuwa kwa MWAJIRI WANGU kukataa kuniruhusu, lakini nilikuja kuajiriwa tena kazi hioyhiyo baada ya miaka ya miaka 7 tangu nilipokuwa nimeombwa kwa mara ya kwanza na pia nilifanya kuteuliwa tu wala sikufanya intavyuu yoyote. Kwa sasa mara kwa mara naota naruka hewani na hata leo nimeota naruka hewani, je hii ni ishara gani?
Mkuu Manning, you have the powers to make things happen!.Hizi powers ziko za aina mbili , positive na negative , ingekuwa ingekuwa zinafuata principle ya nature,positive na negative ingeattract!, powers hizi ni contrary to nature, positive na negative zina repeal Positive powers ni nguvu za kutenda mema na negative ni nguvu za kutenda maovu. Kinachowafanya hao watu wakuogope ni kuwa mwili wako una radiate powers mbao wanakuogopa nao wana opposite powers!.


Hiyo ya kuwapata kila wasichana utakao watokea, ni nguvu hizo will powers za lolote utakalo linakuwa!.Wowote utaawasaidia wanafanikiwa!. Unachopaswa kufanya sasa, kwanza ni kujitambua kuwa you have the powers za kufanya kill kitu!, Kwa vile umekuwa na hizo powers kwa muda mrefu bila kujitambua , matokeo yake zimekuwa wasted na under utilized!.Kutoka sasa zitawale nguvu hizo, ukizielekeza direction mfano kama unatumia coralla huku unapeda Benz au Vogue na unajiona huna uwezo wa Benz au Vogue, then weka nia ya dhati kwa kudhamiria kuwa utendesha Benz au Vogue na utajenga ghorofa, umekuwa boss, utaishi top life, vyote vitakuja!,

Hilo la kutokewa na baba , death is not a big deal, it's only a change of life form physical to spiritual yaani amehama toka ulimwengu wa mwili sasa anaishi ulimwengu wa roho the spiritual world ambako ndiko mbinguni au peponi kwenye ulimwengu wa pepo. Anapokutokea, anakutokea kweli hivyo msikilize kwa makini na zingatia sana maelekezo yake !.

Angalizo: Kwenye ulimwengu wa pepo, zile positive na negatives zipo, yaani kuna good spirits na bad spirits.
Nitaendeea, na take break follow Isidingo ikiisha narudi kumalizia.
Pasco
 
Mkuu Royer, niko kwenye mobile nakutafutia muda nitakujibu hoja kwa hoja nikianzia na hili la Yesu. Lengo la historia ni kuyajua yaliyopita, kulinganisha na yaliyopo sasa ili kujua yajayo!.

Katika Biblia Takatifu Maisha ya Yesu tangu kuzaliwa, hadi Kifo, yameandikwa katika vitabu vya zile Injili 4. Kuna gap tangu a lipokuwa miaka 12-30, sio kuwa details zake hazipo ziliandikwa bali compilers waliamua wasiyawe for a porpose!, sambamba na private life yake katika kipindi cha île miaka mitatu ya utume wake.

Kwa vile details hizo zimeachwa kwa makusudi ili zisisomwe lakini zipo na ziliandikwa, naomba mimi ni site ndio chanzo cha kukueleza yaliyo nje ya Biblia ili only wenye quest for information outside the box ndio waitafute.

Sambamba na mwanzo wa Mungu na source of Godly powers ambazo na sisi bunadamu tumepewa, ila kitu kimoja ambacho wengi hamkijui ni kuwa Mwanzo wa Mungu ndio huo huo mwanzo wa shetani!, Mungu hakumuumba shetani!.

Mungu ana nguvu zaidi ya shetani, ila shetani naye ana nguvu ambazo amepata kibali cha kukitumia kwa wanadamu walioumbwa kwa mfano wa Mungu na nguvu za ufunguzi!, na alianzia kukitumia kwa Adam na Eva kuwashauri kumuasi Mungu kwa kumega lile tunda!.

Mungu ni omniprésent so does shetani. Yumo ndani yetu in a form of power!.
Kubali,kataa!.
Pasco

Hiz pages mbn km zimepungua,,mana ya mwsho ilikua 47 cjui,illa sa iv zko 28,zmepunguzwa au?
 
Mleta mada ameleta akiwa na maana nzuri tu ya sisi tupanue bongo zetu ili kutumia nguvu tulizojaaliwa kama binadam watu wengine wakageuza mjadala kua wa kidin... thanks moderator kwa kuliona hilo, ombi langu naomba mkuu Pasco na wengine sasa tuendelee kama ilivokua mwanzo kujuzana zaidi... binafsi tayar nipo najisomea the power of my subconsious mind and am enjoying the book. Aksante🙂
 
Hiz pages mbn km zimepungua,,mana ya mwsho ilikua 47 cjui,illa sa iv zko 28,zmepunguzwa au?

mods ni wasikivu kuna watu wali hijack huu mjadala wakaanza kulumbania dini! ikawa ngumu kufatilia mjadala thanks kilio chetu kimeakilizwa here we are again tunaendelea na shule!
 
Back
Top Bottom