Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Aaaagh! nataman kwel kujua mambo hz ttizo vtabu vyao vya ki english, au kuna vlivyotafsiliwa.
 

hiyo tayari, kinachofuata?
 

ni kweli kabisa mkuu na
Ya nini kuhangaika na haya mambo akati MUNGU mwnyw mweza wa yote na muumbaji wetu kasema lolote tutakalo.tukiomba tutapewa!

Kusema kwamba utegemee nguvu zilizo ndani yako ni kujinyenyua mwnyw Na kujifanya we mungu na hivo kuvunja amri kuu ya kwanza.

ila naamini meditation ikitumiwa vizuri kwa kumhudisha Mungu italeta matokeo mazuri zaidi!!
 

kweli mkuu,,ukimweka Mungu mbele ndo vizur zaid mana utatumia nguvu ya upande wake
 

Ahsante kwa uzi wako mzuri ila sasa toka mwanzo umetuelezea kiswahili ukaja kwenye utam wenyewe kienglish wengine hadi tutafute kamusi mkuuu
 

Duh noma sanaaa! Mi ninayo ya kuona jambo kabla huwa naota bt mara nyingi nikisema huwa halitokei bt nikinyamaza linatokea sasa kama nibaya huwa nasema ili lisitokee na kama zuri huwa sisemi wakati mwingine baya nasema na bado linatokea cjui ni nini huwa cjielewi sometime naweza ota kitu kwa anaenijua nikimwambia anaogopa sana
 
Kuna siku nilikuwa namwambia jamaa yangu mmoja kwamba,ikiwa akiamka kila siku asubuhi na kwenda nje na kupiga magoti mbele ya mti ulio mbe ya ngumba yake.Kisha aseme matatizo yake na kuuomba mti umsaidie,si ajabu matatizo yake yatapata ufumbuzi.,lakini pia sio kwamba ule mti umemsaidia hapana!!,tatizo kupata ufumbuzi n jambo la kawaida ambalo halihitaji kuomba kanisani/msikitini ama katika mapango!.
Kuna watu huwa hawaelewi jambo hili.lakini ukwel n kwamba hakuna nguvu yoyOte popote inayokutatulia tatizo lako hata ukikesha unaomba.Watu wangekesha makanisan/msikitini tusingekuwa na maendeleo haya.
 

JF never disppoint me, and never will. Yaani nyanga unazokata hapa Pasco acha kabisa. You have made my day aisee. Ninachokiona hapa, wachungaji wameshagundua hili la powers from within. Wamezi grab na kisha kufungua makanisa. Sasa wanafanya miujiza na kujikusanyia utajiri toka kwa waumini wao.

And I like the way you are explanining these things. Hata layman anaelewa kabisa. Nadhani mojawapo ya nguvu ulizonazo, ni hii ya jinsi ya kuelezea mambo mazito katika lugha rahisi.
 
Last edited by a moderator:

Hiyo astral travel ndiyo wanayotumia wachawi kuruka na ungo? Yaani leo mpaka hata lunch nimechelewa kula kwa kusoma hii mada. Pasco
 
Last edited by a moderator:

Whaaaaaaaaaaaat? Hapo kwenye blue umenifumbua macho Pasco. Yaani acha kabisa. Kuna dada ambaye nilimfahamu tangu akiwa chuoni. Mimi nilikuwa nafanya kazi na mama yake. Ameshanitaka sana, lakini moyo ulisita kufanya nae ngono. Tumeshakwenda mpaka gesti, tukakuta maji yamekatika. Pia kuna siku tulikutana mkoani, akiwa tayari sasa ameshaolewa, tukalala kitanda kimoja, ila siku hiyo alikuwa kwenye siku zake. Huu ni karibu mwaka wa 10 she has been available for making love to me, lakini nimekuwa nashindwa kufanya naye. Kuna jambo Mungu aliepusha naamini, japokuwa siwezi kusema kwamba angeniletea balaa, na wala sitaki kumhukumu.

Pia kuna wanawake wazuri tu ambao nilisita kufanya nao mapenzi wakati walikuwa tayari kufanya na mimi. Yaani, si kwamba hawahitaji pesa au kuolewa, just for fun, lakini nilisita. Sikufanya. Nikikuonyesha huwezi kuamini; na marafiki zangu wengi huwa hawaamini kama sijawahi kufanya mapenzi na wanawake hao....! Cha ajabu ni kwamba, sijawahi kujutia kutofanya nao ngono zembe wanawake hao....! Sasa somo linaanza kuniingia.


Ngoja niendelee kusoma.
 
Last edited by a moderator:
Pasco....Sub-conscious mind ni nini hasa?
 
Last edited by a moderator:

Hapo kwenye namba 1, kwa hiyo kama shetani yuko nje ya dunia, inakuwaje anakuwa ndani yetu sisi wanadamu? Maana umesema Mungu na shetani wote wako ndani yetu kama powers. Na unaposema kwamba Mungu hakuumba vitu vyote, ina maana sayari zingine zote au the universe in general was not created by God?
 
Hiyo astral travel ndiyo wanayotumia wachawi kuruka na ungo? Yaani leo mpaka hata lunch nimechelewa kula kwa kusoma hii mada. Pasco


Karibu sana darasani, mkuu ... Sisi wenzio tumeanza zamani, tupo secondary muda huu. Nimepata tetesi kuwa kuna wengine wameshaanza hata kupaa .!! So Be patient, mwalimu wetu huwa anashusha material moja kila baada ya miezi miwili, nadhani ni ili kutupa muda wanafunzi wake ku-practice na kuelewa zaidi ...!! You are warmly welcome ...:gossip:
 

akikujibu na me nitauliza maswali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…