Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?


This comment rakms
 
Do you want to tell me nguvu za kupambana na madhara ya.nje ninazo
Kwan mwenyej wetu alitembea kwa waganga na kumwambia kilikuwa kikosi cha wchawi kimekutana baada ya kushindwa mmojammoja na ilipaswa mmoja kufa but hakuna aliyekufa.
Help to me to get self awareness
 

Hivi Kuna Mganga Huwa Anasema Kweli?

"Rakims"
 
really? huku mitaani wengi wana pretend uganga wakati ndio waangamizaji wakuu hasa kwa kutumia majini au labda uelewa wangu mdogo wa masuala ya uchawi na uganga ufafanuzi kidogo mkuu Rakims.

ni kweli unachosema hasa kwa waganga wa kienyeji ukienda kutibiwa anakuwekea na mengine ili hali ikibadilika umretee pesa nyingine

"Rakims"
 

Pasco hiz nguvu m2 anaweza akawa nazo lk hajitambui... Plz.... Naomba vitabu au readers zozote zinazoweza kuniongoza....... Plz plz
 
Me Nina Shauri, naona sisi Watanzania Tunamatatzo ya kuachwa katika fikra za kikoloni base a hivi kwa sababu, jamiiforums page ya Tanzania inamansha sisi watanzania na sisi waswahili ivo yeyote mwenye kuleta mada lengo lake kuelimisha watu wa jamii yake au nchi yake....sasa tutazame wenzetu wachina wajuremani warabu wakorea wanavodhamini ni hivi katka majukwaa yao kama haya hata kama MTU ametoa kitu Google kwa English bac akipeleka kwao anawwka kwa lugha ya kwao nashangaa Tanzania wanajiita wasomi watoa mada MTU anakuja na heading kubwa lkn kwa ajabu ameshindwa kutafsiri mada nzma kuweka katka lugha yake watu wake wapate kumfahamu kuthubutu huku ndipo kilichowafanya wenzetu wachina kila somo kusoma kwa lugha yao....acheni kubeba vitu Google wenyewe hamjavifahamu......baada ya hapo nashukuru bwana rakims kama nmepatia......unajitahidi kuelewesha watu naomba kufahamishwa zaidi sababu me binafsi nshajiuliza sana kuhusu mambo haya majbu sipati nahitaji kuthubutu.......ziko dalili nying na meng yananitokea nipe somo zaidi
 

Muslim hawamuombi Muhammad bal wanamuomba mwenyezi mungu aliyeumba ardhi na mbingu n yeye mmoja hana mshiriki kusinzia hakumshiki wala kulala.......nyinyi mnamuomba yesu kwenu yesu n mungu sisi Muhammad n mtume mjumbe tu aliyeagizwa kama mitume mingne kamwe hakuna anayemsujudia Bali mola wa ulimwengu pekee sisi tunamuombea wakat mwngne mwenyezi mungu ampe daraja bora kama ufahamu kuhusu Muslim nyamaza usiseme usichokijua et wanamuomba muhammad
 

Wew n muongo wa kwanza duniani hakuna anayeita power hii n Allah jaman jammn mbona mnapotoka maana we umekuja kuharibu hasa hiyo n mediation tu haiusiani na mambo ya mungu uwezo wako wa akili na power ulozaliwa nayo mwenyezi mungu anauwezo mkubwa zaidi ya hiyo pawa kama nguvu hizo n mungu bac mwambie mwenye nazo amuumbe kiumbe chake? umeongea vzur kuja kuingza mambo ya aliyekuumba umekosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…