Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Nimefaulu moja kutoka kwako mkuu nimeweza kuipinga malaria tangu nianze fuatilia uz wako na hakika nimeweza mpaka sasa Nina miaka 2 malaria naisikiaga tuu
Na kipindi cha nyuma ilikuwa inanisumbua mno
 
Nimefaulu moja kutoka kwako mkuu nimeweza kuipinga malaria tangu nianze fuatilia uz wako na hakika nimeweza mpaka sasa Nina miaka 2 malaria naisikiaga tuu
Na kipindi cha nyuma ilikuwa inanisumbua mno
Mkuu Ifa, huo ni mwanzo mzuri wa kuanza kujitambua!, nguvu hizi sote tunazo na ziko ndani yetu!. Usiishie kwenye kuzuia ugonjwa wa malaria tuu, zuia na magonjwa mengine yote, kisha anza kujipanga unataka nini, kazi nzuri, pesa nzuri, nyumba nzuri, gari nzuri, maisha mazuri!, sky is the limit!.

All the best!.

Pasco
 
Mimi nina gari moja lakini naliwazia lipate mengine hata matatu nifanye biashara ya Car for hire.najaribu kuchochea hlo ndani yangu bado halijawezekana
 
kila mtu ana power of will...
power of will
power of will...my foot!!!!
hamjakutana na mtu mbishi mpaka unakuja na power zako kama druid
unamwangalia mdada (i need you)
na yeye ana kuangalia, mbishi mpaka unajibiwa (https://jamii.app/JFUserGuide off)
ndani ya power zako...
 
Mkuu ndio maana naendelea kusema naitaj uwepo wako ili kujua mengi zaid na kujifunza mengi
Ikiwezekana mkuu nije pm kama hutojali
 
EBu naomba uniambie kwwa ufasaa uwo mfumo wa sita wa saba na wanane jinsi unavyo fanya kazi naona hapo mkuu ameeleza kwa kingereza
 
At the last night wakat na_meditate ilishindikana kuendlea kwan yale matukio yanayonijia yananfanya yanizubaishe had kubadil direction ya pumz na kurudia upya, wiki kadhaa nyuma nilimeditate na wakat matukio yanaingia na kufany km naota. Then baada ya mda nkastushwa na energy flan km mvua inaninyeshea mwil mzima. Baada ya hapo nkarud katka hal ya kawaid!. Jana nmeota nmewakuta dada na marafik zang wawil wa kiume wakiwa wanapiga kelel juu ya mti ambao uko karib na mto uliokauka alaf mamba alikua anawaendea kutaka kuwadhuru ghafl dada alimwangush yle mamba na wao pia wakaanguka had chin mamba hakuwadhur. Mamba alipoangkua chini akafa ila dada na wale marafk zang walpona ila waliumia kidogo. Nlimulza dada umefanyej had ukamwangusha mamba kwnye mti akasem wakat mamba ananijia wale jamaa wa kiume wananielekez sehem ya kum,bonyez aanguke. Wakat watu wamekusanyka na kumchinchnja mamba nkakurupuka kwa speed. Msaad wakuu!.
 
Duh Kuna Mchizi naye miaka ya 1997 hivi alienda huko South mambo ya kibudha hayo hayo nadhani itakuwa kipindi hicho jamaa nadhani alienda trip ya pili hivi Tulimuita Stivo lazima mlikuwa naye japo kama kuna tetesi kuwa hakumaliza.. nakumbuka alikuwa anashauri twende maana ilikuwa ni free nikafikiria kunyolewa nywele dah... Mafunzo ya Kupinga Mungu si tatizo kwani ni mambo ya kusadikika sio issue
 
Habari za mda huu wakuu?, natumai mko njema!. Vip kuhusu watu wanaooteshwa dawa katika ndoto na kujipatia mafanikio?.
 
msaada wa??...........................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…