Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Ndugu wataalamu mniambie
One. Day nilikuwa kijiji kimoja tulikuwa sita nyumba moja sasa usiku huo tuliwahi kulala sasa wenzangu walidai wanasikia vitu vya ajabu wakaa nza kupiga kelele wakiniita kwani tulikuwa chumba kimoja watu watatu wakapiga kelele hadi wenzangu wawili wakaamka but mm sikuamka japo nilisikia wakiniita nadhani ilichukua zaidi ya nusu saa ndipo nikaamka na nilipoamka nilikuwa nishalocate chuma kilipo ili nikapambane.
Na nilipoamka nikawambia fungueni milango tukafungua angalia stop hakuna subuleni hakuna nje ya nyumba hakuna had chooni hakuna kwani ni tulidhani wezi pili wachawi hivyo tukasema wachawi na nikasema Kwa sauti tumewajua tukarudi kulala but tulisikia bado kama mchanga unarushwa batini na madirisha kukwaruzwa.

Eti hii itakuwa ina maana gani kwangu

This comment rakms
 
Do you want to tell me nguvu za kupambana na madhara ya.nje ninazo
Kwan mwenyej wetu alitembea kwa waganga na kumwambia kilikuwa kikosi cha wchawi kimekutana baada ya kushindwa mmojammoja na ilipaswa mmoja kufa but hakuna aliyekufa.
Help to me to get self awareness
 
Do you want to tell me nguvu za kupambana na madhara ya.nje ninazo
Kwan mwenyej wetu alitembea kwa waganga na kumwambia kilikuwa kikosi cha wchawi kimekutana baada ya kushindwa mmojammoja na ilipaswa mmoja kufa but hakuna aliyekufa.
Help to me to get self awareness

Hivi Kuna Mganga Huwa Anasema Kweli?

"Rakims"
 
really? huku mitaani wengi wana pretend uganga wakati ndio waangamizaji wakuu hasa kwa kutumia majini au labda uelewa wangu mdogo wa masuala ya uchawi na uganga ufafanuzi kidogo mkuu Rakims.

ni kweli unachosema hasa kwa waganga wa kienyeji ukienda kutibiwa anakuwekea na mengine ili hali ikibadilika umretee pesa nyingine

"Rakims"
 
Mkuu mayenga, mimi nina
Telepathy
- Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimsimikia binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.

Ila mpaka leo, kuna mtu nikimfikiria tuu, anatoke, au nafika mahali na kuambiwa, una maisha marefu, sasa hivi tulikuwa tunakuzungumza!. Au uko mahali unatembea, njia nyembamba, unataka kupishana na mtu, ukienda upende ule naye anakuja huko, ukirudi huku naye anarudi huku hadi mnataka kugongana unaamua kusimama mpishane!.

Pia nina Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen. kidogo. Kuna mambo huwa naota yanakuja kutokea!. Nina kitu kinaitwa "intuition!" yaani kabla sijafanya jambo, unapata hisia this is not gona work!, au unakutana na mtu anakuzimikia sana for real, wewe unaona its not for real!. Au ndani ya ndoa, ikitokea wife ame cheat, utajua!, huwezi kuuliza kwa sababu huna ushahidi, ili mtu akicheat, ujue atacheat tena!, nilianza kufanya kazi ya kukusanya ushahidi nikathibitisha!, na nilisamehe kwa kujifikiria ni mara ngapi nilipitia wake za watu!, wengine wakiwa ni wake wa marafiki zangu kabisa!.

Pia naweza kufanya Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things kwa kiwango kidogo!, nikikutana na mtu for the first time, I can tell huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya!. Hii nimeiwea kwa practice kutoka kwenye net.
Retrocognition - Perception of past events imeishanitokea mara kadhaa, naweza kufika mahali for the first time, na kujiona I have seen this place before ila sikumbuki ni wapi!, au nimekutana na mtu for the first time, na kujiona I've seen him before sijui ni wapi!, hii inaitwa De-ja-vu kwa Kifaransa!.

Nimesoma sana vitabu vingi vya mambo haya, hivyo naangalia uwezekano wa kufungua more evenues kwa meditation ila kwa njia ya natural sio kupitia secret societies kama Freemasons, Illuminati au Rosecrusians. Hawa jamaa ndio ma master wa haya mambo ila wanafanya siri!. Matajiri wengi wanatumia powers hizi kupata utajiri iwe ni kwa njia za sala kupitia makanisa ya wokovu, waganga wa kienyeji, kujiunga na vikundi kama freemasons etc, all and all its works of powers!.
Pasco.

Pasco hiz nguvu m2 anaweza akawa nazo lk hajitambui... Plz.... Naomba vitabu au readers zozote zinazoweza kuniongoza....... Plz plz
 
Me Nina Shauri, naona sisi Watanzania Tunamatatzo ya kuachwa katika fikra za kikoloni base a hivi kwa sababu, jamiiforums page ya Tanzania inamansha sisi watanzania na sisi waswahili ivo yeyote mwenye kuleta mada lengo lake kuelimisha watu wa jamii yake au nchi yake....sasa tutazame wenzetu wachina wajuremani warabu wakorea wanavodhamini ni hivi katka majukwaa yao kama haya hata kama MTU ametoa kitu Google kwa English bac akipeleka kwao anawwka kwa lugha ya kwao nashangaa Tanzania wanajiita wasomi watoa mada MTU anakuja na heading kubwa lkn kwa ajabu ameshindwa kutafsiri mada nzma kuweka katka lugha yake watu wake wapate kumfahamu kuthubutu huku ndipo kilichowafanya wenzetu wachina kila somo kusoma kwa lugha yao....acheni kubeba vitu Google wenyewe hamjavifahamu......baada ya hapo nashukuru bwana rakims kama nmepatia......unajitahidi kuelewesha watu naomba kufahamishwa zaidi sababu me binafsi nshajiuliza sana kuhusu mambo haya majbu sipati nahitaji kuthubutu.......ziko dalili nying na meng yananitokea nipe somo zaidi
 
Ushawahi kujiuliza kama MUNGU wa waislamu na wakristo ni mmoja mbona tunatumia vitabu tofauti na vyenye maagizo tofauti?!..Je,MUNGU huyu awaagize hawa waoe wake wanne na wengine waoe mke mmoja,hawa wasali kwa Jina la YESU na wengine wamwamini Muhamad?!Awaambie wengine kuna majini mabaya na mazuri na wengine majini ni viumbe vilivyoasi na vinasubiri hukumu?!Awaambie hawa ukienda peponi utapata wanawake walionona 72 na wengine awaambie mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa?!Awaambie hawa kisasi ni juu yake na wengine awaambie kisasi kinaruhusiwa?!..
Tafsiri ya neno MUNGU ni chenye kuabudiwa so mtu akisema namwamini MUNGU ni lazima umuulize MUNGU yupi?maana wengine wanaabudu Jua,mwezi,nyota,ng'ombe,kijiko,marehemu(mizimu) na wao wanadai wanamwamini MUNGU..
Ukweli ni kwamba wanachoabudu waislam sio sawa wanachoabudu wakristo na ushahidi ni maagizo(vitabu vyao) jinsi vinavyokinzana vinaonyesha wazi maagizo hayo yanatoka kwa waabudiwa tofauti.
Kusema tunamwamini MUNGU mmoja ni kujitia moyo tu lakini ukweli ni kuwa huku duniani kuna miungu mingi na la kusikitisha watu wengi wanaabudu wasivyovijua wakidhani wapo sahihi kumbe wanapotea dah.
BWANA YESU na afungue macho ya nyoyo zenu mpate kujua ukweli.

Muslim hawamuombi Muhammad bal wanamuomba mwenyezi mungu aliyeumba ardhi na mbingu n yeye mmoja hana mshiriki kusinzia hakumshiki wala kulala.......nyinyi mnamuomba yesu kwenu yesu n mungu sisi Muhammad n mtume mjumbe tu aliyeagizwa kama mitume mingne kamwe hakuna anayemsujudia Bali mola wa ulimwengu pekee sisi tunamuombea wakat mwngne mwenyezi mungu ampe daraja bora kama ufahamu kuhusu Muslim nyamaza usiseme usichokijua et wanamuomba muhammad
 
Pasco, hebu nikuulize, hizi Pyschic power huja kwa kumaditate. Kuna watu walikua siku za nyuma pale CBE wakifanya hii kitu ila wao hawali samaki na nyama, vile vile hawataki mambo ya kugonga mara kwa mara au kujichua kwa aina yeyote kwa madai, vitu hivyo hupunguza nguvu za hiyo meditation, hii imekaaje maana sijaona uizungumzie.

Vilevile hizi nguvu mnadai zinatoka kwenye au mnaziita universe na huku mkidai wengine wanziita Mungu na wengine Allah, kwa hiyo hamuamini kama kuna Mungu na hivyo nguvu hizi ziko naturally?

Na ipi njia rahisi ya kujenga nguvu hizi kwa muda mfupi?

Wew n muongo wa kwanza duniani hakuna anayeita power hii n Allah jaman jammn mbona mnapotoka maana we umekuja kuharibu hasa hiyo n mediation tu haiusiani na mambo ya mungu uwezo wako wa akili na power ulozaliwa nayo mwenyezi mungu anauwezo mkubwa zaidi ya hiyo pawa kama nguvu hizo n mungu bac mwambie mwenye nazo amuumbe kiumbe chake? umeongea vzur kuja kuingza mambo ya aliyekuumba umekosea
 
Back
Top Bottom