Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?


Mkuu mshana naomba uendelee na hatua ya pili. or ikiwa uliendelea niambie tu ni post no. ngapi.
 

Hicho kitabu ntakipataje au ni maduka gani yanakiuza
 

Mkuu habari yako.nakuomba namie msaada wa huo kitabu
 

Mkuu hapa umenigusa sana na ningependa tutafutane.
Ya ni kweli raia wengi dini zao wamezaliwa wakakuta wazazi wao wanaabudu nao wakaenenda ivyo ivyo bila kuangalia upande mwingine wa shilingi.

Mie ukoo wote ni waromani ila mie nimechepuka ni msabato na huko nako ni kukosoa wengine a kidogo nataka nihamie uislamu na laiti kama ningebahatika kuwa huko ningejifunza hizo dini z mashariki.

Yani nimeipenda lecture yako sana kaka .

Pia Yesu aliawambia kuwa ufalme wa mbinguni upo miongoni mwenu na hakuna hata siku moja mtu atakuja akuambie au apointi kuwa tazama ufalme ule pale kama vile mtu akuonyeshapo upinde wa mvua kuwa ule pale .ila powers hizo tunazo wenyewe.

Pia imeandikwa kuwa twaangamia mana kwa kutokuwa na maarifa na ikasisitizwa kuwa mshikeni sana elimu usimuache na hapa elimu ilikuwa ni ya mbingu ila wachungaji wanaipotosha kwa kudai kuwa ni elimu ya masomo ya darasani.

Mara nyingi sana kujifungia kwenye dini moja kunakudumaza sana na unashindwa kujifunza wengine wanajua nn.
Ila utakuwa ndani ya box na utaambulia na chuki inayopandikizwa kwa waumini kuwa hawa ni mashetani wanaabudio mara hawa ni makafiri au wanaabudu masanamu n.k.

Please msije mkaleta malumbano ya dini jamano hapa tunabadilishana maarifa
 

Hata madaktari wanafundishwa kuwa imani ndo tiba ya kwanza na ndo mana huwa wanakupa imani sana au matumaini sana.
PIA KUNA MGONJWA ALIKUWA ANATIBIWA BILA YA KUPEWA DAWA SEMA WAKAWA WANA ACT KAMA ANAPEWA DAWA NA HATA SMT SINDANO HEWA ILA MWISHO WA SIKU HUYO MGONJWA AKAPONA.

SO KITU IMANI NDO KILA KITU NAMIE NAKUBALIANA NAWEWE KAAMA KWENDA MOTONI KISA NIMEUNGANA NAWE NGOJA NIENDE
 

Hii anti gravity nshawahi kuisoma before mkui
 
Mkuu Pasco kwanini kula kiapo cha kufanya usiri? Kuna nini nyuma yake? Kama ni kitu kizuri kwanini wadiweke wazi watu wengi wakafahamu na kutumia nguvu hizo kwa faida na ustawi wa mwanadamu???

Wote mkilingana hakuna dhana ya maisha kaka.

Mana wengi wataijua na kuitumia na kufanikiwa na mwisho wa siku wanataka wamani pulate na controll dunia ili iwasujudie kaka.ndo mana hata technology ni siri na inafichwaje .
 

Wasabato imani yao ni sawa na waromani kuwa kuna ufufuo akija yesu afu twaenda kuishi milele mbinguni
 

Pole kwa kupigwa ngumi
 

Kidogo unanishawishi
 
Ngoja naingia Church nikitoka takupa full version lakini pia angalia post nyingine hapo chini kwa kuanzia
Mkuu mshana jr kwani ukifanya haya mambo bado unaweza kuendelea kuwa muumini? ninaowafahamu wakifanya haya mambo wamekuwa hawana muda tena wa kusali

cc: Pasco
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…