Mkuu Utali, you have the powers!. Amini usiamini, anapogeuka na kukutazama, powers zako zinamconquer, ukimtuma mhudumu na kumpa number yako ampe wakati akienda washroom, anaweza kukupigia pale pale na kama yuko na mtu mtu tuu asiyenampango, huo mzigo unajibebea siku hiyo hiyo na unaliza kila kitu!.
Hizo powers za kupata kila unachokitaka ni "will powers" na hiyo ndio siri ya mafanikio ya karibu matajiri wote!, inaitwa "uthubutu wa kuamini unaweza!'. Utaweza vipi, au utapata vipi sio issue, ukishaamini, powers zina open up njia zote!. Wakati powers hizo zikifanya kazi kukuletea mafanikio, shetani naye na nguvu zake za giza hachelewi kukupa majaribu, watu wenye kijicho, husda na wivu, watatataka kukukwamisha hata ikibidi kufifisha nyota yako, ili wao ndio waisafirie!, kamwe hawawezi kuzuia rizki, bali wanaweza tuu kuichelewesha!.
Pasco.